Habari wadau,
Nina wageni wangu (wanawake wanne from Europe) wapo Kwa project Yao Sasa inabidi niende nao Moshi na wao wananitegemea Mimi kuwatembeza kibudget( ni wanafunzi wa chuo).
Naomba...
Wanawake wengi wa kisasa waoga na wavivu sana kuzaa
Mwanamke umeolewa ila anampangia mume wake idadi ya watoto atakaozaa. Mtoto mmoja ama wawili tu
Wanasema watoto wanaharibu career zao.
Kwa...
Haya ni baadhi ya mambo ambayo single mama wanatafuta kwa mwanaume:
1. Mwanaume Anaelewa, na kutambua shida za Single Mom.
2. Mwanaume aliye simama Kimaisha.
3. Mwanaume mwenye Fedha.
4...
Nyie vijana na wasio kuwa na wake au mke wazazi wamechoka Kila siku mabinti zao wabaki nyumbani mkiwachezea au kuwafanya single mother.
Kinacho fata Sasa hivi kamaujajipanga utajipanga hapo hapo...
Unatoka kazini jioni umechoka, unatamani ukifika home ukaoge ukute chakula mezani, lakini ile unafika mtu ndio anaanza kupika chakula, mpaka kuiva masaa mawili mbele dah!
Ndugu zangu ...
Sina furaha hatakidogo na nimekata tamaa sana kweli kabisa nakumbuka miaka mingi imepita tokea nimesalitiwa na mwanamke niliyempenda kwa dhati, alinisaliti katika mazingira ambayo...
Amezaa na mke wa mtu, mmewe kagundua kampiga chini. Jamaa naye ana mke na watoto.
Hakutaka kuzaa naye, ila mwanamke ndo aliyeamua na jamaa amekuja gundua na kuambiwa baada ya mtoto kuzaliwa. Toto...
Nilichogundua ukiona mpaka watu wameona ujue hadi kitabia wanafana 99% , kama mmoja wapo ni mshenzi wa tabia tegemea na huyo mwengine kuwa hivyo hivyo .
Sent from my SM-A032F using JamiiForums...
Habari wadau.
Dini ya kiislam ina mengi mazuri.
Hata swala la kuruhusu mwanaume kuoa wake wanne liliwekwa kwa nia nzuri tu.
Pia swala la kumuacha mke kwa talaka moja mpaka tatu pia ni utaratibu...
Habari za weekend na natumaini nyote mko poa sana.
Katika kuchambua kuwajua wanawake nimejikuta na changanyikiwa sana maana nimeshindwa kabisa kujua wanataka nini au ukaaje nao.
Ni kweli...
Sijawasiliana nae kwa njia direct call siku ya 3 sasa nikimpigia simu yake haipokelewi, ukituma text Whatsapp mpaka ijibiwe inachukia hata siku nzima.
Nikaamua kula buyu niendelee na ratiba zang...
Yani unakuta mkaka handsome mrefu Maji ya kunde anavutia kweli kweli ila akivua tu boxer unakuta ana mkono wa sweta jamani hii ni aibu kubwa Sanaa mmmh.
Hivi kweli hamuoni aibu jamani na maradhi...
Habar wakuu
Naimani mkopowa wote haya njoeni tusimuliane.
[emoji23][emoji23]nikikumbukaga nacheka sana kipindi niko chuo hiyo siku nilikosea kutuma text nilikuwa nachati na mubebe unajua zile...
Kila siku utasikia nipe pesa ya school bus ya mtoto, nipe pesa ya kula, simu mbovu, nimefiwa, kesho Birthday yangu wiki ijayo ya mtoto nk.
Bado naomba nauli nimefiwa kodi ya nyumba imekwisha...
Usimuadhibu msichana unamuadhibu kama mvulana mpaka 16 na anapata hedhi hii ni aibu.
Tayari ni msichana mtu mzima zamani amekwisha olewa. Ndio maana wengi wanatoroka majumbani kisa wazazi akili...
Kusema ule ukweli kuachana na mtu ni kazi sana maana itakuchukua muda kumpata mwingine ambae atakupa Furaha na amani
Mwaka 2021 niliachwa muacho safi kabisa yule jamaa aliniandikia sms moja tu...
Wanajamvi wa MMU salama za Dhati kwenu. Aisee kwanza nianze kwa kudeclair interest, Humu jamvini mimi ni mkongwe sana. Tangu mwaka 2008 nipo humu, kwa unoko wa watu fudenge (Sisemi ma-Mod) accoint...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.