Aisee sitasahau njoo nayo kama ilikuwa siku ya jmosi nikaamua leo naenda kutoa ugwadu nikajianda mapema tu mida ya saa mbili ivi nikaibuka kiwanja kiomoja kanapatikana mabatini , nikaona mdada...
Miezi kadhaa sasa tangu niachane na aliyekuwa mke wangu, nahaha kutafuta mbadala bila mafanikio. Kila ninayemsiamamisha haishii kunikataa tu bali kunicheka kabisa; tena wengine kwa kunionyesha...
So huyu dada anaishi modest/humble family/background (nikisema modest i mean kwa tafsiri ya kiswahili ni kama familia maskini). She works for me.
Anakuja kufanya usafi na kufua (as known kama...
Habari zenu wakuu.
Mwenzenu yamenikuta, naombeni msaada namna ya kucontrol hii hali.
Mimi ni kijana wa 34yrs hv, nilikua na mahusiano na mdada mmoja ambae kwangu alikua rafiki, mshkaji na kama...
Habari zenu ndugu zangu
Bila kujaza mate kwenye maiki ngoja niende kwenye lengo langu lililo nifanya niombe msaada.
Ni miaka takriban mi 3 tumeishi poa na kwa furaha sana mie na mpenzi wangu/mke...
Ijumaa ya juzi niliamua nitoke kidogo angalau nikapate mbili tatu za baridi.
Nikiwa maeneo ya kujivinjari, huku napambana na mitungi yangu, mara akatokea lishangazi la makamo. Akaomba tukae naye...
Wanawake ni wauaji asikwambie mtu
Nimewahi kuingia ofisini nikiwa wa kwanza ili kufanya mipangilio ya hapa na pale. Mke wa boss kafika mapema na kuingia kwenye ofisi yetu. Kama yalivyo mazoea...
Kuna Bwana mmoja ameoa. Bwana huyo ni mfanyakazi wa ofisi moja ya serikali na mkewe ni mama wa nyumbani:
Habari kutoka kwenye chanzo cha umbeya zinasema kwamba:
Bwana huyo hufika nyumbani...
Ushauri waungwana nina mchumba ambaye nina mpango wa kumuoa, ushauri niliopewa niangalie familia na ukoo wao kwa ujumla, nilichokiona nimeambiwa hafai kuolewa kwa kuwa atakuwa amerithi laana za...
Ukweli usemwe, mwanaume yeyote ambae yupo maghettoni na anahangaika na Masufuria kupika ni mjinga wa kutupwa. Akili ni nywele ndio nao hao wakataa ndoa wanaopika na kuhangaikia na Masufuria huko...
80% ya Wanawake hutumia Ukimya kuonesha Maumivu yao.
Mwanamke huchukua siku 15 kumpenda mtu lakini Mwanaume humchukua...Sekunde 8.2.
Wanawake huchukua muda mrefu kufanya maamuzi, na wakisha...
Hii nayo Ituepuke Vijana wote wapambanaji
Huwez kutaka Kufanikiwa kimaisha Bila kuwa na Familia Au Mwanamke Wa uwakika
Vijana wote wanaojitambua Wanatamani Kutulia na Familia Zao na Wengi...
Siku ya leo, nikajikuta bora nimsalimie mrembo wangu mwenye ujauzito aliyepo mkoani.
Baada ya kuchat kwa muda, ikaonekana inabidi tuonane ili kukipa lishe kile kiumbe; ingawa uchumi hauko...
Wanajamvi, salaam!
Iko hivi nina mdogo wangu (rafiki) naishi nae kwakua anaumwa, tunaheshimiana sana. Tunaishi kisela kila mmoja anaweza kuleta demu wake maghetoni.
Dogo ana mademu watatu ambao...
"...alivaa kigauni laini kinachoishia juu ya magoti
...nikamvua shati lake la juu....nikamfungua sketi...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii nimekutana nayo kwenye ule uzi
Muhimu: Ukiwa...
Inawezekana mmekua pamoja kwa miaka sasa.
Au pengine ndo mna miezi kadhaa kwenye mapenzi.
Lakini hivi karibuni anaonesha hana hamu na wewe kivile. Mapenzi yamepungua. Shauku yake ya kuwa na wewe...
Habarin wadau
Mm ni mwanandoa mwanaume, Nina watoto wawili, na kwa Sasa mkewangu ana ujauzito. Niko pekeyangu mkewangu yuko mbali nami kutokana na kuachana nae kwa sababu zisizojulikana kutokana...
[6/17, 17:32] Steven Simon Lyimo: Najiuliza samahani naomba unisaidie:
Kuna mwanamke ambae nilioa nikaachana nae kurokana na tabia yake ya umalaya.
Mimi nimekuwa ktk malezi mazuri ya kidini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.