Bado naendelea kurekodi VIPINDI vyangu vya YouTube, ndio maana skuhizi siandiki Uzi Sana huku hata HADITHI kwenye website nimesimama Kwanza, YouTube unachukua muda wangu mwiingi nikitoka hapo...
Mtu mzima anayependa/kuvutiwa kufanya mapenzi na watoto wadogo, kitaalamu anajulikana kama pedophile kwa lugha ya kiingereza.
Hii ni hali ya kiafya ambayo inamfanya mtu mzima kuvutiwa kufanya...
Kuna pisi nilizoeana nayo since last year na tumekuwa nayo very close na tumeshasex kama Mara mbili.
Ila cha kushangaza juzi alipita kaka yake akatuona ila hakusema chochote mpaka baadae dem...
Jana nilitoka out bwana nikiwa out basi wakaja akina mama wamejitoa out wana vikoba (nadhani pesa ilikuwa imepatikana wakaamua kujirusha) katika kuongea ongea kwao mara umeme ukazima
Mama mmoja...
I have been in love with her since day 1,
I used all means to prove that to her but all she says she sees me as a normal friend thats hurts too much.
When i try to mute and pretend to be busy...
Wakuu habarini za Jumapili
Katika maisha yangu kuna vitu nimejaribu kuviona hasa kwa sisi wanaume ingawa sio wote. Nilishawahi kutogozwa na mwanamke kwa bahati mbaya aliniuliza kuwa una mtu...
Wasalamu aleko.
Kuna demu wangu tuna mwezi tuko nae, juzi alikuja sehm yangu ya kazi,alikuja kavaa wigi.
Baada ya kuondoka nikanwambia asije kurudia tena kuvaa mawigi mi sipendi na sitaki awe...
Hello Wadau!!
Naenda Moja kwa Moja kwenye topic.
Mimi binafsi naenda kwenye style ya uombaji michango, Jana mishale ya mchana ghafla najikuta nimeungwa kwenye group la kuchangia mchango wa...
Enyi wadau wa JF, hapa nimezungumzia tofauti zilizopo, Isitafsiliwe kwamba nawachukia wanawake wembamba Hapana, Bali nimejaribu kuonyesha tofauti 10 zilizopo.
Note; wanene hapa namaanisha wenye...
Mama ni moyo ana mapenzi ya dhati yaliyovuka mipaka kwa mwanae, leo hii hata mama yako ukimwambia unataka kuwa msanii hata kama hujui kuimba atakupa sapoti, mapenzi haya kwa mtoto kuna muda huwa...
"Hakuna ndugu na rafiki wa karibu kama mkeo kama utaishi nae vizuri ndio maana wanasema mume na mke ni mwili mmoja kwa maana hii mkeo ni zaidi ya ndugu yako mkiheshimiana mkapendana na kukubaliana...
Nilichogundua Binadamu huwa anakuaga na mipango Mingi akiwa Hana hela.
Mfano back the days Mimi na classmates zangu tuliwahi kupanga Mambo ya kuoa nk but now hao classmates wapo Sehemu nzuri...
Anyaashimika!
Kwa kweli leo nimekokotoa kitendawili!
Tabia atakayokua nayo mwanaume kwa wanawake itachangiwa na maisha aliyoishi na ndugu zake, hasa wa kike wakati wa balehe.
Mara nyingi mtoto...
Dunia ya sasa imebadilika, kuanzia kiuchumi mpaka mahusiano.
Watu hawaoi na hawaolewi, wanaona bora kuzaa tu maisha yaendelee; sasa kama wewe unataka uangukie kwenye hilo kundi, endelea kuleta...
Zingatia kichwa cha Habari
Hakuna kitu kinachotesa wazee wengi kama wale ambao wana watoto wengi kwa wamama tofauti hii ujanani unaweza ukajiona mwamba lakini mbele ya Safari kwenye utuuzima...
"Moja ya ukatili ambao wanawake wanafanyiwa ni kufanyishwa kazi majumbani bila kulipwa, kiuhalisia mwanamke anapofanya kazi za nyumbani lazima alipwe, kwasababu hujamuoa awe house girl wako, yule...
Ni jeuri kuliko ujeuri wenyewe!
Ujeuri wake hauangalii kamwe usingle mother wake, wala msaada unaofanywa na mumewe wa kuishi na mtoto wake aliyemkuta. Ye ni kumjeuria tu mumewe muda wote tangu...
Wasalaam,
Nawakumbusha tena camera ambazo ni ngumu mtu kujua zimejaa tele , kuondokana na hii vita ya wadada ama wanawake kuwa na mpango wa kuturogea kimapenzi. Mimi najisanua kila mara...
Leo ni siku ya tano ya mahusiano yangu na binti mmoja kutokea familia ya kitajiri huko Sinza. Bado sijatafuna mbususu yake iliyododa na kuumuka mfano wa kitumbua cha Pwani
Huyu mpenzi wangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.