Habari za jumapili njema na tulivu.
Naomba kuuliza maana kuna kitu kimenipa utata kidogo. Nimeona message jamaa ana chat na mpenzi wake nilikuwa napiga chabo tu kwenye daladala la kutokea Ubungo...
Hivi sijui ni mimi tu au kwa wanawake wote? Kwa karne ya sasa tutaolewa kweli au tutaishia kuwa Mababy mama tu?
Siku hizi mambo yamekuwa mengi sana kiasi kwamba mtu akikwambia anakupenda unaona...
Habarini.
Waungwana nakuja mbele yenu na majanga ya rafiki yangu kipenzi na ninahitaji ushauri wenu wa busara. Naomba tusilifanyie hili swala nitakaloleta hapa mzaha bali ninaomba tushauriane kwa...
Nusu ya hekima ni kunyamaza na kukaa kimya. Ipo nguvu Katika kunyamaza, kuepusha mambo mengine yapite. Wanawake wenzangu huwezi kushindana na mwanaume aliye kudonoa (aliekuvua nguo) ingawa...
Nafasi niliyoiacha hapo juu ni ya salamu, doesn't mean anything to me. Hali inatia kinyaa.
Nipo DSM, 99.9% ya akina dada ninaowaona wote wana vitambi na matumbo yaliyojigawa... yaani tumbo...
Ndugu zangu , jioni ya leo ndiyo kama hivi tena..
Tuliambiwa tutakula kwa jasho, tutailima ardhi nayoitatupatia matunda yake, miiba ya makondeni itachipua na mboga mboga za huko zitakua fungu...
"Hakuna watu wanafiki huku Duniani kama Marafiki WA mpenzi wangu (mashemeji WA KIUME)
Wanajua ubaya, siri, dhambi nyingi anazofanya mpenzi wangu lakini watakunafiki mwanzo mwisho😱
Wakikuona Tu...
heylo guys!
nawashukuru sana mnaosoma hadithi zangu
nawapenda mno,
la mwisho:
Wote nawapenda
Wote mnaruhusiwa kunipenda, Mungu ameagiza tupendane na kumpenda jirani yako
Ila naomba wale wanaoenda...
"Hata kama ni mumeo ila mimi unaniuzi"
Ni maneno yaliyonifanya nisome vizuri texts za huyu jirani yangu hapa kwenye bus la kwenda Dodoma usiku huu.
Ni mzee wa makamo kama na 45-50 hivi. Binti...
Kazi yangu Kubwa katika huu Uzi ni Kuelimika zaidi kutoka Kwenu Wepenyaji wa Milangoni ( kama GENTAMYCINE ) na Wamiliki hasa na Milango yenyewe husika ambayo Kiasili inasemeka huwa inapitika muda...
Jana nilikuwa na jamaa mmoja anajiita Dalali wa mapenzi, na hata ndio maongezi yake
Dalali: money penny bwana inabidi upewe maua yako??
Money penny: ya kwenda wap me natafuta hela
Dalali...
Unakuta Wewe Mwenyewe kabisa ukijiangalia na hata Kujipimia Kimoyomoyo Maumbile yako ( Uume wako ) ama unauona ni mdogo au wa Kawaida lakini kila Mwanamke unayekutana nae ataulalamikia kuwa ni...
Punguzeni Upendo maana Upendo ni Kero.Yaani unampenda mwanamke Hadi anajiona ni kama hayupo huru.Anaogopa Hadi kukuchiti Kwa Upendo unaompa.
Kila muda unamtumia meseji ya kumjulia hali hutaki...
UKIMYA nao ni SAUTI ambayo inatakiwa KUSIKILIZWA.
Ukimuona Ndugu,Rafiki,Mwenzi n.k..wameanza kuwa wakimya tofauti na zamani, usipuuzie.
Sio kila mtu anakuwa na UJASIRI wa kuongea anachopitia...
Haijawahi kutokea niliyempa akanitafuta! Nimewahi kuzitoa zaidi ya mara 15.
Jana nikabahatisha tena kwenye daladala, akanipa hadithi ileile, 'nipe yako' huku akinipa simu yake niandike...
Waungwana kwema?
Wale wa kataa ndoa endeleeni ninawatia moyo ili mtafute amani yenu na sisi tunaotaka kuoa tuwe makini kuchagua na wenye majukumu ya kitaifa tunawatia moyo
Ninaulizia sehemu...
Wakuu,
Hivi mnaona ni sawa kwa mwanaume kulala bila nguo kabisa? Yaani bila hata bukta wala boxer
Ikitokea dharura usiku utafanyaje? majambazi wamevamia au moto una waka.
Mi naona mwanaume...
Wakuu,
Kuna mwanamke flani Niko nae kimahusiano miaka kadhaa, mwezi ulopita kwenye tarehe ishirini na kitu hivi, ilkuwa ni birthday Yake kutimiza miaka kadhaa kiumri.
Nami Kama mwanaume wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.