Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari wana MMU? Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha. Naomba kuwashirikisha kisa kimoja na mpenzi wangu Salma. Tumekuwa kwenye mahusiano kwa takribani miaka 2 ijapokuwa kimtindo...
18 Reactions
68 Replies
5K Views
Nimefadhaika, nimehuzunika, nimekasirika, nimeshangaa, nimechoka na nimekata tamaa kabisa!! Yaani jamaa analia 'live' mbele ya wazee waliokuja kusuluhisha mgogoro wao na mkewe ambaye anadai...
17 Reactions
111 Replies
7K Views
Wakuu nna mwanangu mmoja bana sweden.. ana mwaka wa 3 huu sasa jamaa hana mtoto hana mke wala nin bongo. Anasoma now.. Jamaa ni wale ma blaza meni yan.. bono alikua anamilik watoto wakal...
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Si mmekuwa mkisikia kuhusu mtumbwi wa vibwengo? Tupo tuliouparamia na ukatushinda almanusra nafsi, roho, uhai ututoke! Ilikuwa ni pisi fulani hivi tamtam ambayo nilidumu nayo kwenye dimwi la...
24 Reactions
43 Replies
3K Views
Habari zenu wanajamii ninaomba msaada wenu nilikua na mpenzi wangu niliyempenda sana na tumepanga malengo mengi sana kiasi kwamba nikatulia nae lakini wiki moja iliyopita nikakuta sms za kimapenz...
8 Reactions
62 Replies
3K Views
Salaam! Nimekaa hapa nimekumbka kisa kilichonikuta siku za nyuma kidogo. Iko hivi katika harakati zangu za pimbi nilikutana na binti mdogo tu miaka 19 mitaa hii ya wasukuma. Nikaomba namba...
5 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari wanaMMU it has been a while sijatokea hapa sababu ya purukushani za dunia hii Je ulishawahi kujiuliza mke wa mwanaume anayeenda kazini kila siku asubuhi anachepuka muda gani? Wakuu naweza...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
"Aiseee...wanajamvi, Ndugu zangu, napenda kuwapa habari njema! Maisha yangu yamebadilika sana tangu nimeamua kukimbia ubachela na kuingia katika ndoa. Sasa hivi natarajia kubarikiwa na zawadi ya...
8 Reactions
38 Replies
1K Views
Niruhusuni niende moja kwa moja kwenye uzi tafadhali...! Hivi, nini maana ya uzinzi? Na je, uasherati maana yake ni nini? (........TAFADHALI, HAKIKISHA UNATOA MAANA YA NENO UZINZI NA NENO...
7 Reactions
51 Replies
3K Views
Wasalaam nyote. Kuna kampeni nimeona iko endelea hapa Jamiiforums. Imepewa Jina la kataa ndoa na maneno mengine yanayoambatana nayo. Kwanini kampeni hii imeachwa ikaendelea kuwepo kwa muda. Hawa...
3 Reactions
73 Replies
3K Views
Jamani wazima? Sisemi nimepata au sijapata ila kwa sasa nimesitisha utafutaji wa mume kabisa na asanteni kwa ushirikiano wenu. Kweli i was so happy kumeet na watu wanaheshima, upendo na...
6 Reactions
45 Replies
2K Views
Subira ilinitembelea Na ilinikumbusha Kwamba mambo mazuri huchukua muda kutimia Na kukua polepole na kwa utulivu Amani ilinitembelea Na ilinikumbusha kubaki mtulivu kupitia dhoruba za maisha Bila...
7 Reactions
14 Replies
976 Views
Hii ni kwa kizazi cha cha mapenzi ya barua na zawadi za maua LEO nimemkumbuka neema kupitia uzi fulani wa ..kimasihara zilizofeli,,,, Popote alipo neema mwambieni mungu atalipa tu alonitendea...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Kutokana na utafiti uliofanywa na vyombo vya kimataifa kama New York times kuhusu utamaduni wa kufunga ndoa. Unaonesha utamaduni wa kuoa au kuolewa unapoteza nguvu ndani ya jamii zile zinazo...
1 Reactions
4 Replies
422 Views
⚠️😳 Kwa mshtuko na masikitiko ya kutoamini Jamaa huyo kwa jina la Chido amejitosa waziwazi kuomba ushauri mtandaoni kufuatia ndoa yake ya miezi mitatu tu kupumulia mashine kwasasa Chido amesema...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Ni Ijumaa kareem njema! Hii hali niionayo si dalili njema. Dar es Salaam karibu kila mwanaume ninayekutana naye ana tumbo kubwa, nini hiki? Kiafya si dalili njema, kimahusiano si dalili njema...
14 Reactions
123 Replies
6K Views
1. Kumpa uhuru wa kuwasiliana nawe. Wengi wapenzi upima na kuyafurahia upya mahusiano yao kwa kuona nafasi aliyonayo kimawasiliano na mpenzie au mwenza waliotoka kukosana na kuombana msamaha...
1 Reactions
2 Replies
592 Views
Mpe kijembe hiki ex wako au kibaraka yoyote Jiko La Shamba Kwangu huwezi kutamba, nimekutoa thamani Ewe mnukia vumba, hufai kuwa jikoni Bado unao ushamba, mapishiyo ya nyikani Wewe ni jiko la...
0 Reactions
6 Replies
594 Views
Ndugu zangu, napata shida sana kuelewa mawazo tofauti tofauti ya wazazi na walezi wetu. Mara zote wazazi wangu na walezi pamoja na ndugu na jamaa wanao wanaonizunguka wamekuwa wakisisitiza nioe...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
, Siku hizi imekuwa ni kawaida sana wazazi kujua kijana wao ana boyfriend ama girlfriend na wazazi hawana shida. Hapo wazazi wanajua kabisa kwamba vijana wanasex ila wanaona ni sawa tu, na hii...
9 Reactions
101 Replies
4K Views
Back
Top Bottom