Mimi bado kijana damu bado ya moto, ni madem wengi wananipaparukia lakini stimu zangu huwa zipo kwa majimama (shuga mummy) .
Kuna jimama moja nimelipata Dar mtaa mmoja unaitwa Chamazi , sasa...
Nimeamua kuandika Uzi huu, ili vijana tukumbushane kutumia Fursa kwa muda muafaka baada ya kufanyiwa uhuni na rafiki yangu mmoja(x).
Ndugu yetu huyu (x) amekuwa na tabia ya kulalamika kuwa Hali...
Habar za leo wana JF,
Mwenzenu nimepata changamoto ambayo asilimia kubwa ya sisi vijana tunaipitia haswa kwenye ishu ya mahusiano.
Kuna mdada tulipendana nae mwaka 2020, tunapendana kama mbwa na...
Usiku unaambiwa amechoka hadi asubuhi, asubuhi unambiwa ngoja nimalizie usingizi, yani unapigwa danadana kama unaomba kazi vile au nini.
Af we unahasira mtu kakunyima, anaingia kwenye simu...
Mimi nipo kwenye mahusiano na mwanaume yapata miaka mitatu, kabla sijamkubalia alikuwa muda mwingi tunawasiliana ila nilipoanza nae mahusiano tu alibadilika; akawa bize muda mwingi na akipata...
Mwanangu mpenzi siku ukiona nimezeeka naomba uvute subira na kunivumilia ila zaidi ya yote jitahidi kuelewa ninachopitia.
Ikiwa tunapozungumza, narudia jambo lile lile mara elfu moja...
Wakuu niaje sijawahi Omba ushauri Jf bt imebidi coz nahisi naenda kudata.
Sitaki tuchoshane na stori,ndeeeeefu ila tu niambieni nimekosea nn mazee maana ni siku ya 5 sijiskii poa nahisi kama...
Salama waungwana,
Niwaulize kwa uchache tu hivi huu ubinuaji wa maprosoo a.k.a makalio Kwa wanawake wakati wakicheza miziki nyakati hizi za ndebendebe na amapiano ni kwamba wanakuwa na stimu...
Baada ya purukushani za muda mrefu sana na haya maisha nimegundua kukosa umakini wa kufikiri na kuamua mambo kwa weledi yamepeleka mahusiano ya mapenzi kuwa ndio chanzo kikuu cha watu wengi...
KWENYE LUGHA KUNA MOTHER TONGUE, KWENYE MAPENZI KUNA FIRST LOVE, TUNAITA MAIN BASE YA MAHUSIANO.
Na, Robert Heriel
Mtibeli
Kila kitu duniani kina msingi wake. Ipo misingi imara na Ipo misingi...
Kwanza kabisa mimi sio mlevi wa pombe kivile ila siku moja moja huwa inatokea bahati mbaya tu napitiliza.
Lakini hata nilewe tilalila kuna vitu ambavyo siwezi nikavisahau ambavyo ni 1. Namba ya...
Ni kisa cha mwanamke mmoja ambae kwa Sasa ni mfungwa gereza wa Moja hapa nchini akitumikia kifungo maisha kutokana na kosa la kumuua na kumhanithi mumewe kwa kutumia dawa ya matone ya jicho.
Nesi...
Habari jf.
Naomba uzoefu wenu watu wazima mlio na watoto au watoto ambao umezaliwa kwenye familia hii.
Ni zile familia ambazo Baba yako kazaa na wanawake hata 2 au zaidi ya 2 na wanawake aliozaa...
Mkulima mmoja mzee kijijini alikuwa na mke aliyependa sana kumbugudhi bila huruma. Kuanzia asubuhi hadi usiku na wakati mwingine hata usiku wa manane, wakati wote alikuwa akimlalamikia kuhusu...
Mwenyewe Ommy anmeweka wazi kwamba anamheshimu baba yake lakini hana ukaribu nae
Ila wanaume buana, yaani alijua kabisa amezaa, kwa hiari yake akamtelekeza mtoto, ila sasa kafanikiwa anamuombea...
Vilio Ni vingi!
Ooh ni viiingi saana!
Hawa wameuana kwa wivu wa mapenzi, huyu amejinyonga, yule anakonda amesalitiwa, mmh makubwa haya!
Kwenye nyumba ile, wazazi hawana amani juu ya watoto wao wa...
Honestly Taasisi ya ndoa Kama imefika mwisho wengi tumebaki kulea watoto tu katika ndoa zetu.
Maneno tunayotamkiana ni zaidi ya Vita.
Guyz things are not easy. Kukaa alone ni Bora Sana kwa zama...
Wakuu nipeni ushauri mdogo wenu.
Nipo kwenye mahusiano na huyu binti kimsingi tulianza mahusiano kipindi nipo mwaka wa kwanza chuoni (hivi sasa nipo mwaka wa pili), lakini yeye tayari hivi sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.