Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
HARVEY: MIMI NA MKE MAMBO SUPA BULL BULL Mara baada ya kutawala kwa habari zakuachana na mkewe, Marjorie Harvey katika mitandao ya kijamii, mchekeshaji na mshauri wa mambo mbalimbali, Steve...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Mfano, wewe mwanaume una hela, Unasukuma gari nzuri kiasi, laki mbili tatu za bata kila wiki hazikupigi chenga, una kazi nzuri na biashara, una nyumba nje ya mji, kibongobongo watu tunaassume...
51 Reactions
81 Replies
5K Views
Habari wana JF, Kuna uzi niliusoma humu ndani. Kuna member alisema ukitaka single mama akupende na akujali, basi mjali sana mwanae Hivyo nikashikilia hili jukumu kutoka kwa mwanamama mmoja hivi...
6 Reactions
21 Replies
1K Views
Mambo yamebadilika sana, kwa sasa mwanaume hawezi kupata mpenzi kama kiuchumi hayuko vizuri. Pesa ndio imekuwa kipaumbele kwa wadada wengi, katika hii dunia. Na hii hali inapelekea kwa wadada...
8 Reactions
59 Replies
2K Views
Twende kwa haraka, Huu msemo wa "Tafuta pesa kwanza achana na mapenzi" au "Single na naenjoi" ni misemo ambayo in reality haitekelezeki, hakuna kitu kinaitwa tafuta pesa kwanza ndio ujihusishe na...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Haya kumekucha amka, amka sasa utume sms nyingine ya "Morning my love" juu ya sms nyingi za jana za "umeshindaje" "nakupenda" "uwe na usiku mwema" ambazo hazikujibiwa tangu mchana na mtu alikuwa...
7 Reactions
7 Replies
1K Views
Nimegundua mahusiano yako very risky kidogo kwa mwanaume asipokua makini. Kwa sababu unaweza ukapata mwanamke ukampenda na kujitoa kwa kile chochote ulichokuwa nacho kwa ajili yake lakini...
17 Reactions
41 Replies
4K Views
Wakuu nina rafikia wa kike aliposting picha ya rafiki yake status whatsapp nikampenda nikamuomba namba akanipa. Nikamtafuta nikamuambia fulani kanipa namba yako akasema poa, nikaa kama week...
3 Reactions
41 Replies
2K Views
Habar wana jamvi ,leo naomba tutoe ushuhuda kwa wale ambao tumelewa na watu ambao sio wazazi wetu mfano Baba mdogo, Mama mdogo, Shangazi, mjomba, mama wa kambo nk ila wakatundea mema Mimi baada...
32 Reactions
22 Replies
2K Views
Je utachukuliaje wewe (mwanaume/mume) ukigunda mkeo anavuta bangi? Au wewe (mwanamke/mke) ukigundua mmeo anavuta bangi? Inakuaje kuna watu wanafanya kazi nzuri kabisa managers, engineers...
4 Reactions
68 Replies
5K Views
Kwanza nikiri tu kwamba nawaheshimu sana Walimu. Nafahamu kwamba profession yoyote duniani ina sifa kuu nne (4); (1) Wanavaa mavazi maalumu wakiwa kazini (Attire). (2) Wana lugha ambazo wanaweza...
15 Reactions
105 Replies
4K Views
Jinsi mama wa msichana alivyovuruga mahusiano yangu. Hii ni true story Mwaka 2019 nilimpata Binti wa kichaga akanipa condition moja tu kwamba kama nahitaji mahusiano naye basi natakiwa...
7 Reactions
46 Replies
4K Views
Kwenye mapenzi ubunifu hauishi, hata hatujamalizana vizuri na utundu wa kufinyiwa kwa ndani (utalia kama mtoto 😁), Lishaibuka jipya saizi kuna utundu mpya umebuniwa. Pipi Hizi hutumika pale...
21 Reactions
250 Replies
121K Views
Habarini wandugu, Moja kwa moja kwenye mada yetu. Rafiki yangu mmoja aliniuliza `Hivi King Jody umewahi kunyimwa unyumba na mke wako? Nikamjibu hapana, hata mara moja, nikamwambia nipo kwenye...
7 Reactions
80 Replies
7K Views
Nipo zangu kipande cha Coco Beach time hii nakula upepo wa bahari. Kuna mwamba kaja na mwanamke pamoja na mtoto wa kiume i'm not sure ila wanaonekana kama familia, mwamba kakodi boya kaenda...
17 Reactions
37 Replies
3K Views
Za asubuhi. Inakuaje mwanamke unakuwa busy kupekua simu ya mumeo na kuanza kusoma message kuanzia jamiiforum ,fb hadi normal text. Wakuu niko na mwanamke ninayeishi naye sijamuoa Ila treatment...
15 Reactions
149 Replies
6K Views
Miaka ya nyuma kidogo wakati niko msela alikuja single mama 1 ambaye tulikuwa na mahusiano ya kunyapia nyapia lkn ujio wake kwngu siku hiyo haukuwa kwajili sex kwa maelezo yake, baada ya kufika...
15 Reactions
32 Replies
2K Views
Nina mwanangu wa kike mwenye umri kama wa miaka 12 hivi. Ana matatizo mawili ambayo nimeshindwa kupata ufumbuzi wake ndio maana nikaamua kuleta huu uzi hapa ili muweze kunishauri. Tatizo la...
10 Reactions
24 Replies
3K Views
Hili swali nimeuliza muda Sana Ila nashindwa kuweka uzi. Jaman wenye elimu ZENU naombeni niwasaidie, hamkusoma ili mkaajiriwe, jiajirini basi tuone matunda ya elimu yenu? Mwanaume kukupenda sio...
6 Reactions
62 Replies
4K Views
Yani unataka upate kitu cha tofauti toka kwa Mke wako. Ile fujo ya kingono isiyo na aibu. Unamletea na ka beer/ wine ili atoe aibu expecting that in bed she is gona give it all, jamani ile...
16 Reactions
103 Replies
10K Views
Back
Top Bottom