Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
KELELE ZINAKUWA NYINGI NA HATA MIA SIJAPEWA ILA MALAYA MNAWAPA PESA https://jamii.app/JFUserGuide U
17 Reactions
167 Replies
8K Views
Mambo vp wadau niende kwenye swali dialect Hivi nikwanini mwanaume anapo pata mwanamke (girlfriend) mwenye kauchumi kazuri akawa anamjali (kumuhonga) kama vile kumpa vipesa, kumnunulia mavazi nk...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
wanawake weupe, wenye tako, macho makubwa na pua ndefu. Nyie sio watu nyie ni Malaika aisee.
10 Reactions
62 Replies
5K Views
Nimetoka na mke wa mtu,..binafsi nimejutia Sana hichi kitendo na nimemuomba mungu anisamehe kwa hii dhambi,. Lakini toba ya kweli ni kumuomba ambae nimemkosea hapa duniani bhasi yeye akikubali na...
6 Reactions
12 Replies
2K Views
Kuna mambo yanafurahisha sana.Una mke umejenga nyumba(wife ni Maza wa nyumbani) wewe unafnya kazi hukooo mbali ukaona wife asiteseke ukamtaftia house boy almaarufu shamba boy. Nyumbani kwa mwaka...
9 Reactions
51 Replies
3K Views
"Mwanangu ahsante sana na nimefarijika kwa kunikumbuka na kunitafuta, mimi ndiyo baba yako na ujue tu kuwa una baba mmoja tu, huna baba wawili. Mama yako ndiye alitaka haya yote, alinizuia mimi...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
(Baadhi ya maelezo ni kutoka katika kitabu cha John Gray kinachoitwa 'Men are from Mars, Women are from Venus' Chapter 8, ukurasa nambari 87) Hisia ndio msingi mzito katika mahusiano ya mwanamke...
1 Reactions
11 Replies
910 Views
Najaribu kuwaza nakosa majibu sahihi, ni kitu gani kinapeleka wanaume kusave wanawake zao majina ya kiume kwenye simu na wanawake pia halikadhalika. Kwani hata kama mnachepukiana si usave jina...
8 Reactions
85 Replies
5K Views
Imekua ni mazoea kila mchana mda wa lunch break kazini kupata lunch pale maeneo ya mzumbe tawi la Mbeya, wengi watakubaliana na mimi ile sehem ni Mbuga maana kila mnyama unaetamani kumona yupo...
4 Reactions
68 Replies
57K Views
Habari wajumbe, mko pouwaa? Huku ni safi kabisa. Jana bana baada ya kutoka kwenye mishe zangu za kulisaka tonge nikaona nipitie kijiweni kidogo kupata gahawa. Si unajua tena hii ndyo mitaa yenye...
4 Reactions
107 Replies
7K Views
Alooooooo Kuna hili jambo hebu tulidadavue.Mwanamke ukiishi naye miezi sita bila ndoa anatambulika kama mkeo.Ila ukimfumania ukataka kumwajibisha unapata vizuizi kwa kuwa hamna cheti cha ndoa...
4 Reactions
8 Replies
603 Views
Kwa lile pila la yanga, leo sijala siku nzima[emoji23][emoji119] Wakuu aliwahi kusema mtu mmoja "Genius is someone who has discovered something more funnier than sex".sidhani kama Kuna neno moja...
30 Reactions
104 Replies
8K Views
Wakuu natumai hamjambo? Twende kwenye mada. Hivi karibuni nimekuwa nikijiuliza kwann sex iko so powerful. Everythng seems to revolve around sex, music praises sex, movies, books, hata mada nyng...
7 Reactions
45 Replies
2K Views
Ma Bibi na Ma Bwana,kwa mtu yeyote aliye Vunja ungo au kubalehe,hapan'shaka tambara hili atakuwa na ufahamu nalo. Kumtukana mtu mzima waziwazi na kumsimanga kila uchao,matokeo yake ndio hayo.
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Miaka kadhaa nyuma nikiwa mkoani iringa kuna mwamba mmoja alikuwa akinichapia shemeji yenu. Jamaa hakuwa na shughuli nyingine zaidi ya kilimo, Alilima nyanya na pilipili hoho, mwaka huo 2019...
39 Reactions
98 Replies
7K Views
Habari wakuu Nina mpenzi wangu tuna mahusiano zaidi ya mwaka lakini haipiti week mbili bila kugombana Yaani lazima tuu tugombane na visirani sana tena sana , unaweza ukampigia simu hapokei au...
5 Reactions
28 Replies
2K Views
Maisha yetu ni mafupi sana hapa duniani, hivyo tunapaswa kufurahia maisha muda wote. Hii habari ya kuoana na mtu eti mchume wote baadaye mtafurahia maisha haikubaliki. Maana hakuna aliye na...
45 Reactions
270 Replies
15K Views
Inawezekana vipi sms ikajituma kwa mtu kupitia simu yako pasipo wewe kuandika hiyo sms? Iko hivi baada ya kuhisi nasalitiwa na Nanii ikabidi nichukue simu yake kwa ajili ya kufanya...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Habari Kwa nchi za Afrika Tanzania ikiwemo kuna trend kubwa ya wanaume kufa mapema kuliko wake zao. Wakati naishi Uswahilini nyumba nyingi nilizopanga au nyumba za majirani nyingi hazina wanaume...
16 Reactions
40 Replies
3K Views
Habarini wakuu, naimani ninyi humu wote ni wazima wa afya! Kama Kijana wenu bado naendelea kuteseka na mapenzi maisha nayo yananichanganya sana mpaka nakaa nafikiria kujiua nikapumzike kaburini...
13 Reactions
175 Replies
7K Views
Back
Top Bottom