Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Watanzania huwa hatuandamani, ila tuna njia zetu za kudeal na mambo, TEC wamehitimisha. Hili limeisha. Kuna mwanamke nilikua namlia mingo muda kidogo, sema nikawa situlii, muda mwingi niko pori...
24 Reactions
83 Replies
6K Views
Hello nawasalimu kwa bashasha za ubaharia. Kama rejea ya kichwa Cha habari ilivyo karibu tuseme machache kuhusu mazuri na maswahibu ya mzamo katika wilaya maarufu sana kwenye UGA wa mahaba wilaya...
6 Reactions
15 Replies
1K Views
Wakuu salama hapa? Kuna rafiki yangu alinitafuta akihitaji ushauri na kujua taratibu za kufuata ili aweze kudai na kurejeshewa fedha zake na mali zingine alizotoa kama kishika uchumba kwa mpenzi...
3 Reactions
29 Replies
2K Views
Wanaume nisikilize mimi, ukikutana na mwanamke mzuri muoe zaa nae watoto jenga familia pamoja naye. Anaweza kuwa rafiki yako bora, msiri wako, mfanya biashara wako mshirika. Na Unaweza kumuona...
22 Reactions
92 Replies
5K Views
"SOME LEMONADE FOR YOU MADAME" akauliza butler "No, I don’t want". akajibu! Akiwa amelalia hammock, saa 11 jioni jua likizama, akaendelea kusema kwa sauti ya chini, mume wangu anakuja, naamini...
11 Reactions
438 Replies
72K Views
So leo nilikuwa namfanyia interview Shangingi mmoja kuhusu maisha yake, kabla na baada ya kuitwa Shangingi Ila sasa ameolewa na ana ndoa ya Miaka 10 na watoto 3. Interview nitarusha baadae kwenye...
3 Reactions
34 Replies
10K Views
Habari za weekend! Kama ilivyoa ada. Mimi ni mtu mzima kiasi nina mke na watoto wawili. Nyumbani mke wangu anajituma si kwamba ni mvivu la hasha. Anafanya mambo yote kama mke. Lakini kuna jambo...
29 Reactions
187 Replies
13K Views
MUHIMU: Sheria za Tanzania zinaruhusu kuao binti mwenye miaka 15 Kwanza kabisa nisema binti wa miaka 15 sheria zinaruhusu aolewe, ni kwa wakristo tu sheria za makanisa yaliyoanzishwa ulaya...
12 Reactions
25 Replies
4K Views
Wakuu Salam kwenu Moja Kwa moja Sitaki kutaja kanda ila tu ni watani zake wale watafta ela wa kaskazini Kijana wao kaoa (nje ya kanda) hana ajira ila kajitafta kajipata sasa kijana nae sio...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Wasalaam JF, Kumekuwa na kautamaduni ka wanawake kuiga Kila kitu bila kufanya tathmini oanifu ya mfano msuko wa nywele na bichwa au uso wa mhusika, mavazi pia, makeups pia, miwani, miguu na etc...
1 Reactions
6 Replies
605 Views
Wapendwa nawasalimu, sina hoja ndefu kuhusu Uzi tajwa. Kumekuwa na wimbi kubwa kadri siku zinavozidi kusogea, ME na KE kutumia mitandao ya kijamii kutafuta wenza(wapenzi) wa kuishi nao maishani...
2 Reactions
83 Replies
5K Views
Watanzania huwa hatuandamani, ila tuna njia zetu za kudeal na mambo, TEC wamehitimisha. Hili limeisha. Kuna mwanamke nilikua namlia mingo muda kidogo, sema nikawa situlii, muda mwingi niko pori...
6 Reactions
40 Replies
4K Views
Habari za jioni Wakuu! Kutokana na kuongezeka kwa wimbi la vijana wadogo wa kiume kushindwa kuhimili tendo la ndoa, nimeamua kushea nanyi mbinu mbadala ambayo nimeitumia kwa miaka mingi na...
7 Reactions
58 Replies
21K Views
Mko poa Nisiwachoshe Ipo hivi juzi hapa jumuiya ilikuwa kwangu tulisali vizuri tu sasa baada ya kumaliza ambaye anachukua msalaba ni mtu wa iabu huyu dada tumuite Bupe. Aliniomba nimpelekee...
18 Reactions
129 Replies
7K Views
Wakuu kama mtu ni mke wa mtu kulingana na utamaduni wa kawaida ni wakati Gani usiku SI vyema kwake kuranda rande mtaani?
1 Reactions
5 Replies
624 Views
Ninawasalimu wote kwa heshima zenu ,wakuu…itifaki imezngatiwa Hoja:nmeona na kuskia mara kadhaa kuwa sisi wanaume tunasema/kulalamika kuwa mwanamke hana kingne anachoweza kuoffer kwa mwanaume...
8 Reactions
41 Replies
2K Views
Habari za maisha wakuu Tulitengana akaondoka na mtoto akaenda kukaa kwa dada yake baadae alipata mtu mwingine akamuoa siku ya ndoa yake aliambiwa na dada yake mkubwa pamoja na mume wake huyo kua...
16 Reactions
43 Replies
3K Views
Anamlalamikia kama ilivyo kawaida ya wamama kulalamikia karibia kila kitu. ila mimi sijaona sababu ya msingi ya kumtimua lakini najua nikimwambia si ajabu akadhani nnamtaka huyu dada
7 Reactions
61 Replies
5K Views
Huyu mpenzi wangu simuelewi kabisa, tangu mchana leo amekuwa mkali kweli na ananiangalia kwa jicho la hasira. Na ameanza kubadilika baada ya kuniona nakula nazi mbichi tatu, mihogo mibichi sita...
9 Reactions
117 Replies
3K Views
Back
Top Bottom