Naomba kujua hili.
Wanawapelekesha ,
Wanawatumikisha
Wanakaripia lakini wala hamlalamiki mnaona sawa tu ni kwanini, yaani tuseme tu wenye sura nyeupe , nyeusi wanawahanya sana.
Hata dada...
Natumaini mko wazima wanna forum. Mada ya leo itahusu antinatalism na childfree. Nitaanza kwa kuweka hizi hoja mbili wazi kuwa kuna watu ni childfree (by choice) na pia ni antinatalist ila si kila...
Vigezo:
1. Awe muislamu
2. Umri miaka 20-26 au around that age.
3. Hakutakua na mapenzi kati yetu just need a child.
4. Mtoto akifika miaka 3 namchukua.
5. Malipo milioni mbili ukishika mimba...
Kwa haraka haraka, muonekano wa mtu kimavazi, kimiondoko, kimaongezi, na alivyosuka kichwani; humtambulisha huyu ni mtu wa namna gani, na kupitia maeneo hayo unaweza pia kujua tabia ya muhusika...
Habari JF
Naona hivi visa vya mapenzi sasa vinakuwa vingi na vijana wengi wanapoteza maisha yao na ya wenzao kisa mapenzi
Naomba nisisitize tena, mchumba, mpenzi hasomeshwi. Labda kidogo kama...
Ni kwa nini haya mambo yasiwe ya ana kwa ana ama kupiga simu, kwanini wengi wakipata mimba iwe ni yako ama kubambikiziwa hupendelea kukujulisha kwa meseji?
Ni ugeni wa ghafla tu umetokea hapa kwangu leo, baba mkwe amekuja kufanya kama suprise, bila taarifa wala nini na kusema ana mazungumzo na mimi.
Kweli nimepokea wito ila chakushangaza mpaka sasa...
Mwaka 2019 nilikua na msichana mpenzi wangu mwaka huo huo nkaondoka kwenda kuitafuta maisha nkamwambia acha nikasake noti nikizipata nitakuja nikuoe mwaka huu mwezi uliopita ndio nimerudi...
Wakati fulani katika miangaiko ya kimaisha nikajikuta naishi vingunguti ndani ndani uko nyumba zimejengwa bila ramani unaweza kupita pita ukashangaa umetokezea sebureni kwa mtu. Kama kawaida ni...
Wakuu hii ishu ya kumuowa mwanamke masikini asiekuwa na kila kitu mnaichukuliaje, kuna wanaume wengine kama mimi kigezo cha sura na tako wala sikipi uzito.
Mimi ni mpambanaji na kiuchumi walau...
Alimaliza kidato cha nne akakosa mwongozo, Tulipokutana nikampa ushauri akaufanyia kazi akafanikiwa kwenda chuo.
Baada ya kumaliza diploma akarudi uraiani, Nikamfanyia connection akapata ajira ya...
Hii piisi kali mwanzo kabsa nliomba namba ikanipa ila ikawa inanichomolea kila nikimrushia ndoano na chambo anakula chambo anatema ndowano.
Nikaomba apointiment mara ya kwanza ikasema tukutane...
Kuna mzee mmoja nilikutana naye eneo moja la kazi miaka 12 iliyopita, na katika mazingira ya kazi tulikuwa tukiheshimiana sana, na tulikuwa tukiishi kama familia; leo tukale wapi au kunywa wapi...
Asexual ni wale watu wasiopatwa msisimko wa mapenzi/mahaba kwa mtu yeyote, wengine wanaweza kua kwenye mahusiano lakini wakawa hawataki kufanya mapenzi, Yaani hawajisikii kushiriki sex wala...
Kuna tofauti kubwa ya kuishi kama mume na mke, kuishi kama wanandoa na kuishi kwenye ndoa
Ukaribu
Kushare hisia njema na mbaya
Kushare fikra na matamanio binafsi, ndoto na maono
Uaminifu
Upendo...
Hellow
Inapokuja swala zima la kuolewa kwa mtoto wa kike kunakuwa na mitazamo tofauti kuanzia mzazi mpaka mtoto mwenyewe wakike anakuwa na mtazamo tofauti
Ipo hivi kuna familia ina watoto wa...
Kwa muda Sasa mpenzi wangu amekuwa akisema (kudai) anaota NDOTO akifanya mapenzi hadi kuridhika.Na amekuwa akiota na watu(sura) tofauti tofauti anao wajuwa tena Hana ukaribu nao na akiamka...
Hii ni theory yangu nimeiwaza kichwani, sijajua kama ina efficiency ya walau asilimia 98% ya kutoa accurate results:
Mfano umempenda mdada ambaye unaishi naye mtaa mmoja, college moja, darasa...
Kwani soko la mapenzi limeingia mchanga au limevaa ndondo cup
Siku hizi bwana mpaka umpate mwanaume anakutongoza, nenda kanisani ukatoe sadaka kabisa
Ukipata hata mwanaume anakupeleka kwake...
Wanaume wanaopenda kufanya ngono mara kwa mara wanadaiwa kuwa kwenye hatari ya kufariki mapema tofauti na wanaume ambao hawafanyi kitendo hicho mara kwa mara.
Hayo yamesemwa na daktari bingwa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.