Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Watanzania tuna utamaduni wa ajabu sana, ni mara chache sana ukute mzazi/Wazazibwanatoka out kama familia Baba mama na Watoto, hii ni nadara sana kwa ngozi nyeusi na ukiona hivyo ujue hio Familia...
14 Reactions
71 Replies
4K Views
Wapo baadhi ya wanandoa wengi wao ukiwauliza mara ya mwisho walitoka out lini na wenza wao? huenda majibu yao yakakunyima raha kabisa, huenda majibu yao yakakunyima raha kwa sababu wapo...
13 Reactions
57 Replies
5K Views
Wanaume tumekuwa tukiangaika sana juu ya kufanya vizuri tuwapo kwenye tendo, wapo wanaotumia sijui mkongo, vidonge, energy drinks nakadhalika ili kuwa na pafomansi nzuri kwenye tendo. Hivyo vyote...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Jana tukiwa kwenye foleni zetu za Dar kurudi nyumbani, mmoja ya mshikaji wangu akatuambia amepata mpenzi. Tukamfurahia na nini, tukamuuliza anaishi wapi, akasema anaishi SINZA🙄 Wenzangu 4 kwenye...
8 Reactions
170 Replies
30K Views
Basi buana Jumamoc si nikaitwa mtaa wa 3, yow crazy ass Money Penny come here! Mjeda nikadondoka si unanijua ukiitwa nenda waswahili wanasema itikia wito kataa nenda Kufika naona wadada visuuu...
7 Reactions
160 Replies
27K Views
Kuna dogo jana kanifuata Oh da Penny msaada wako na hekima yako plz Kuna dada namfuatilia mwaka wa 2 sasa lakini napigwaaa tuuu Kupigwaaa nina maana napigwa hela zangu afu anasepaaa sipewi kitu...
2 Reactions
28 Replies
8K Views
Siku moja nilikuwa na shoga yangu njiani tunaelekea Ilala boma kusagula viwalo Shoga yangu akafunguka; Eh bora nimekumbuka, kuna kaka nimetokea kumpenda sana, kila siku nikiwa naenda kazini...
1 Reactions
50 Replies
6K Views
Fantasy! Wengi wenu si mnajua maana ya Fantasy sio ee?! Aya kwa wale wenzangu na mie akina Kayumba, Fantasy maanake = kitu cha kufikirika, imaginations, kuwaza, uswahilini mnasema KUBASHIA. Juzi...
0 Reactions
43 Replies
9K Views
Chai ni tamu ikiwa ya moto, ikipoa sasa umeme na gesi vyote vikawa vimeisha ndio utajua hujui. Haya sasa, kwa mnaonifahamu ingawa mimi sio mwamba. Msaidieni mwenzenu apashe kiporo au?
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Akyanani😂😂😂 wonders shall never end 😂 Mpaka Corona Iishe tutaona Mengi 🏃🏃🏃
3 Reactions
30 Replies
3K Views
ACHA UMBEA NENDA KAFANYE KAZI WEWEEE 🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🤮 Cc: Honey 50thebe Kyalow Mtoto halali na hela Kichaafulani Ekuweme sab Daby joanah moneytalk
3 Reactions
91 Replies
12K Views
Nilikuwa kwenye mahusiano na mdada hivi mtu mzima, kwa miaka kama mitatu. Alikuwa anafanya biashara ya kuuza vilevi. Hiyo biashara ni ya kwake binafsi. Sasa katika mahusiano yetu japo kuna wakati...
33 Reactions
135 Replies
6K Views
Haya haya sasa, Wale mabachela sugu wamerudi tena Wanawashangaa mnamlalamikia mapenzi Niko na Mwamba hapa oysterbay, senior batchelor ananiuliza Money Penny what is love?! "Love ndio nini...
4 Reactions
59 Replies
3K Views
skia hii, jana nilikuwa napewa stori na dada mmoja anakaribiwa kuolewa nikamwuliza amempataje mpenzi wake akanijibu Dada: Nimempata kwenye morning and evening glory nilikuwa naenda kila siku...
18 Reactions
190 Replies
6K Views
Shogangu anaolewa bwana, Leo ananihadhithia jinsi gani walivyoenda kwenye mafundisho ya ndoa halafu mchungaji akawa anazugazuga alipomwuliza swali na KUMFOKEA😂 Shogangu: mchungaji samahani, maana...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Jumapili Bwana TULIKUWA kwenye sendoff ya Corona, basi kuna chalii wangu kule ofisini anapeeenda sana kusoma nyuzi zangu za huku JamiiForums. Sasa akanialika BUZA juzi, akaniambia njoo ucheke...
0 Reactions
32 Replies
6K Views
Unajua wa Tz mnavisa sana jamani, ivi mnataka mimi nicheke au mnanitafuta ubaya na Muumba? Ujue sijamaliza kuzaa jaman mniache mniache. Jana wamekuja ndugu home kunisabahi mama kijacho, sasa...
12 Reactions
490 Replies
70K Views
Haya haya sasa wale couple admirers mkuje sasa mtuambie nani ni mkali akina couple gani mnayo wa admire hapa jamii forum na dunia nzima MIMI wa kwangu ni hawa hapa MIMI wa kwangu ni hawa hapa...
6 Reactions
114 Replies
5K Views
Hey~lo! Mtanisamehe sijaleta misaada sio kwamba haipo ipo kibao ila ndo shemeji yenu kanibana kidicteta na hizi mvua basi me kushnehi, ila nimenyooka nimerudije! Kiru! Miaka ya nyuma kidogo, kuna...
11 Reactions
96 Replies
8K Views
Money Penny: shoga vipi mbona shingo imejaa rangi nyekundu Nani kakung'ata?! "Shoga: mume uyo, kani-ng'atang'ata Jana alipotokea safari Karudi toka safari, sijaonana nae Miezi 6 tangu aondoke...
6 Reactions
44 Replies
7K Views
Back
Top Bottom