Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Leo natoka Kanisani nakutana na mdogo wangu mmoja kachooooka maskini, nikahisi labda ana Corona. Katika ongea ongea nae nikagundua kachapwaaa kimapenzi, aliingia kwenye 18 ya dada mmoja Mlokole...
12 Reactions
128 Replies
14K Views
Kwani siku hizi class na desires mmemwachia shetani awashikie au? Nipo hapa kwenye kituo nasubiria usafiri, kuna wadada wanaongea kuhusu kupata hela na mabwana. Katika maneno yao meeengi, hili...
15 Reactions
179 Replies
6K Views
Wakuu.. Hivi inakuaje kwenye mahusiano watu mnagombana kila siku mpk mnatishiana kuachana Nimeona nyuzi nyingi watu wanalalamika wamegombana na wapenzi wao Huwa najiuliza mbona mimi sijawah...
3 Reactions
24 Replies
1K Views
Wakuu kwema? Nina jambo nataka ni share na ninyi nina experience nalo na pia kuna watu watakua wana experience nalo pia. Ipo hivi kwenye maisha hakuna kitu kinachokatisha tamaa kama...
23 Reactions
32 Replies
2K Views
Kwenye maisha kila kitu huja kwa wakati wake, unaweza ukawa unahuzunika miaka inaenda na bado hujajenga, hujawahi kumiliki Baiskeli, pikipiki wala gari hupendezi kama wenzio kwasababu huna kipato...
11 Reactions
15 Replies
1K Views
Ni mida ya asubuhi around saa 10:00am asubuhi siku ya Jumapili, Nikiwa nimepoz kivulini mkononi nikiwa na kinywaji cha Dragon, huku mkono wa kulia nikiwa nimeshikilia simu naperuz katika mtandao...
7 Reactions
63 Replies
3K Views
Wakuu tujuzane kama mwanamke mvuta bangi anafaa kuoa. Tupo wanaume ambao baadhi yetu tumeshakutana na wanawake warembo lakini wanavuta bangi hali hiyo ikatusikitisha sana. Je, mwanamke kama huyu...
7 Reactions
94 Replies
6K Views
Kumezuka wimbi la wanawake kushoot video wakinyonyesha huku hawajajisitiri vizuri Kisha wanapost.Swali langu ni Kuna umuhimu gani wa kufanya haya?
4 Reactions
29 Replies
3K Views
Uzoefu unaonyesha katika familia nyingi ndugu wa mwanamke ndio anaweza kutoboa na kuishi kwa amani kwenye familia nyingi. Ndugu wa mwanaume ni mara chache sana, tena wanaishi kwa kufosi. Tatizo...
21 Reactions
157 Replies
9K Views
Kwenye utongozaji Linapokuja swala la kukataliwa, wanaume tunakutana na wanawake wa aina mbili: Aina ya kwanza ya wanawake ni wale ambao ukiwatongoza, wakikukataa, hadi moyo unaridhika, unatamani...
17 Reactions
38 Replies
3K Views
Wife hana tatizo lolote, zaidi kuonekana mchovu na kudeka hapa na pale. Je, mwisho wa kupiga pipe ni mimba ikiwa na wiki ngapi? Naombeni ushauri wakuu, maana nahofia kumtoboa mtoto utosi.
7 Reactions
42 Replies
2K Views
Habari wakuu. Katika kupiga story juzi kati kijiweni ikaibuka story ya kuwa ukifanya mapenzi na mwanamke akatunia kitambaa chake kukufutia na kwenda nacho anaweza kukuloga. Ambacho anatakiwa...
11 Reactions
74 Replies
4K Views
Kwa utafiti nilioufanya waha wanaibuka kwa biashara. Miaka kumi ijayo .waha watakuwa wamewaacha mbali sana wakinga na wachaga utopolo Waha jamani wana hela jamani .ila ni wabahiliii wabahili huli...
18 Reactions
130 Replies
7K Views
Hivi kwa mfano umeingia kwenye mahusiano na mwana mke miaka 2 ukampa ujauzito ukamua kumuoa tena kwa ndoa ya kanisani baada ya wiki unagundua kua ni mathilika wa ukimwi na ww hujaathirika...
3 Reactions
60 Replies
3K Views
Habari za week-end ndugu zangu. Kwa anaefahamu kuhusu hii saikolojia ya wanawake wa aina kama hii tusaidiane. Kijana unakuta mwanamke umri wa utu uzima kabisa miaka 26 , anakushobokea kila daily...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Binafsi sivutiwi kabisa na makalio ya mwanamke, yawe madogo, size ya kati au makubwa hayanisisimui chochote kile nikiyatazama Ukiona nmepishana na mwanamke na nmegeuka nyuma, Basi jua akili yangu...
35 Reactions
778 Replies
34K Views
Sahivi kama unakutana na demu lazma ujipange kifedha lasivyo utakua mnyonge sana. Ipo hivi unakutana na pisi yako kesho weeknd Usafiri weka 30k Dinna weka 40k Mtaenda kiwanja kikali bajet ya...
18 Reactions
156 Replies
9K Views
Habari wajameni, Kwa unyenyekevu kabisa wapendwa, jokes aside please, nakuja mbele yenu kinyonge na kuomba msaada. Kuna mdada mmoja wa kimag'hati niko nae kwenye mahusiano miezi kama mitatu...
4 Reactions
35 Replies
2K Views
Nimepata tabu kiasi kupata maana halisi ya neno"mapenzi" nikaishia na neno mahaba. Tabu niliyoipata ni katika kuchaguwa namna ya kuiweka sentensi ili ifahamike, kila nilipojaribu neno, nikaona...
10 Reactions
79 Replies
4K Views
Kama dawa kama kawa. niende kwenye swali bila kupoteza muda kwa wajuvi au ambao wamesha kutana na hili. Hivi wanawake wanamaanisha nini pale unapokua nae kwenye mahusiano anakuona jau (fala)...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Back
Top Bottom