Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Jamani nyie! Kwanza naipenda hii platform kwasababu ya anonymity feature! Ila kwanini wanaume ni heartless sana? Inakuaje unamtafuta mwanamke miaka kama minne straight pale anapokupa nafasi...
15 Reactions
155 Replies
15K Views
Ndugu zangu hali niliyonayo sasa naona sio nzuri, kama nilivyowaambia hapo kwenye juu kama kutakuwa kuna mwenye mbinu mpya anipe. Nimekuwa na mwanamke wangu ambaye kiukweli nilidhani mi napenda...
26 Reactions
318 Replies
36K Views
Watu wanaachana lakini namba hawafuti. Unajua ni kwanini? Kwasababu ni suala la muda tu ipo siku watatafutana. Nami nakushauri kamwe usifute namba ya ex wako. Ipo siku atakufaa kwa matumizi ya...
60 Reactions
610 Replies
25K Views
Vijana! Nguvu kazi ya taifa letu, watoto wetu, wakwe zetu, madaktari wetu, wanasheria wetu. Kijana, nakuambia leo hii Jumapili, usipojipenda hakuna wa kukupenda niamini mimi. Huwa nalia machozi...
124 Reactions
233 Replies
19K Views
Habari zenu.Nianze kwa kuuliza hivi wanawake wakoje?.Hii imenitokea juzi jioni.Ni hivi nilikuwa katika mahusiano na mwanamke ni mahusiano ambayo sikuwahi kuyaelewa nikaamua kuachana nayo...
26 Reactions
113 Replies
8K Views
Ndugu zangu nawatakia usiku mwema na poleni na majukumu. Naombeni ushauri wa mwisho kuhusu huyu binti wa kimeru, nimuoe au niachane naye.. Nimeingiwa na hofu na woga kuhusu hili kabila kutokana...
6 Reactions
51 Replies
4K Views
Habarini wakubwa kwa dogo, poleni kwa miahangaiko ya usiku na mchana rejea head hapo juu kitaa huwa hawakosekani mademu kama hao unakuta jamaa wanakwambia unamchek huyo demu maji kijiko kimoja tu...
3 Reactions
4 Replies
607 Views
Habari zenu, Mara nyingi ninapokuwa naperuzi YouTube kuangalia videos mbalimbali nimekuwa nikikutana na videos za ajabu ajabu, videos ambazo mara nyingi huwahusu wanawake ambao huwa wanatoa...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Chakula cha usiku ni kitamu na si tu kwamba ni kitamu bali kinamchango mkubwa kwenye kuimarisha mahusiano na kutatua migogoro midogomidogo kwenye familia. Ila wakati wa kujipatia mlo huu ni...
4 Reactions
4 Replies
874 Views
Habari wana JF, Mimi ni kijana (27) na nina mpenzi tunaependana, hivi karibuni nimepanga kumchumbia tatizo yeye Muislam mimi Mkristo na anadai kwake haitowezekana kubadili dini mimi pia ku...
12 Reactions
180 Replies
7K Views
Kuna mtu mmoja hivi kampenda rafiki yangu, hawajafanya lolote ila shida ni mke wa jamaa alikufa kwa ajali ya gari sasa huyo dada yupo njia panda anaogopa kama kitamtokea kama kilivyomtokea yule...
5 Reactions
47 Replies
2K Views
Niaje mabibi na mabwana Kuna manzi angu imezoea sana kunipiga picha tukiwa faragha licha ya kuikataza na kuionya mara kadhaa ila imekuwa ikirudia sana iko kitendo kiasi cha kunifanya nishtuke...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee! Msione niko kimya mkajua ma story hakuna, yapooo teleee! Mambo ni hiviiiiii! Napata ma story nawakumbukaje wapendaa ubuyuuuu. Napata mastory matamu matamuuu! Sababu...
36 Reactions
458 Replies
76K Views
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!. 1.Binti akiwa Mzuri tambua kachukua uzuri wa mama yake. 2.Binti akiwa Mang'aa(Maliar) tambua karithi umang'aa kwa Mama yake. 3.Binti akiwa...
12 Reactions
49 Replies
2K Views
Habari za wakati huu ni mbaya sana kwani mwezenu sijalala usiku kucha kazi ni kulewa tuu. Nilimfukuzia fukunzia sana mwanamke mmoja na kufanikiwa kumnasa katika nyavu zangu. Mtoto anaingia king...
13 Reactions
64 Replies
4K Views
Ilikuwa mwaka jana mwezi wa 5. Binti mmoja karibu na home alichumbiwa na kijana mmoja aliyekuwa mpenziwe kwa miaka 2 hivi. Baada ya kulipa mahari taratibu za ndoa zikaanza, sasa siku moja...
6 Reactions
35 Replies
3K Views
UZURI WA MWANAMKE HUWEZI KUUONA SIKU YA KWANZA, MACHO HUDANGANYA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Sisi wanaume kisaikolojia tunapomuona Mwanamke Kwa mara ya Kwanza, macho yetu hutuonyesha kama...
21 Reactions
72 Replies
5K Views
Jana niliweka uzi wa kuomba ushauri hapa kuhusu mtu alienipenda halafu kanizidi umri, ndugu jamaa na marafiki wakasema yao humu kuna walioniita mjinga, walionitukana na wakanisema vibaya ndgu...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari wanajf Unajua Mungu kamuumba Mwanamke nakawaekea silaha kubwa sana, Mwanamke akitumia hizo silaha anaweza kuwin moyo wa mwanaume kirahisi kabisa na Mwanaume kumtii yeye huna haja hata ya...
6 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom