Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Tuwakumbuke wazazi wetu bila kujali walipo au sisi tulipo. 👌 Mzee alipeleka simu yake kwa fundi ikatengenezwe, Fundi akamwambia mzee mbona simu yako hii sio mbovu kabisa, Mzee akamuuliza fundi...
6 Reactions
37 Replies
2K Views
Salaam! Mie binafsi wakati nipo 20s nilipanga kuwa na watoto 12 maishani mwangu. Kwa sasa nipo na early 40s ila nina watoto 3 na mama amesema imetosha hataki kabisa kusikia tunaongeza mtoto au...
25 Reactions
355 Replies
13K Views
Mwanaume linapokuja swala la SEX hautakiwi kabisa kuwa mvumilivu. USISIKILIZE maneno ya kijinga kutoka kwa mwanamke kama vile: • Tufahamiane vizuri kwanza • Mimi ni mlokole sex ni mpaka niolewe...
21 Reactions
14 Replies
2K Views
Sina mengi ya kusema Dada zangu mliokomaa hivi majuzi na kufikia hatua ya kuwa watu wazima nawaombeni Sana mjitunze msijihusishe na mapenzi yasiyokuwa na umuhimu wowote.Hakuna madhara yoyote...
7 Reactions
22 Replies
1K Views
Mimi ni kijana, miaka 27. Ninaishi na kufanya kazi mkoani nyanda za juu kusini huku. Nina kazi nzuri na vibiashara vya hapa na pale vya kuniweka mjini. Nilikua na malengo mengi sana na swala la...
6 Reactions
128 Replies
12K Views
Wakuu habari zenu, Inawezekana hili ni jambo ambalo linaonekana kama ni gumu sana, lakini nisiwe mnafiki, maisha yangu yote sijawahi kuuonja upendo wa mama. Nyumbani tuko wa tano, mimi ni wa...
10 Reactions
170 Replies
16K Views
How much of an age gap in a relationship is too much? Age gaps in relationships have been a topic of curiosity and discussion for ages. People often wonder how much of an age difference is too...
0 Reactions
1 Replies
586 Views
Wanajukwaa habari zenu, Kuna jambo nahitaji msaada wenu, mimi weeknd hii nina kwenda kutoa mahari ya kumchumbua binti X ndugu zangu wote muhim watakwepo, sasa nawaza kumvalisha na pete kabisa...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Hizi ni nyuzi special kuelezea akili za mtu mweusi, naanzia hapa. Akili za mtu mweusi season1. ep 01 :  Kuchangishana pesa kwenye raha binafsi za watu( hizi wanaita sherehe za harusi, ubatizo...
13 Reactions
42 Replies
3K Views
Sio wote lakini wengi huwa na tabia ya kuhamasishana umalaya: Wajenzi wa nyumba Wachimbaji wa madini Wavuvi Mafundi gereji Mafundi simu
0 Reactions
7 Replies
1K Views
kama kichwa cha habari tajwa nilikua na mahusiano na mke wa mtu aliye mkimbia mume miez kadhaa sasa bhana na mimi kanikimbia karudi kwa mume wake sasa kila nawaza kumtoa kichwani hatoki...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Watu wote tunajiskia vibaya tunaumizwa na mapenz na maisha kwa ujumla, hebu tusaidiane nini cha kufanya kutuliza huzuni?
0 Reactions
34 Replies
10K Views
PSYCHOLOGY: SAIKOLOJIA ISHARA 7 KUWA MKEO ANAHITAJI UMSIKILIZE Wakati fulani kitu pekee ambacho mwanamke anakihitaji ni mtu wa kumsikiliza. Njia maridhawa ya kumsaidia mkeo katika matatizo yake...
0 Reactions
0 Replies
533 Views
Asalam Aleykum, tumsifu Yesu kristo, Bwana Yesu asifiwe. Wanawake wanawake wanawake hakuna limbwata ya kumkalisha mwanaume chini. Mwanaume kama hakupendi ni hakupendi tu usijihangaishe. Ukimpa...
6 Reactions
1 Replies
914 Views
Hivi Kuna ukweli kuwa wanawake wa kimaasai hudumu katika ndoa?
2 Reactions
5 Replies
994 Views
Wakuu, Sina haja na mwanamke anayehisi ananivumilia, sihitaji kuonewa huruma na mwanamke Nataka mwanamke ambaye kama sio kunipenda mimi na leo yangu basi awe ameiona potential kwenye kesho yangu...
13 Reactions
61 Replies
2K Views
Habari za wakati huu ndugu zangu Hivi karibuni nimetokea kuvutiwa na mabinti wawili kwa wakati mmoja ikabidi nianze kuwafukuzia sana ili atakae jaa nichomoke naye kimaisha. Binti mmoja alikua...
2 Reactions
40 Replies
3K Views
Kwa kiasi kikubwa hili jambo, kimsingi limepitwa na wakati. Watu kuumizana kihisia,wengine kupoteza maisha. Kuna gharama ya fedha na muda katika jambo hili. Wengine huingiamo kwa ajili ya...
12 Reactions
64 Replies
3K Views
Usikate tamaa kwenye maisha hata kama unapitia magumu kiasi gani, simama tena jikaze na songambele, usiogope kuanza upya haya matatizo unayopitia leo ipo siku yatakuwa ni kama historia. Usimkufuru...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwakweli kwa tamaduni zetu hili suala limekuwa likifumbiwa macho na la kukwepa, ila angalau zamani tunapobalehe wavulana tulienda jandoni na dada zetu walienda kufundwa unyango, kwa sasa wavulana...
4 Reactions
22 Replies
1K Views
Back
Top Bottom