Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Hii CD ya sasa hivi, Prison break, 24, zitasubiri miaka 1000! NI MVURUGANO WA KUFA MTU! MSOMAJI USICHOKE, TWENDE MPAKA MWISHO, UKIFIKA KATIKATI USICHUKIE WALA KUKIMBIA, NDIO MAISHA! KIJIJINI...
7 Reactions
234 Replies
38K Views
Last week Muungano day kukawa na family gathering kwa uncle, alichinjaaa mduuduuu kachinjaaaa mbusii kachinjaaaa majogooo kabanikaa mandisi kachomaaa yani nyama choma festival flan amaizing Basi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Numbisa lara 1 Valentina SIDECHIC MANAKE NI MCHEPUKO/NYUMBA NDOGO/KIPIMA JOTO/ MSAADA TUTANI/ SPEA TIRE/ ETC ETC ETC MAIN CHIC MANAKE NI MKE/ MPANGO MZIMA/ MAMA LA MAMA ETC ETC Nimewaletea...
9 Reactions
241 Replies
38K Views
Haloo wakuu kina Chakorii, Hornet, To yeye, Kelsea, Depal, Joanah, Witnesj7, miss minah, stacia, Kalpana, Kasie, na wengineo wote hao kwa pamoja ni dada zetu. Itifaki imezingatiwa..... Kimasihara...
13 Reactions
104 Replies
3K Views
Oy wajumbe Hivi Haina madhara ya kumweleza mpenzi mke/Mme wako historia ya mahusiano yako ya zamani.Mimi nipo kwenye harakati za kuuaga ukapera soon ila kuna swala linanitatanisha.Mdau mara kwa...
1 Reactions
6 Replies
596 Views
Wasaalam! Kutokana na kuwa jobless kulana ndio imekuwa sehemu ya kupunguzia mawazo. Leo ikanibidi nimtafte X wangu mmoja angalau tupashe kiporo, tukapanga mida ya saa 10 atakuja geto tufanye...
28 Reactions
98 Replies
5K Views
Hello JF, Mvua ni chagizo la veto ya mapenzi, kila wito imo! Neema ya mvua za vuli imeanza maeneo baadhi ya Nchi ya mahaba, natoa Rai Kwa mabaharia wote tuendelee kuyaanda Maghetto yetu. Kwa...
2 Reactions
37 Replies
1K Views
Taja Tabia za mwanaume au mwanamke ambazo zinaonesha kwamba penzi limekwisha au penzi limekufa iwe ndoa au uchumba‼️
1 Reactions
83 Replies
5K Views
Kwani mavazi ya kikahaba ni yapi jamani, mbona mnanichanganya? Je ni kweli mavazi ya kikahaba yanamfanya msichana kutopata mume? Mbona wanawake wanaokaa uchi wameolewa sana mpaka na kuacha na...
7 Reactions
245 Replies
12K Views
Mnaotafuta waume au wake kumbukeni anayechagua ni Mungu, ila anapitia kwako. Unapokuwa na options zaidi ya moja na pale ukisikia sauti inakwambia ni huyu, basi ujue huyo ni Mungu, na please...
6 Reactions
8 Replies
477 Views
Kijana wa kiume anapokutana na binti kwa mara ya kwanza, swali la kwanza ambalo binti huuliza ni: "Unafanya kazi wapi?" Jamaa akisema anafanya kazi kwenye kampuni ya mafuta, binti huyo atakubali...
13 Reactions
36 Replies
3K Views
aAshampoo jana nilienda kusuluhisha ndoa fulani huko sasa wakaniuliza ashampoo kama mjomba una ushauri gani nikajibu hakuna wakufa wa ndizi moja wala wa kufa na kitasa kimoja mvumiliane...
5 Reactions
7 Replies
1K Views
wanaokula bila kuhonga Wachungaji, maustadh na waganga - Hasa kwa wadada wanaotafuta watoto kwa maustadh, wachungaji na waganga feki. Mdada anaambiwa dawa inabidi iingie kwa kuchomekwa, kuna pepo...
9 Reactions
56 Replies
6K Views
Hapa naongelea mwanamke ambaye ulikua naye vizuri lakini sasa analeta jeuri. Ila kama mwanamke ana hulka ya ujeuri, huyo hakuna haja ya kupasua kichwa. . Mwanaume kuwa dhaifu baada ya muda. Mara...
4 Reactions
28 Replies
4K Views
Moja kwa moja kwenye mada, mnakumbuka niliwaambia Niko Maeneo ya kanda ya Ziwa! Sasa bhna juz Kati kwenye mishe za ofs nikakutana na manz Yuko vzur balaa…mwanaume nikaweka mitego yangu nikapata...
16 Reactions
72 Replies
9K Views
Habari wakuu, Ni mengi sana nimepitia japo nawaza sana hapa sipati majibu kabisa. Hivi ni kwanini mwanamke ukimwambia unataka kumuoa awe mke wako ndiyo anakukataa kabisa na kukuona kama adui...
4 Reactions
77 Replies
4K Views
Unapokutana na mwanamke anaongea au kushabikia kauli hii “Chunga sana akili yako mwanamke akikuchoka anakuwa adui" fahamu kuwa huyo kichwani hamna kitu na hafai tu kuwa mke sema Mungu amempatia...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Ndugu zangu, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30+ na nina uchumi wa kati tuu , ila mapenzi yamekua sehemu ya kunitesa sana katika maisha yangu sijui nifanyaje yani yananitesa kweli kweli 1...
6 Reactions
107 Replies
6K Views
Wanawake wengi walio katika ndoa huona ufahari kuwasifia waume zao mbele ya marafiki zao mwisho wake,marafiki hugeuka michepuko ya wame zao. Content zingine hazipatikani kwa Sasa.
0 Reactions
66 Replies
3K Views
Unakuta binti unamtongoza ila mwanzo wa safari anakukataa kabisa... Unaweka pending.. Unaenda kwa mwingine unamtongoza mwingine nae anakataa vile vile . Wewe kazi yako ni kutongoza tuu yani heka...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Back
Top Bottom