Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
intro: so siku za nyuma nimekutana na binti mmoja wa kiislam, age : 19. married, education : form 2. ana mimba pia anamuamini Sana mume wake , mume yupo late 20s, mfanyabiasha na pia ameajiliwa...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Unajua mahusiano yanachangamoto nyingi sana, na hazifanani. Kila mmoja kwa sehemu yake anapitia changamoto katika mahusiano. Sasa inapotokea umefanyiwa mabaya na mtu uliyenae kwenye mahusiano, sio...
55 Reactions
72 Replies
5K Views
Jambo? Sijalala usiku wa kuamkia leo, pia usiku wa kuamkia jana. Huyu Smaki yupo wapi? Aje tafadhali, nampenda na nimetuma kitu kikubwa kwenye ulimwengu wake waroho ila hajakiona bado. Kina hang...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari.. Vijana ambao hamjaoa na mabinti ambao hamjaolewa njooni hapa tufarijiane katika hizi harakati za kupata mpenzi ( mume / mke) wa maisha. Kwa upande wangu sijaoa na ninatafuta mweza wa...
7 Reactions
71 Replies
3K Views
Vp wajumbe? Hivi hii mambo ni sawa kweli,unakuta bint wa kazi anapewa kazi nyingi bila kujali.MBAYA ZAIDI NI PALE ANAPOCHANGANYIWAKAZI😂Wajuvi wa mambo wanasema hii inaanzaga kidogo kidogo lkn hasa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Hello guys, Hivi unajua kwamba mwanamke akiwa anakupenda ukimsifia wewe ni mzuri huwa anafurahi? Hata sauti yake huwa inabadilika. Ila kama hakupendi ukimsifia anaona kama unamkera, so mwaume...
15 Reactions
215 Replies
9K Views
Natumai wote humu mu wazima wa afya [emoji41]. Leo ni siku weekend kama mnavojua siwe wengne hapa jamii forum ndo kijiweni pa kubadilishana story mbali mbali tukiwa tumejipumzisha ndani na...
12 Reactions
39 Replies
4K Views
Nimechukua miaka miwili kuchunguza hili Jambo, kwanini ndoa za siku hizi hazidumu na zimesongwa na milima mingi na mabonde kuliko tambarare. Kila mara watu wanatumia nguvu nyingi kuendesha...
13 Reactions
68 Replies
8K Views
Ndio ukweli huo na kwa kuongezea ni kwamba kuna upungufu wa wanaume wenye mafanikio lakini hakuna upungufu wa wanawake wazuri. Kama huamini pita pale riverside utakutana na viumbe wa kike wazuri...
7 Reactions
46 Replies
1K Views
Habari zenu watanzania bara wenzangu. Nimeoa miaka mitatu iliyopita,ila bahati nzuri au mbaya nilikua vizuri kifedha kwa wakati huo hivyo sikutaka kuchangisha mtu pesa,hivyo shughuli ya sherehe ya...
5 Reactions
28 Replies
2K Views
Hamjambo wanajf mko vp huko huku ni balida kabisa.Leo nimeona niwachane hawa jamaa wenye wivu wa kupitiliza wa mapenzi hivi kwanza hebu ncheke kwanza hahahaaaaa, hivi wewe kweli uko radhi hat...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
6 Reactions
34 Replies
3K Views
Kuna kauli nyingi ambazo wakati wa muingiliano Huwa zinakera.Nachosikitika ni kuwa wanawake ndyo wanakuwa vinara wa hizi kauli Mbaya.Zinaweza zikawa kauli za kweli lakini zinawasilishwa Kwa njia...
17 Reactions
69 Replies
8K Views
Habari wana JamiiForums, kwa wanaume wenzangu ambao watakuwa offended na title ya thread, mtanisamehe kwa muda ila nadhani kufikia mwisho wa kusoma yote nitakayoandika; tutakubaliana kuwa hii ni...
7 Reactions
52 Replies
5K Views
Huu uzi ni wa Q&A 1. Kwa nini watu wana oa na kuolewa ? ( Kitu au vitu gani vya pekee vipo ndani ya ndoa tu ? ) Note: Huu uzi utatoa picha halisi ya kwa nini watu wana oa na kuoana je, ni kwa...
4 Reactions
71 Replies
2K Views
Una mpango wa kuoa hivi karibuni, au wewe ni mwanandoa unaeishi na mwenza wako? Kuna mambo kadhaa nataka nikujuze ambayo wanandoa wengi wanaonekana kuyakwepa katika ndoa zao ingawaje mambo hayo...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Kwa sababu kwa sisi wanaume, mdada akijipendekeza kwetu, hata kama kimuonekano tunamuona ni wa kawaida, sisi tutafanya naye ngono tu halafu tunapita hivi, tunakula hadi wadada vichaa Waokota...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Kuna muda huwa kuna matukio yanatokea pindi tunapofika ama tunakaribia kileleni, mshindo unavurufika kabisa. Nikianza mimi kuna siku nikiwa nakaribia mshindo ghafla simu ya dem ikaanza kuita...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Mwanamke mmoja alimcheat mume wake. Mume akamkamata, tena kitandani na ni kwenye kitanda chake mwenyewe. Alichokifanya huyo mwanaume alimwambia jamaa atoke halafu akamwambia huyo mwanamke nenda...
11 Reactions
37 Replies
3K Views
Unakuta unachat na dem kumbe ana watoto wanne.. amewaacha homu kwao kwa bibi. Na kwa vile wewe mwanaume una UGWADU , huchukui shida ya kuwaza. Unaingia mkenge ,unatumia pesa zako , unataka kwenda...
15 Reactions
43 Replies
2K Views
Back
Top Bottom