Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Jamani za wikiendi, nilikuwa na utaratibu wa kuweka 1,000 kila siku kwenye kibubu chetu na mke, ni miezi mitatu sasa. Ilitakiwa leo nikute 90k na kidogo, ila nimeikuta 2000 tu. Nimehamaki na...
21 Reactions
65 Replies
4K Views
Wakuu asiwaambie mtu kuachwa kunauma💔💔 vibaya.
7 Reactions
43 Replies
3K Views
Heshima zenu wakuu,itifak imezngatiwa! Ndgu zangu kama nilivyowah kuleta uzi hapa jukwan,kuna mchumba nampenda sana naye pia ananipenda(kwa ninavyomuona) ila sasa nmeona kabisa linapokuja swala...
1 Reactions
3 Replies
643 Views
Wanawake sasa hivi wana roho ngumu kuliko Lilith (usiniulize ni nani), kukuchanganyia mtoto kwenye ndoa, kwake haombi hata ushauri. Wewe cha kufanya kausha halafu jifanye hujui kabisa, then...
17 Reactions
53 Replies
4K Views
Dakika 20 zilizopita, nimepokea simu kutoka kwa pisi kali moja matata iliyokuwa inanizungua huko nyuma kwenye ule uzi 'nimeutua mzigo mzito', ananiambia amefanya leo vipimo ana ujauzito wangu, wa...
11 Reactions
81 Replies
3K Views
Mahusiano kwanini jamani? Kila ukijaribu kujitosa unapigwa matukio, unaempenda hakupendi na anaekupenda humpendi yaani ni fujo tu. Naona kama wasichana ndio tunaumia zaidi kuliko wanaume...
7 Reactions
106 Replies
5K Views
Mwanaume kumaliza sex na kuondoka. Unapomaliza kusex na kuinuka unaondoka anaumia, anahisi kukatiliwa vibaya kihisia, anaweza asije tena, mwanamke anahitaji angalau dk 20 za kuongea nawe, wako...
25 Reactions
53 Replies
7K Views
Ni kwamba miaka 11 iliyopita nilimtaliki mke wangu, kabla ya kukubali kuwa nimemtaliki, nilienda kumuomba turejeane. Sasa alikataa na kuniambia ananiona bado nina ujana na utoto mwingi hivyo...
7 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari. Jambo gani hautakuja kuthubutu kufanya kwa upande wa mahusiano yako au katika ulimwengu wa kula kimasihara. Kuzama chumvini na kula kwa mpalange sitaweza hadi nakufa. Tuambie kipi...
8 Reactions
92 Replies
6K Views
Baada ya kuishi kwa muda mrefu kama bachelor sasa hapa nyumbani kwangu nimepata mgeni binti black beauty ana mzigo wa maana Huyu binti kaletwa na rafiki ake ambaye tunafahamiana amekuja hapa...
4 Reactions
35 Replies
3K Views
Habari zenyuu nyotee. Mida hii nilikuwa natafuta kitu nikakutana na hii wine kabatini. Nilipewaga zawadi basi nikaona si mbaya nikiitendea haki. Kama kawaida yangu baada ya kunywa glasi mbili...
4 Reactions
48 Replies
4K Views
Mitandao ja kijamii iko Mingi... Whatsapp, twitter, facebook, instagram..etc. mnaweza itaja. Wanawake wengi kwa sasa ambao huenda waliolewa kabla ya kumaliza tabia zao na shauku zao za...
8 Reactions
63 Replies
2K Views
Sababu zinazowafanya wapenzi/wenza kuchokana. 1. Mazoea ya kupitiliza ( wengi uwapumbaza na kucha kutenda yale yalio wafanya mwanzo waonane bora iwe ngono, chakula, ukaribu, mawasiliano nk. Mfano...
4 Reactions
36 Replies
3K Views
Na Humpo Lakaje, BBC CHANZO CHA PICHA,NHLANHLA MOSHOMO Maelezo ya picha, Kuanzia kushoto ni Lithabo, Fletcher na Lunia. Na mtoto huyo ni wa Fletcher na Lithabo Mtindo mpya unaoitwa 'Polyamory'...
5 Reactions
68 Replies
6K Views
Leo nimeamka sina hili wala lile, kwanza nimechoka na kazi za hapa kiwandani kwangu, Nimechoka na uchakataji niliofanya jana usiku na mtoto wa diwani yaani niko tu bored, Ghafra kuna huyu demu...
7 Reactions
40 Replies
3K Views
Ni Binti aliyetaka Sana kusoma.Alikuwa na shauku kubwa ya kufika elimu ngazi za juu na alipagania Sana shauku yake mpaka akafikia kiwango Cha elimu alichokitaka Cha Masters. Na kamaliza sasa hiyo...
5 Reactions
28 Replies
1K Views
Hello. Jf members.imani yangu mpo salama. Ikiwa kwa imani zetu wote tumewekwa katika sahani moja basi tunamshukuru sana Mungu kwa hilo. Mada mezani safari zetu za mapenzi ni ndefu sana ila kama...
2 Reactions
13 Replies
845 Views
Jinsi ya Kuwa na Mahusiano ya Muda Mrefu na Mbinu za Kufuata Mahusiano ya muda mrefu ni kitu ambacho kila mtu anatamani kuwa nacho. Ni muhimu kutambua kuwa mahusiano ya muda mrefu yanajumuisha...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Back
Top Bottom