Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Happy Saturday to you All.. Friday night moja buanaaa nimekaa na my girls gurls GIRL, happy time, friday night Tunaenjoy groove night na nini tunajikumbushia miziki ya kikwetu kwetu old school...
3 Reactions
45 Replies
4K Views
Habari .. Hawa wanawake sijui wapoje, unakuta kijana wa watu ume mpenda bidada kwa moyo mmoja na unania njema ya kumuweka ndani ila utata unakuja pale anapo kuuliza unafanya kazi gani...
5 Reactions
17 Replies
1K Views
Umewahi kumla mzungu? au wewe unahangaika na hayo akina mwajuma ndala ndefu au akina cheusiku wa ubongo riverside? Pole sasa nikuambie mie mwenzio nimemla mzungu jana kwenye guest za manzese sema...
12 Reactions
61 Replies
5K Views
Nawasalimu kwa jina la Chama pendwa CCM. Kama tafsiri ya kubaka ni kumwingilia mtu kimapenzi bila ridhaa yake basi watu wengi hasa wanaume wangekuwa mahakamani wakijitetea kwa tuhuma za kubaka...
1 Reactions
144 Replies
11K Views
Habari ndugu zangu, Wanawake wote mnaojielewa popote mlipo haijalishi mnatupasua kichwa sana, ila mbarikiwe sana. Uwepo wenu ni mkubwa sana na nyie ni viumbe wa muhimu sana katika kuipamba dunia...
2 Reactions
8 Replies
831 Views
Kwa muda Sasa toka nihamie kufanya kazi katika bank Moja hapa Kariakoo. Katika pitapita zangu nikakutana na Dada mmoja akanialika kwenye party ya vikoba ili niwashauri namna ya kuweka pesa na...
14 Reactions
60 Replies
7K Views
Aisee nimeshangaa sana baada ya jamaa zangu wa karibu wakilalama wapenzi wao ifikapo tu tarehe 21 ya mwezi huanza kulalama nywele zao zimefumka na kuchakaa na luku kwao imekata ghafla nikajiuliza...
3 Reactions
13 Replies
846 Views
Mwanamke mmoja aje PM anielekeze kupika tambi.[emoji26 Out there wakuu, Jobless mwenzangu wakiume, mbususu chakata ila usipende. Jobless wa kiume sikiliza, mwanamke ukimtamani au kumpenda kula...
65 Reactions
246 Replies
13K Views
Nashauri serikali iweze kuanzisha somo la Ndoa kwa kila mmoja anaekaribia kuingia humo. Hakika wengi wetu tunaingia katika ndoa bila kujua bila kuelewa ndoa nakujikuta tunazama kupitia Mihemko...
1 Reactions
10 Replies
605 Views
Habari zenu wadau, nimejikuta nipo kwenye wimbi la mawazo nashindwa hata kuchagua niingie upande upi kati ya kupenda na kupendwa. Kuna mabinti wawili wote wana umri kati ya miaka 24 -28, wote...
5 Reactions
34 Replies
3K Views
Wasalaam JF, Tafadhari wadau swali hilo hapo juu. kwanini hawa mabinti hawana noma kunyanduana, na haoni shida kukuchunia kama akiomba lake usimpomjibu na haijalishi una shoo shoo kali wala nini...
7 Reactions
42 Replies
3K Views
Hali sio nzuri ni Mwaka sasa tangu nimevunja mahusiano kutokana na sababu za kutokua na amani katka mahusiano. Leo tangu Mwaka ulivyoanza hata kabla mzazi wangu wa kike amekua akiforce niweze...
9 Reactions
85 Replies
3K Views
Nilikutana na manzi mmoja wa chuo hospitalini. Mtoto fulani hivi mweupe mwenye kashepu kakuvutia. Sikupoteza muda nikawa nimeshaanzisha mashambulizi. Nikafanyikiwa kuchukua namba. Siku zikapita...
8 Reactions
62 Replies
6K Views
Sikuwa na lengo ka kuanzisha uzi katika muda mbovu kama huu, ila nimeshindwa kujizuia. Kelele nilizoziona kwa wingi ni juu ya kufunga ndoa au kutokufunga ndoa; lakini je, tunataka watu wafunge...
23 Reactions
99 Replies
9K Views
Kila unakopita, watoto lainii na wazuriiii wanaongezeka kila siku na wanazidiana tu katika kuiachia misambwanda yao ikitetema.....ajabu kila mwanamke analo sambandwa la haja siku hizi. Nina...
6 Reactions
22 Replies
2K Views
Hivi kwanini wanawake wengi huonyesha care zaidi kwa viongozi wa dini kuliko waume zao? Utakuta anavyomkarimu utafikiri ndo atakayempeleka mbinguni
8 Reactions
37 Replies
2K Views
Nawapa tahadhari na kuwakumbusha Wanaume dhaifu kama wa Dar,usije kurogwa kuoa Mke Mikoa ya Kusini,utakuwa Kila Mwezi unalalamika dawati la jinsia. Ama laa hakikisha karate uko vizuri vinginevyo...
1 Reactions
30 Replies
6K Views
Ni matumaini yangu kuwa wote ni wazima. Niende kwenye mada moja kwa Moja. Mimi ni Kijana wa kitanzania na hivi sasa nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania jijini Dar es Salaam, nachukua shahada ya...
20 Reactions
145 Replies
9K Views
Habari wana jamvi.. Hivi mwanaume unawezaje kuishi na mkeo ili hali anachelewa kutoka kazini, Unakuta wewe mwanaume kazi unayo fanya unatoka saa 11 jioni ila yeye kazini anatoka saa mbili usiku...
5 Reactions
32 Replies
2K Views
 Nimeshuhudia ndoa nne za gharama (nilizochanga Mimi) ndani ya miezi 6_9, tatu kati ya hizo zikipumulia Mashine Huku moja iliyodumu kwa Mwezi mmoja (siku ya harusi kamati ilimpa zawadi ya million...
5 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom