MUWE wachumba, muwe ndani ya ndoa, tendo la ndoa lina umuhimu wake. Kwa namna moja au nyingine linakamilisha maana nzima ya mapenzi. Ni kama vile kachumbari kwenye pilau. Si kwamba pilau haliliki...
Tukubaliane duniani kote kwa sasa kuna changamoto kubwa sana ya Mapenzi ya kweli, ndani ya miaka 20 dunia imebadirika kwa kasi sana kimatendo, hisia, busara, na namna watu wanavyochukuliana...
Maisha ya ndoa ni mazuri Sana Kama mtaelewana,japo mapungufu yatakuwepo lakini ni kawaida. Yanafanana na pedeli ya baskeli.Siku mke akiwa juu,mume kubali kuwa chini na mume akiwa juu mke kubali...
WHO BENEFITS FROM MARRIAGE?
He's 68 years old.
Retired pensioner.
Worked all his life to raise his kids.
Deprived himself of life's pleasures to pay expensive school fees and living expenses...
Nilikuwa kwenye mahusiano na dada mmoja mrefu (aliyenizidi), mwenye shepu yake.
Kusema kweli, amejaliwa kwa kiasi fulani. Nimekuwa naye kwenye mahusiano kama miezi miwili hivi.
Changamoto...
Huu si utapeli huu.
Nimekuwa kwenye mahusiano na mmama mmoja, anayejishughulisha kwenye mambo ya biashara mbalimbali.
Kusema ukweli tumefaidiana sana; ukiwa naye utapiga mpaka wewe mwenyewe...
Habari ya wakati huu
Katika pitapita zangu za hapa na pale za kutafuta mke nimekutana na binti wa kipare na mlokole ambae tulipotezana muda mrefu sana , kiukweli binti yupo single/ haja olewa...
Leo katika Kipindi Bora duniani cha Mazungumzo ya Familia cha Radio One ambacho GENTAMYCINE ni Balozi wake wa Kujiteua Kilazima Daktari wa Saikolojia Genius Charity Xavier Johnson na Kaka yangu...
Mimi nakumbuka siku ya kwanza kula denda ilikuwa hatari sana, nilihisi kizunguzungu nilikosa mawasiliano kwa muda. Mdomo wake ulikuwa na ladha kama ya maji yenye chuma chenye kutu, nilijisikia...
Mwanzoni mwanamke anakuwa bado hajajiwekeza sana kwako, hasa miezi mitatu ya kwanza. Bado atakuwa anaangalia aendelee na wewe au la. Bado anakusoma kama atapata usalama kwako au la.
Kama nawe...
KWA WANAWAKE TU: NJIA 10 ZA KUMTAMBUA MWAMUME ASIYEFAA.
1. Mwanamume mwenye kundi la marafiki wa kike na hasa ikiwa anawaita dada zake. DADA JIHADHARI! HUYO MWANAMUME NI MALAYA! MFUTILIE MBALI...
Habari waungwana,
Huwa nakata tamaa sana na mwanamke wa ki afrika anaye jipiga carolyte ili afanane na Mzungu, hawajajua labda thamani yao. Kitu walichofanikiwa wazungu ni kumfanya mwafrika...
Habari wakuu poleni na majukumu.
Mume kaenda safari kikazi akamuacha mkewe nyumbani akiwa katika maandalizi ya harusi ya mdogo wake akiolewa Sasa kukawa na party.
Mume alishamueleza mkewe...
Walikuwa wananiambia oa nawaambia bado kwanza hawaelewi kwa nini kumbe mwenzao natafuta pesa kwanza, vijana wengi siku hizi wanaowa wakiwa bado hawana hela
Halafu wake zao tunakuja kuwala sisi...
Kama tittle inavyojieleza waungwana nimeguswa kupepesa juu ya hili swala.Kisa kama hiki nimekifuma mahali.Mke anakunywa mme hanywi.Chakustua zaidi mke anaenda kulewa huku anamwacha mumewe nyumbani...
Nazungumzia ile kutegeneza fitna,zengwe na figisu Fulani ili KUVURUGA mahusiano ya watu, ili Wewe upate nafasi ya kumsogeza karibu umtakae au kumtuliza yule umpendae[emoji2]
BINAFSI ILIKUA...
Kwema ndugu?
Nakumbuka nikiwa chuo mwaka wa nne, kuna binti ambaye alikuwa ni mrembo, ila alikuwa na urembo wa kawaida si wa kutisha sana....
Ajabu naye alikuwa so picky ikija ishu ya wanaume wa...
Moja ya kosa kubwa tunalofanya wanaume ni kutowapa sifa wanazostahili hawa mabinti wazuri, ukweli wazuri wengi huwa wanaringa na inakua ngumu kuwapata maana wana masharti na vigezo vingi. Kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.