Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Ndugu wanajukwaa wenzangu hivi karibuni nilitembelea jiji la Tanga, Ila niliona yafuatayo ambayo kiukweli ni ya kipekee. 1. Ukifika tu ukitoka demu bodaboda aliyekubeba anakuuliza aweje umbo...
10 Reactions
114 Replies
27K Views
Neno mapenzi si geni masikioni mwa mtu mzima mwenye akili na utambuzi. Licha ya umaarufu wa neno hilo lakini hakuna hata mmoja ambaye ameweza kutoa tafsiri sahihi ya neno hilo ambayo itakubaliwa...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Wiki iliyopita kuna rafiki yangu mmoja hivi nafanya nae kazi, sasa baada ya muda wa kazi akanivutia waya kwamba niende kiwanja flani yupo na Manzi yake na huyo manzi yake kaja na Pisi kaliii...
8 Reactions
42 Replies
3K Views
Mwanaume mwenzangu ikiwa una suala tata na mkeo - haijalishi ni mwiba jinsi gani - lijadili naye na kulimaliza kwa amani. Usifanye ujinga wa kumpa kichapo. Kwa kawaida sisi binadamu uwezo wetu...
15 Reactions
233 Replies
7K Views
Siku hizi na sumbuliwa na tatizo la gas tumboni sasa kuna rafiki yangu mmoja ambaye alinishauria niwe natumia pilipili manga inasaidia saana kuondoa tatizo hilo. Kwa hiyo mimi nikatafuta pilipili...
1 Reactions
13 Replies
6K Views
Tokea mke wangu aniende kwa mtaalamu pasi na mimi kujua, pombe imenikataa kabisa Niliamua kutafuta mbadala ya pombe. Nilijaribu soda, juisi za viwandani hadi juisi za kienyeji. Zote ziligonga...
7 Reactions
91 Replies
5K Views
Wakuu kijana wenu nimekwama. Mwaka Jana mwanzoni nilimpa ujauzito mdada ambaye tulikuwa kwenye mahusiano Ila hayakuwa serious. So Yule Dada alikuja kupata ujauzito na nikamwambia asitoe nitalea...
6 Reactions
34 Replies
3K Views
Habari ndugu zangu, naishi Kigoma, nina lafiki yangu wa kike alifunga ndoa na mwanaume mmoja hivi toka wameona mwanaume hajawahi kushiriki tendo la ndoa na hana uwezo kabisa. Wameishi miezi 3...
5 Reactions
147 Replies
10K Views
Kama mwanamke amekuzidi miaka si chini ya 20 na sio ndugu yako usimuamkie mwambie tu mambo au za saa hizi imetoka hiyo Mwanaume wewe ni kiongozi na kusema shikamoo ni kama unamwambia nipo chini...
13 Reactions
24 Replies
1K Views
Tufanye kwamba factors nyengine zote zinafanana kati ya mwanaume mfupi na mrefu isipokuwa kimo cha urefu pekee. Mwanaume mrefu mfano akiwa futi 6'2 ana uwezo wa kuvutia wanawake wengi kimapenzi...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Wakuu habari, Bila kuwapotezea muda kilicho nisibu ni hiki hapa; Baada ya miaka 15 ya ndoa nikiwa ni mtumishi idara ya elimu nimejikuta napata ajali kazini kwa kupunguzwa kazi katika sakata la...
1 Reactions
123 Replies
14K Views
UBINAFSI NA UTAPELI WA SISI WANAUME NDANI YA FAMILIA Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Niliwahi kuandika hapa, unaweza kupitia👇Wanaume tuache Ubinafsi ukitaka familia yako ianguke basi moja Kati...
7 Reactions
27 Replies
3K Views
kamwe haumuumizi mwanamke. Kuwa mwangalifu sana unapomfanya mwanamke kulia, maana Mungu huhesabu machozi yake. MWANAMKE alitoka kwenye ubavu wa mwanaume SI kutoka kwa miguu yake ili akanyagwe...
20 Reactions
100 Replies
4K Views
Wakuu leo bwana nikasema niushangae huu mji ambao hauna hela na maisha yakiwa makali mno. Katika pita pita zangu nikakutana na binti mweusi pee yaani toto kiuno kama nyigu nywele kaziachia...
5 Reactions
48 Replies
2K Views
Mpango hapa ni kuleta tu maombi ya kutafuta mke mwingne humu ndani. Habari ya kusubiri miaka 5 na mtu katupiwa Kagera huko ni uongo.
24 Reactions
269 Replies
17K Views
Kina kitu sikielewi, Urafiki. Kwani urafiki maana yake nini na upo kwa sababu zipi, na ili watu waitwe marafiki wanatakiwa wawe wanafanya nini? Au wanatakiwa wawe katika hali gani?
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Inaumiza sana. Kwa nini wanawake hawadumu na mimi? Wana matatizo gani lakini? Wanawake wa siku hizi hawafai yaani ukisema tu uutue moyo.... Yeye ameshaliamsha anasonga mbele. Mimi wa kuachwa...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Anaandika, Robert Heriel Acheni kabisa, yaani kuna mtu kwenye mahusiano ukiachana naye hesabu umekula hasara ya Maisha. Achana na hawa wajingawajinga wanaowaza uchi wao, uchi kitu gani bhana...
23 Reactions
62 Replies
6K Views
Iko hivi, Nna jamaa yangu mmoja wa karibu hasa kwenye maswala ya biashara,familia,viwanja vya starehe na huzuni Hadi kwenye mambo ya Michepuko huwa hatufichani. Sasa jamaa yangu ana Mchepuko...
79 Reactions
843 Replies
36K Views
SINDANO TANO ZA MAHABA KILA SIKU KWA MWANAMKE [emoji3590][emoji3059][emoji8][emoji8] [emoji257][emoji257][emoji257][emoji257][emoji257][emoji257] 1.Usiache kulia wakati tendo la ndoa kilio chako...
7 Reactions
160 Replies
8K Views
Back
Top Bottom