Habari..
Katika okota okota zangu za wanawake kama ilivyo jadi yangu ya kufurahisha nafsi na watoto wazuri, week kadhaa niliangukia kwa binti mmoja kiumri anaonekana mdogo sana. Nilimlagai kwa...
Habari wakuu,
Mimi ni mwanachuo, na ni kijana wa umri wa wastani tu. Nilikutana na msichana mrembo tu hapa chuoni. Kiukweli tulianza kuwa marafiki na most of the times urafiki wetu uliunganishwa...
Be Honest.
Kwenye Maisha ya mapenzi kuna yoyote yule ameshawahi kukupigania kwa lolote lile.
Au wewe bora lieende.
Nakumbuka kuna mwanamke wangu mmoja alinipa Laki 5 zamani izo nifungue...
Kuna muda nilikuwa nikikaa peke yangu najihisi huzuni sana, na nilikuwa sijui huzuni inatoka wapi. Au kuna muda mwingine nikiwa peke yangu najihisi kutaka kulia, kuna mwanamke miaka miwili...
Habari,
Mkee wangu mdogo anatimiza mwaka mwingine hapo kesho.
Nataka wimbo vijana mnajua, nimeamua nije niulize jina lake waimba hivi ooooru maaa laaaaa.
Ni wimbo mzuri nataka nimsuprise hapo...
Mimi namjibu kama ifuatavyo.
Fanya kama mchezo wa kombolela
Mwanamume anadokoa kidogo unakimbia sebuleni akikushika anadokoa tena unaponyoka unaludi chumbani anadokoa hakikisha kilA Akidokoa...
Wazazi naomba tuongee kwa dakika 5 tu…
Sisi Tumechoka sana Tukija kuwatembelea makwenu Iwe kipindi cha matatizo Au matembezi ya kawaida, ila Naomba Niongelee sisi ambao tunaofikia makwenu Kuja...
Ndugu zangu..
Habari za wakati huu
Mimi kijana wenu umri miaka 30+, sijaona na wala sina mpenzi maalumu wa kuja kunipikia hata mara mojamoja,
Nimekua kijana mtiifu sana wa kula katika magenge...
Ni hivi,
Tangu tar 25 June niliachwa rasmi Tena kwa karaha na kublockiwa namba zote kila mtu ashike 50 zake NIKAKUBALI MATOKEO.
Leo jioni Nashangaa simu zake nyng ananipigia ila SIJAPOKEA HATA...
Wakuu
Ijumaa usku nmewasili kwa mpenz wangu, nmeacha simu chaji sebleni, Tumewasha mziki mkubwa Kisha tukaelekea chumbani KUFANYA ya KUFANYA.
Baada ya mapumziko ya kipind Cha Kwanza, kainuka...
Jaman nilikuwa na ziara ya kikazi mkoa wa manyara, nimezunguka Mbulu, Haydom, Babati, Karatu na vijiji vingne kama dongobesh, bashay, labay, mto wa mbu, masqaroda, dareda, magugu, bashnet, tumati...
Habari za mida wana MMU,
Jamani hapa nimechanganyikiwa sielewi, nipo kwenye ndoa miaka 2 na nina mtoto mmoja wa mwaka na ndani ya huo muda wote sijawahi kuhisi mume wangu kunicheat japo kuna...
Hivi mwanaume unakuwaje hueleweki, ulikua na crush na mdada wa watu mwaka mzima mkavunja ukimya mkawa kwenye mahusiano.
Badae unaanza kubadilika unapunguza mapenzi, mwenzio anakuuliza kwanini...
Wakati fulani, wanakijiji wote waliamua kuomba mvua. Siku ya maombi watu wote walikusanyika ila kijana mmoja tu alikuja na mwamvuli.
- Hiyo ndiyo Imani.
Unapomtupa hewani mtoto wa mwaka...
Kuna watu huwa wanapitia maumivu makali sana katika ndoa zao na hawana ujasiri wa kuondoka wengine hupigwa mpaka kuvunjwa miguu au kulazwa lakini hawawezi kujiondoa.
Leo utajua chanzo na utajua...
Moja kwa Moja kwenye mada;-
Mwanaume akipata stress za kuudhiwa na mwenza wake huwa anasikia maumivu makali (kama moto unawaka) katikati ya kifua au chini ya titi la kushoto.
Note 1: Hayo...
Kupitia safu yetu ya mahusiano, leo nimekuletea makala maalum hasa kwa wanawake kutokana na malalamiko ya wanawake wengi kuwapoteza waume zao. Kilio chao kikubwa ni kukimbiwa na wanaume au...
Habarini?
Yafika mwaka mmoja na nusu sasa sijawahi kushiriki tendo la ndoa na wife nikijaribu kuomba game 🎮 hataki kuna kipindi niliforce akanipeleka ustawi wa jamii kwamba nimembaka ilo...
Dah, inasikitisha sana
Ndio maana nilikuwa naona watu wanaagiza wali nyama, wanakula vijiko viwili tu, kisha wanatupa msosi na sahani zake kwa dastibini
Kuna binti kaagiziwa kuku rosti mzima na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.