Hii imekaa vipi? Hasa kwa mwanamke asiye bikra, ambaye hana muda na wanaume, tena ambaye hajishughulishi kana kwamba kuna jambo linamkeep busy, hapana. Anayeendekeza chuki dhidi ya wanaume.
Kuna...
Tayari nimeshafanya maamuzi. Lazima nifanye maombi maalum kwa wenzetu waliooa wanawake kutoka kwenye makundi yafuatayo;
1. Wanawake ambao ni makada kindakindaki wa vyama vya siasa hasa CCM na...
Hii post naandika nikiwa nimetulia baada ya kurudi kutoka vacation ambapo niliona nimeenda kupumnzika ila badala yake ndio nimefanya kazi kubwa kuliko na kurudi kupumnzika nyumbani na sio tena...
Wakuu habari za majukumu?
Wanaume wenzangu huwa inatokea sana kwenye mahusiano kuambiwa na mwanamke uliyenae katika mahusiano "kaka yako kanitongoza" au "rafiki yako ananitongoza", kwa kweli...
Members,
Sheria zinawalinda wenye nguvu tu. Yaani nguvu hapa namanisha pesa/madaraka/umaarufu(fame)
Mwenye nguvu akiua Kwa makusudi kesi yake itageuzwa geuzwa kuwa "kuua bila kukusudia" na jela...
Wazee wa zamani ilikuwa ni ngumu kukamatwa waki cheat kiasi Kwamba unakuta siku ya msiba ndipo inajulikana
Kuwa Mzee alikuwa na watoto 5 wasiokuwa wametambulika hapo kabla ......ila kwasisi...
BEYOND PAIN
SEHEMU YA 1
MTUNZI : PATRICK .CK
Ni saa kumi jioni nikiwa maeneo ya
Kimandolu nikielekea Usa river katika baa
iliyotulia ya Roterdam garden mahala
panapofanyika vikao vya harusi...
Professor John Mordechai Gottman, ni kati ya wanadamu ambao ni ngumu kusahaulika sana kwenye dunia hii hasa katika ulimwengu wa masuala ya ndoa na mahusiano. Alizaliwa tarehe 26 April mwaka 1942...
Mdau anasema alimuachia mkewe mwekundu wa msimbazi kama makadirio ya gharama za matibabu ili ampeleke mtoto mchanga hospitali ya serikali kutokana na mafua. Mdau aliporudi kutoka kazini akamuuliza...
Wanabodi, baada ya kuandika ule uzi wangu wa "Maisha yangu baada ya miaka 37" wengi walinishauri niache nyumba ya laki tatu nikapange ya bei nafuu ili nitoboe.
Kweli nimehamia nyumba ya laki na...
Wana MMU naombeni mnipe tu pole.
Mie ni mtu nisiyeumizwa na mambo ya mahaba, lakini nashangaa kuona huyu single mother niliyekutana nae kwenye pilika za maisha mkoani Mbeya, anaolewa 😥.
Huyu...
Nimatumaina yangu kuwa uu mzima wa afya, nimatumaina yangu kuwa upo kipindi Cha furaha kuliko Wakati wote nilio kufahamu . Najua zimebaki siku mbili ufunge ndoa na mwanaume umpendaye.
Kwa upande...
Kuna misemo mingi wapenzi huwa wanapenda kutamka/ kutamkiwa na wapenzi wao.
Kwa mfano:
your my chocolate, my honey, my apple, my banana, my angel, my bank. Etc embe share idea ni kitu gani...
Hali!?
Nilibahatika kuwa na vijihela kidogo wakati nabalehe... nakumbuka nilikuwa na miaka kama 21 hivi nilipoanza kujiingiza kwenye mahusiano na wanawake...
Wakati huo wote mpaka nafika miaka...
Wakuu, bila kupoteza wakati kuna haka ka kitu kanaitwa Mtungi, ama wanasema Bia tamu, Japo kiukweli mimi sijawah onja, ukiachilia mbali imani ya dini, ila kuna vioja ambavyo vinafanya Pombe...
Hivi karibuni nilienda kiwanja fulani kwenda kujiburudisha, mjuavyo tena sisi wapiga maji, unapokunywa chupa ya kwanza unajikuta unaongeza chupa nyingine; nikajikuta nimekunywa nyingi sana, mpaka...
Kuna siku kiongozi mkubwa wa nchi alikuja eneo letu, sasa wale mabodigadi wanaovaa miwani Black wanaokaa nyuma ya viongozi nikakutana nae wakati wa chakula, akanielewa tukapeana number.
Ila...
Ogopa sana!
Iwe ni sura, rangi, shepu sijui nywele, dimpozi, mwanya, kimo na vitu kama hivyo.
Hivi vitu wanawake wajinga huwaambii kitu, akishajipata kuwa na kiungo mojawapo ya hapo juu anahisi...
Njia mojawapo ya kukabiliana na maumivu yanayokutesa ni kukubaliana na hali halisi.Kubali ulimpenda ila yeye Hajakupenda sawa na ulivyompenda.Kubali umeachwa,kubali hupendwi Usipokubali kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.