Binti yangu nisikilize mimi...
1. Mwanaume atakaekutambulisha kwa wazazi wake na si kwa rafiki zake pekee huyo ndiye mwenye mwelekeo wa kufanya maisha na wewe.
2. Usitizame gari wala pesa nyingi...
Unakuta umevutiwa na mdada ukaamua kurusha ndoano mkifika hatua nzuri anakuuliza swali, umenipenda hau umenitamani?
Hivi wanaume huwa mnajibuje hili swali, make unakuta kusema uongo sitaki na...
USIPUUZE TAARIFA YOYOTE INAYOHUSU KUWA UMEBAMBIKIZIWA MTOTO.
Anaandika, Robert Heriel
Labda uwe unajua kuwa huyo mtoto sio wako, au labda uwe unajua huna nguvu za Kupata mtoto na huyo kwako ni...
KIFO KIDOGO ( THE TITLE DEATH/LE PE IT MORT).
SOMO HILI LITAWAHUSU MWANAUME.
Mwili wa binadamu huwa na nguvu nyingi tofauti . miongoni mwa nguvu hizo na ambayo ndo kubwa kuliko nguvu zote ni...
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Sexless unit imebainika pasipo shaka kuwa asilimia kubwa ya wadada wa kiislam ni warembo mno kuliko wale wa upande wa pili.
Hata wewe mwanaJF fanya utafiti...
Story iko hivi....
Nilikua na mpenzi wangu ambae tulidumu kwenye mahusiano kwa takribani miezi 6 lakini tulipishana tu Kiswahili kdg tu na nilijaribu kuzungumza nae lakini nikaona kama mwenzangu...
Kuna umri unafika kwenda kwa ndugu iwe ni kwajili ya kumjulia hali unarudi kwako, umeenda mkoa wake kikazi kakuhost ukae kwake ukimaliza unarudi kwako, unaumwa kakupeleka kwake akuuguze ukipona...
Kipindi cha nyuma sikutaka kabisa kujiweka karibu na yeye kwa Kuwa nilimuona yuko nje ya uwezo wangu. Hii ni kutokana na sababu kadhaa ikiwa ni pamoja na pesa (Kwao wanae pesa), Mzuri sana...
Good morning guys.
Kuna story nimeiona sehemu naomba kushare nanyi. 👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
more hesitation. All he felt now was disappointment. Ironically, today was also their wedding anniversary. There was...
Habar wakuu,
Kipind flan Nilipata dili la kusambaza mizigo Ofsini alikoajiriwa mpenz wangu, Baada ya malipo kufanyika wakapungukiwa pesa kiasi flani ya kulipia makufuli ya milango yao.
Wakaomba...
Hali?
Huu ni unyama!
Kuna uzi humu nimeusahau jina, kuna member(id nimeisahau) humu alikuwa anajitapa wazi wazi kuwa alipokuwa chuo, "washkaji" na baadhi ya "mademu" walikuwa wanamletea nyodo...
Ukweli usemwe tu kuna wadada wa ajabu sana. Wengine sura zao zimekomaa kama za madume kulegea hawataki. Unaeza kuwa nae chumbani mpaka ukashtuka yani wanakaza sana kama sisi madume anakaa kama...
Kwakweli hiki kitu kiliniuma sana, nilimuazma geto rafik yangu ili AZAGAMUE, nyie acheni tu, nilijifunza kuanzia siku iyo mpaka leo chumba changu ni Madhahu, Takatifu siwezi kuazima mtu...
Katika harakati za kutongoza huwaga mwanaume anakutana na majibu mengi mojawapo ni hili la mwanamke kumwambia mwanaume wawe marafiki ukweli ni kwamba hapa umeshakataliwa tayari
Kama mwanamke...
Ni mwaka 2019 mjuba narejea toka bondeni. Kuna dili imefeli kiajabuajabu. Kwa hali ya kawaida Mtoto wa kiswahili formula imegoma na Imani imehama.
Fikra na hisia nimeshaona Kuna nguvu za giza...
Mdau anaomba ushauri:
Jamaa amewahi kuwa na mwanamke kwa muda wa miaka 10 wakiwa kwenye mahusiano wa kimapenzi, walifanikiwa kuanzisha biashara ikasajiliwa kwa jina la mwanadada ambaye...
Kuachwa huleta hisia za maumivu, hasira na uchungu moyoni. Hisia hizi hutofautina kati ya mtu na mtu, hutegemea jinsi hali hii itamuathiri vipi na hatua zipi atachukua kupona maumivu haya.
Leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.