Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari wana FF. Nina ndogo wangu wa kiume hapa ana 27 years. Sasa alikuwa na rafiki wa kike yani yeye aliona huyu ndo mtarajiwa. Mwaka jana mwanzoni dogo aliitaji kufahamiana sana hasa kifamilia...
5 Reactions
49 Replies
5K Views
Nanukuu; "Nimedumu na huyu mwanamke kwa muda wa miaka 3 na tumefanikiwa kupata mtoto 1, kutokana na tabia zake mbaya za muda mrefu nilivunga kutopeleka mahari kwao licha ya kuwa walishanipangia...
6 Reactions
41 Replies
2K Views
10 Simple Ways to Keep Your Relationship Strong and Healthy MARCH 20, 2023 Share It is no secret that it takes more than just love to keep a marriage strong and healthy. Obviously strong feelings...
0 Reactions
0 Replies
922 Views
Jambo Jambo? Nashangaa wanaume wenzangu ambao wameoa na wale ambao hawajaoa kuwa na tabia za ajabu pale ambapo anakuwa anampatia pesa ya matumizi ya aina yoyote na ikatokea kuna chenji basi huwa...
2 Reactions
17 Replies
581 Views
Hiki ni kipimo sahihi cha kujua kama mpenzi wako anakupenda kweli au anapenda tu pesa zako na hapa naongelea zaidi kwasisi wanaume. Unakuta mtu ana mpenzi wake wa kike na anajinadi kwa watu...
8 Reactions
53 Replies
6K Views
Kulikuwa na wapenzi wawili, Adam na Eva, ambao walipendana sana. Walikutana katika mazingira ya kuvutia, wakiwa na utofauti mkubwa katika tabia zao, lakini wakilingana katika hisia za upendo...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Huyu hata sijamaliza naye week kumbe naye ni kimeo tu. Sijajua nakosea wapi ninapokuwa natafuta mwenza. Huyu dada tupo naye Jengo moja la ofisi nlimfahamu muda tu this time nikaona niombe urafiki...
19 Reactions
88 Replies
7K Views
Nimekuonyesha mapenzi yangu yote. Kama kukugharamikia nimekugharamikia hata Kwa vitu vingine visivyokuwa na msingi lakini Bado huna shukrani kwangu. Nilijitoa Sana kwako Hadi kukulipia Ada usome...
9 Reactions
71 Replies
3K Views
Ni hivi, nina mke na mtoto mmoja. Katika maisha yangu nimekuwa vizuri katika swala la kuzagamuana alaf napenda sana huo mchezo. Sasa mke wangu kaanza kuumwa mwezi wa nne kiasi cha kushindwa...
3 Reactions
9 Replies
704 Views
Habari wakuu Nimemtongoza huyu binti ila kagoma kutoa jibu kabisa kama amenielewa au la hasha, ila kila nikirusha nyavu zangu kwa lengo la kumkumbushia kuwa na muhitaji awe mpenzi wangu...
3 Reactions
55 Replies
4K Views
Pesa inaweza kuwa muhimu katika mahusiano ya kimapenzi, ingawa siyo kila kitu. Hapa kuna mambo kadhaa ya kuzingatia: Stahamala kifedha: Kuwa na utulivu wa kifedha kunaweza kuleta amani na uhakika...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndiyooo, ni UKWELI. Unapokutana naye kwa mara ya kwanza huzificha, ila akikuzoea au ukimuuliza kama hapendi au lah atakujibu kama upendavyo. Utasikia ukiniletea nitavaa, au nitavaa kwa ajili...
19 Reactions
36 Replies
3K Views
Habari za humu wakuu Nilijieka kwa mdada fulan hivi ila hatukudumu Sana mahusiano yakapotea tu ghafla, japo haikuwa kuachana rasmi. (Mimi ni mme na baba wa familia) Sasa wiki mbili zimepita wife...
21 Reactions
63 Replies
8K Views
(Jana Jioni). Huyu mwanamke tumezoeana sana. Mazoea yetu yalianzaia kwenye biashara tu. Kwa kuwa niko mchangamfu na mcheshi, mwanamke huyu kajikuta amezama kwenye dimbwi zito la mahaba Katika...
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Asubuhi hii mie nipo busy . Kutoa hii post maana imeniusu 100% . Huyu kijana nilimpenda alinipenda sana . Ukiwa kijana huwezi ishi na mtu mmoja ila huyu niliishi naye sikuwa na jiibia kwa mtu...
14 Reactions
126 Replies
7K Views
Achana na msemo kuwa "anakujaribu". Kama umejitahidi lakini yeye haoneshi kujali mahusiano, ujue unapoteza muda wako. Unatumika tu kupoteza muda. Pengine ana bwana wake anayempenda zaidi yako na...
20 Reactions
45 Replies
3K Views
Moja ya vitu vigumu kuvielezea mbele za watu ni hisia za upendo. Hata ukimuuliza mtu aliyeoa/kuolewa, sababu iliyomfanya kumpenda mwenza wake, majibu mengi yatakuwa ni kwasababu ni mcha Mungu, ana...
23 Reactions
392 Replies
26K Views
Siku moja, nilikutana na demu mrembo sana kwenye hafla ya kijamii. Jina lake lilikuwa Amina, na alikuwa na macho ya kuvutia ambayo yalinitia moyo kuanza kuzungumza naye. Tulianza kuzungumza na...
2 Reactions
3 Replies
600 Views
Anapenda pesa kama Bank. Hazipiti week mbili anaomba pesa. Yeye zake anatanua sana maisha. Simu anabadilisha kila mara na vitu vya thamani. Kushindana na wenzie kuwa ana boyfriend tajiri. Mimi...
49 Reactions
481 Replies
24K Views
Furushi la nyege ni sawa na kubeba gunia la misumari inayokuchoma mabegani au unaweza kusema ni sawa nakutembea na mkongojo wa muwa anytime anyplace you can nyamnyam!😂 Wale wa no fap mlifika...
14 Reactions
70 Replies
4K Views
Back
Top Bottom