Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Siku za hivi karibuni nilikuwa naongea na dada yangu mmoja anasema anajuta sana kwa sababu mpenzi wake wa zamani amepata ajira ya ualimu shule za serikali. Dada anasema alifikiria kuwa kwanini...
5 Reactions
5 Replies
876 Views
Sipunguzi neno,oneni Sasa jinsi wanavyotunyonya 😁😁 Kwa mujibu wa utafiti wa Finscope mwaka 2023 uliofanywa na Wizara ya Fedha unaonyesha kuwa wanawake Tanzania waliofikisha umri wa kufanya kazi...
19 Reactions
180 Replies
10K Views
Bwana Harusi: Money Penny Dada Lao Money Penny: Nambie Bwana Harusi Bwana Harusi: ah! sina usemi, hizi ndoa tulizofunga kipindi cha Corona zinatabu Sana🙄 Money Penny: VP tena Bwana harusi...
6 Reactions
64 Replies
7K Views
Leo nimeskia kituko cha ajabu Sana kimenifanya niandike huku Nipo zangu oysterbay na Marafiki tuna chill kwenye kijiwe chetu, mara rafkiangu akapigiwa simu na Huyo bwanake tusiemjua😓...
1 Reactions
81 Replies
14K Views
I know, it has been a minute Bado nimekuta maswali mengi inbox after been gone for 3 years Sasa kuna MTU kakwama anaomba atolewe shimoni; MTU: da penny, nimekuwa singo Kwa Miaka 8 sasa, nataka...
8 Reactions
126 Replies
5K Views
Nipo hapa kitaani kama kawaida yangu anti wa kuchakarika na kuisaka shekeli, huku nimevaa mask kuzuia maambukizi ya Corona, Nipo nashoot kipindi cha YOUTUBE CHANNEL yangu, wakati tunafungafunga...
6 Reactions
385 Replies
41K Views
Mwanamke mweupe wa asili, mweupe hana madoa doa ya kujichubua. Ngozi laini,Mwenye hips.... Aaaargh. Nakuwa hoi. Hawa ndo huwa wananichuna sana. Yaani mi hoi nikimwona mwanamke wa hivi. Nalegea...
10 Reactions
109 Replies
4K Views
Nimesikitika sana. Huyu dada tupo naye ofisini. Sasa nilipungukiwa tu vicent kadhaa kwa ajili ya kuongezea kununua shamba sehemu fulani. Nikamwambia aniazime nijazie ntamrudishia baada ya week...
32 Reactions
82 Replies
9K Views
Nyie kuna watu waongo aisee. Binti mrembo kajua kaolewa na mwasibu wa TPA kumbe jamaa ni day worker tu huko TPA. Ni kuli ambaye zikipatikana kazi makuli wenzake wanamshitua. Kuna wakati kazi za...
22 Reactions
57 Replies
3K Views
Kwakwel nataka kumuoa MAMA UMUT lakini sijui chochote yani kuhusiana na kupeleka barua na posa pia. Kwahyo nikaona nina familia kubwa na ndugu wengi huko JamiiForums niwashirikishe ili nijua...
4 Reactions
43 Replies
2K Views
Wadau habari zenu, Naomba ushauri umsaidie jirani yang Jirani yangu kapanga nyumba Moja na rafiki yake, jamaa kaoa ila rafiki chumba cha jirani wife yupo mbali, jirani huyu yupo na ukaribu na...
14 Reactions
118 Replies
8K Views
“Wengi hawazingatii wajibu wao, kila mmoja hajui anatakiwa afanye nini, au tupeane mitihani kabla ya kuingia kwenye ndoa? “Mtu anaweza kuwa na vyeti vingi vya elimu lakini hajui wajibu wake wa...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Huongeza upendo(love), Huchangamsha mwili, Huongeza ufanisi kazini, Unasafisha mikosi na mabalaa Na mengineyo. Vijana tule vyumaa....
6 Reactions
12 Replies
2K Views
Umri wa kuanzia miaka 15-27 yaani hapo wanawake wengi huchagua kuzaa na waume za watu, vijana wa hovyo, deadbeat dads (wanaume wasiotaka kulea watoto wao na familia). Pia nimechunguza sio kwamba...
22 Reactions
68 Replies
5K Views
Bila ya kupoteza muda! Binti uliyetoa maombi leo katika Parokia ya kanisa katoliki Buswelu, Mwanza, Misa ya pili, nakiri kusema umenikosha Moyo. Sauti yako tamu kama Malaika wakiimba nyimbo za...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Hii inawakuta wanaume wengi. Hata mimi ilishawahi nipata kabla. Lakini ni muhimu kutambua thamani yako. Na unastahili upendo na furaha. Ubaya wa kumng'ang'ania asiye kutaka ni kukosa kuwa...
24 Reactions
24 Replies
3K Views
Utafiti uliofanywa na shirika la Uganda Christian Network Aid katika eneo la Africa mashariki limetoa matokeo ya utafiti wao kwamba 70% ya wanandoa ya Kikristu huzini ukilinganisha na 10% ya...
5 Reactions
32 Replies
1K Views
Ipo hivi nikiwa nataka kushiriki mapenzi maswali huwa yanakuwa mengi mpaka hamu inapotea kabisa Lakini kabla sija shiriki uku kwenye simu au nikiwa nae karibu na kuwa na feeling nyingi sana mbaya...
3 Reactions
70 Replies
2K Views
Karma is bitch. Mapenzi ni upofu ila mwisho wa siku unaweza kuona bila kutarajia, wakati unataka muwe familia mmoja yeye anaweza mengine. Nilimpenda sana huyu binti mpaka maisha yangu...
19 Reactions
33 Replies
3K Views
Wakati tunapambana na mfumuko wa bei kumbe sikujua hata condom nazo zimepanda bei juzi wakati nipo safari usiku ule nilivyofika bar moja nimekunywa wakati naondoka zangu kulikuwa kuna mrembo...
4 Reactions
22 Replies
1K Views
Back
Top Bottom