Hapo kwa jirani zangu wa Love Connect wanafurahisha sana. Unakutana na uzi wa mdada ni H.I.V postive anatafuta mwenza wa kuendana nae ili wayajenge, matokeo yake unakutana na replay za pole na...
Binadamu ni kama maua, hukua, huchanua na hata hunyauka. Na kama binadamu nina amini hakuna aliye kamilika.
Je, ni tabia zako zipi ambazo mtoto au watoto wako waki zirithi? Zinaweza kuwasaidia au...
Palikuwa na kijana mmoja aliekuwa na mpenzi wake, wapenzi hawa wawili walipendana sana. Walipendana mno kiasi kwamba hakuna mfano wa kuelezea juu ya upendo wao. Basi siku moja mwanaume alipata...
Bila salamu hiyo..
Mabinti hubaki kuzurura tu baada ya kuzaa. No direction of life hubaki nyumbani tu kama Volunteer House girl.
Hawa nazungumzia wale mabinti wanaomaliza la saba na kidato cha...
Hatua ya kubalehe ni mbaya kama usipokuwa na mshauri au uangalizi wa mzazi na kupitia ndoto nyevu na zile nyege za kubalehe wengi wamezama humo kwenye NYETO na mpk leo hii wengine wameshindwa kuoa...
Ni muhimu kumsikiliza mwanamke wako kwa makini, hata kama unaona anaongea maneno yasiyo na maana au anajieleza kwa njia ambayo haieleweki kwa urahisi. Kila mtu anastahili kuheshimiwa na...
Kuna mwanamke fulani ambaye nilipendana naye sana. Mwaka 2016 mpaka 2020 penzi letu likafa kutokana na migogoro ya hapa na pale, wote tukaamua kuachana ili kila mtu abaki na amani na atafute mtu...
Vip hii kitu ishawai kukutokea.. binafsi imenitokea mara 3 kwa wanawake tofaut tofaut na mpaka leo sijui kwa nin inakua ivo.
Ni ivi unakuta demu umemkosea na ukiangalia kweli haujamtendea haki...
Utafiti unaonyesha kuwa ndoa za Vijijini ndio zinadumu kuliko za Mijini pia unaeleza kuwa ndoa zinazofungishwa kimila ndio zinadumu kuliko zinazofungishwa Kidini na Kikatiba (Kanisani, Miskitini...
Habari ya asubuhi ndugu zangu.
Mimi ni kijana wenu mwenye umri wa miaka 30+, sijaoa wala sina familia na pia sina mwanamke yeyote wa kudumu,nakuja hapa kuomba kwenu ushauri wa kina juu ya haya...
Na kama kuna kanisa linavunja ndoa nje ya hizo sababu basi ni wazi hawaheshimu dini yao.
Huko mahakamani kumekuwa kimbilio la kwaristo wengi kuvunja ndoa kwa sababu zingine kabisa nje ya hizo...
Kuna kisa nimekisikia Leo,
Mdada mmoja ameamua kuachana na mpenzi wake ambae wamekuwa kwenye date for six years
Na sababu ya kumuacha man wake ni because ex wa mdada kamwambia kama hatomuacha...
Habari, [emoji24][emoji24]Hapa nipo na majonzi, baada ya Madikteta Moderators kufuta Uzi wangu bila sababu ya msingi.
Any way najua Moderators wana wivu tuu, jinsi mzee ninavyofaidi.
Twende...
Utamu wa mapenzi ni miguno. Narudia tena, miguno. Na sio miguno tu, bali migugumio. Hapa unaeza mwaga hadi ubongo. Yaani mwanamke wa namna hii hata akikwambia, "Baby tuuze kiwanja chenu cha...
Bonjour,
Nyie wazoefu wa kudate na hivi vitoto vya miaka 20s nipeni experience basi. Maana kuna kitoto kimoja cha Kisukuma nimekielewa kinoma, yaani huniambii kitu, dah!
Naogopa asije akanipiga...
Habari za wakati huu ndugu zangu..
katika pitapita za huku na kule niliopoa binti wa miaka 24 mlokole sana na mwimba kwaya, mtoto smart hasa rangi ya andazi na akili zake zinachaji kweli kweli...
Kuna mwanamke nipo nae kwenye mausiano ya kimapenzi ila nahisi sasa hivi hanipendi, ila zamani alikuwa ananipenda sana. Kunitafuta ananitafuta ila hana stori nyingi kama zamani, hataki kuchat sana...
Mda umefika nahitaji kuweka jiko ndani ila Katika haya yote nataka niwe na usiri mkubwa sanaa juu ya mm na mke wangu kwenye swala la mahusiano, nitamuweka mbali na mji ninaofanyia kazi ila sitaki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.