Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Haya mambo ya kuiga maisha ya kizungu na kupenda vitu ambavyo huna uwezo navyo yanatufikisha pabaya. Usiku wa kuamkia leo, kizaazaa kimezuka katikati ya jiji ndani ya eneo la guest. Dada mmoja...
12 Reactions
54 Replies
2K Views
Habari jamiiforum HASIRA ni nini? Hasira ni Ono linalompata kiumbe yeyote yule, binadamu ,mnyama mdudu au ndege pindi anapokutana na pingamizi.{credit na Wikipedia} Leo tuangalie Kwa binadamu...
3 Reactions
8 Replies
260 Views
  • Redirect
Apa sijaja kutetea umalaya wa wanawake wa kizazi hiki hapana kabisa Nimekuja kuwaambia vijana kizazi iki mnaoseama tusioe wasio bikra ni sawa ila muhakikishe mmewauliza baba zenu kwa usiri na...
0 Reactions
Replies
Views
Wanawake ni supernatural😂😂 Unakuta anapika, huku ananyonyesha mtoto hapo hapo kichwani anakuundia risala kama zile hotuba za hitler😂... Wanawake hubishana kulingana na hisia. Wanaume hubishana...
5 Reactions
18 Replies
360 Views
Mara nyingi huwa naanza na neno kwa nlichokiona sometime huwa ni kma masihara ila huwa naelelezea mambo ya kweli kabisa nliyoyaona kwa macho yangu Kati ya mabinti wenye Roho ngumu na wanaotumika...
43 Reactions
188 Replies
8K Views
Mambo 5 Muhimu Ya Kuyajua Unapoingia Kwenye Mahusiano! (1) Sio kazi ya Mwanaume kukuhudumia hivyo acha kabisa kumuambia matatizo yako mwanaume ambaye ndiyo unakutana naye. kama akikusaidia sawa...
3 Reactions
3 Replies
577 Views
Maana ya Ndoa Ndoa ni muunganiko kati ya mwanamume na mwanamke, walio amua kwa ridhaa yao wenyewe kuishi pamoja kama mke na mume mpaka mwisho wa maisha yao ya ndoa. Aina za ndoa kwa mujibu wa...
15 Reactions
2K Replies
64K Views
Habari zenu walipa kodi wenzangu. Nanukuu nilichoandikiwq na huyu mrembo wa kisambaa. "To you the love of my life" You are just what I dreamed,my sweetheart would you be my valentine? Nimjibu...
6 Reactions
27 Replies
729 Views
Nakuelewa..bado sijalala, however on a serious note that has been my stand of which shall sustain...hakuna tatizo you just act seriously and accordingly Huo ni miongoni mwa ujumbe wa mke wangu...
15 Reactions
129 Replies
19K Views
Ukifanikiwa kumshawishi mwenza wako siku ya leo mkatoka kwenda kusalimia wenye uhitaji mahospitalini hata vituo vya wenye uhitaji mtakuwa mmefanya jambo litaloishi mioyoni mwa watu na machoni pa...
10 Reactions
84 Replies
1K Views
  • Redirect
Leo kwenye siku ya Valentine msitupostie wazazi na watoto kuna siku zao special tunazijua.
1 Reactions
Replies
Views
Inasikitisha sana wanawake ndio mama zetu wanatubeba tumboni miezi 9 lakini kuna sikielewi na kinanishangaza sana kwenye shughuri za dada zetu imezuka tabia ya kualika mashoga na inaonekana...
16 Reactions
60 Replies
3K Views
  • Redirect
Kaka usikimbilie kuichomoa baada ya kufika iache iheme ndani kwa ndani kwa muda fulani Ndio maana kuna wanakati mwanamke wako hulazimika kukung'ang'ania kukushikilia pale unapotaka kuchanyuka...
0 Reactions
Replies
Views
Mambo yamekua mengi wanawake wanapenda hela, wengine wanajenga nyumba za siri, wanaume kataa ndoa wanaongezeka na walio ndani ya ndoa wanachepuka, kila kona ni vurugu. Wewe huyo bebi wako...
5 Reactions
74 Replies
1K Views
  • Redirect
Happy Valentine to you all jamiiforum
2 Reactions
Replies
Views
Mapenzi upofu sio suala la mmoja karibu wote tuna huo upofu ila usikubali ukufanye mjinga hapo utakuwa umefeli . Upofu wa mapenzi ni pale ambapo huoni wanayoona wengine kwa umpendaye na hata...
5 Reactions
11 Replies
342 Views
KWA NINI TUNAOA? NI LINI NDOA INA-EXPIRE NA HAUTAKIWI KUFIKIRI KUTOA TALAKA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Lazima ujifunze, kabla hujakipokea kitu au Jambo lolote lazima ujifunze namna ya...
6 Reactions
21 Replies
440 Views
Leo nimeona nikae nitafakari kama Binti nikiwa mtulivu na ustaarabu ya juu maisha yangu Nimekuja kugundua natongozwa sana na wakurya kwanzia kwenye social media ...mikoani.....chuoni...mtaani...
20 Reactions
172 Replies
3K Views
Unakuta mdada anakuonyesha dalili zote kuwa yupo interested nawewe, sasa ukisema uanze kumzingatia ana step back , anaanza kukupotezea na hatimaye inarudi kama zamani, hii imekaaje wakuu
7 Reactions
47 Replies
821 Views
Kuna utafiti usio rasmi ambao nimeufanya ila sijauchapisha kwenye jarida lolote,nimegundua wanawake wanaofanya kazi office hizi wana maringo sana na dharau. 1.Crdb branch zote nchini 2.Nssf hasa...
21 Reactions
77 Replies
2K Views
Back
Top Bottom