Usifanye makosa haya 5 kisa valentine
1: Mwili wako sio zawadi kwa unayempenda
Kama sio ndoa usitoe mwili wako kisa tu ni siku ya valentine, Siku moja inaweza kugharimu maisha yako yote,Jitunze...
Kama mnavojua tunakutana tukiwa watu wazima tuliokulia mazingira tofauti..
kabila tofauti mikoa tofauti, hivyo hatujuani wala kufahamiana tunaanzisha tu mahusiano
Natamani kujua ni kwa muda gani...
CHUDAI na WATAA ni maneno yanashika kasi sana kwenye pages mbalimbali za social media
Nimekutana nayo sana huko mjini X nimeyaona tena usiku huu
Hebu tusioyajua tueleweshwe tuache kupretend...
Hakika dawa ya kuacha nyeto automatically ni kukaa na mwanamke pamoja
Nlikua mdau wa nyeto a.k.a mkono bao tangu mwaka 2004 hadi mwanzoni mwa mwaka 2025
Hatimaye nikapata mtoto mzuri wa mwaka...
Mapenzi Shikamoo!
Usiku huu nimeshuhudia mkaka anarudisha gari na fremu ya biashara kwa mmama aliyekua anadate naye sababu amepata msichana anayempenda na anataka kumuoa. Huyu mkaka amekua na...
Kama mnavojua kwenye jamii yetu wanawake huoelewa wakiwa tayari na mtu yoyote ambae kwa wakati huo anajitokeza.. mara nyingi wanakuwa ni wale watu ambao tuna waweka pending huku tukiwasikilizia...
Habarini ndugu Wananzengo!
Miongoni mwa vitu vinavyonishangaza na kunichukiza sana binafsi ni habits za wanaume kupenda ku post post status nyiiiiiiiingiii WhatsApp.
Kwa nini inanichukiza? Kwa...
Wakuu,
Mwaka 2022, alitokea binti mrembo machoni pangu, mrefu, black beauty, mnene kiasi mpole, mstaarabu na mwenye adabu sana
Basi bwana kikaingiza mikorogo na gia zangu ili badae awe wife...
Aisee kuna hali naipitia nakua tuu sina Raha by outmatically
Mood of sana niko tuu nafanya ibadae nahisi kuna kitu kibaya kinatokea but sijajua ila cha kushangaza jana dogo nae ananiambia...
Hivi inakuaje unakaa na mwanamke kwenye uhusiano kwa muda mrefu inaeza kuwa miaka hata mitatu au zaidi lakini unamuacha alafu unaenda kuoa mwanamke ambae umejuana nae ndani ya miezi kadhaa tu...
Ikitokea mume ametoka bila kuaga (kutokana na mihangaiko yetu ya kighafla ya wanaume), mke nae anatoka bila kuaga na kwenda anakokujua mwenyewe.
Wakati mwingine huenda kwao (kwakuwa ni karibu)...
Nah, it's the second time now being saved on a lifeline into making harsh decisions. Crazy!
Why do some girls lies, man?
On my usual trips, nakutana na innocent girl, yeah she pretty of...
Habari jamiiforum.
Bila kupoteza muda leo tujadili hali hii ngumu ya maisha.
Wakuu.maisha mtaani ni magumu,jiji la Dar es salaam ambalo pengine ndiyo kioo cha hata mikoa mingine linajumuisha...
Wiki yenye amsha amsha zake imeanza, vipi huko kwako mambo yanasomaje?
Ushaagwa ana safari ya kikazi wiki hii?
Ushaanza kutengenezewa mazingira ya minuno na kuambiwa “usinipigie, I need some...
Sijabahatika kutembea mikoa yote ya Tanzania, ila kwa baadhi ya sehemu nilizowahi kufika, nimegundua wanawake wa KIHANGAZA ni wife material.
Wahangazi ni kabila linalipatikana wilaya ya Ngara na...
Kisaikolojia mwanaume huwa hapendi sana isipokuwa Mwanamke ndiyo ambaye huwa anapenda sana.
Ikitokea mwanaume anampenda sana Mwanamke husababisha migogoro ya kimapenzi yenye kujirudia rudia...
Yaani wewe ukiwa mwanaume kwenye ndoa wewe ndio mwamzi, uzaw wawili, watatu au Sita.
Lakini kwa Upande wa Mwanamke kipaumbele chake ni watoto wengi tena wakutosha. Na ikiwa una kipato kizuri...
Sijui kwa upande wako ila kwa upande wangu sipendi kabisa matangazo pindi nikiwa na mpenzi. Fikiria siku mnaachana/mnamwagana utajisikiaje moyoni mwako au mbele za watu hasa unapoona picha au...
Ninawatafakari wanawake leo. Ungana nami tuone jinsi walivyo na uwezo wa hali ya juu katika kila nyanja. Wakati mwingine sio lazima wawezeshwe wakiamua kila jambo wanaweza.
Hakika Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.