Nilikuwa naangalia wazazi majirani zangu kwenye mitaa ambayo nimekulia tangu utotoni kama sample space(jaribu na wewe). Nimegundua Kwa asilimia 99% wote bado wapo pamoja. Ndoa zao zimedumu kipindi...
Wakuu nawaamkua.
Wakongwe naamini tunapaswa kumshukuru Mungu kwa uzima na afya.
Kwa muda sikuweza kuwepo humu lakini hekima, busara na elimu ambayo niliipata humu sitoweza kuisahau kamwe. Bado...
Nipo tayari hata kuambiwa kuwa haya ni maneno ya mkosaji. Hali tuliyofikia, inachekesha sana aisee. Wanaume, wanaume, wanaume... Tupunguzeni kujishusha
Yaani unakuta mwanaume anajitutumua kurusha...
NATAFUTA MKE WA KUOA.
Jina Flavian.
umri 34.
Dini Mkristu.
Kazi N/jiajiri.
Kimo 5.3"ft.
Uzito 66kg
SIFA ZA MWANAMKE ANATAKIWA KUA.
Umri 28-35
Dini Mkristu
Kimo 5"ft...
Mimi ni mfanyabiashara ambae bado na hustle kufikia ndoto zangu nilizojiwekea ila nataka ushauri kidogo.
Mtu hustler kama mimi mwanamke ambae atanifaa kwa future yaani ntakae kuja kumuoa, awe...
Ni kijana msomi au sio msomi ila anajitambua kila nyanja. Ana kipato kizuri, ni God fearing Person, anajua kukaa na jamii yake na kujishusha pale ikibidi.
Mpole na ana upendo wa kweli, sio mtu wa...
Habari ya mda huu!!
Nina swali la kuhusu mahusiano
kwa nn wadada kati ya umri 17-20 katika mahusiano wanakuwa na mambo mengi? Inayopelekea kutokuelewa ukweli na kua na jeuri, ujuaji,ubishi n.k?
Wiki iliyopita nilienda kiwanja fulani angalau kupata moja baridi kidogo, ili kuondoa misongo ya mawazo katika utafutaji.
Baada ya kupata huduma, nikasema sasa ni muda muafaka wa kwenda...
Hivi inapotokea wanandoa mmegombana na mwanamke akahama chumba akawa analala na watoto hataki kurudi kila ukimbembeleza.
Rafiki yangu kaniomba ushauri nimsaidie njia ya kufanya nikaona nije...
Karibuni kwa siku kuu ndugu zangu..
Wanawake wanao wajibu wanaume vibaya pindi wanapo tongozwa mwisho wao huwa mbaya sana na wengine wanaishilia kuwa single mama. Amini na waambieni
Unakuta...
Kama umetuma nauli Na mwanamke hajaja ghetto basi wewe ndio mwenye makosa Na sio mwanamke ambae hajaja ghetto.
IPO namna ya kutuma nauli ambayo uki I apply mwanamke lazima aje ghetto.
( HAPA...
Mchezaji wa Manchester City Benjamin Mendy alimbaka msichana mmoja kisha akamwambia "ni sawa, nimefanya ngono na wanawake 10,000", mahakama imeambiwa.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28...
Wakuu MUNGU NI MWEMA HATA SASA
Nina rafiki yangu mmoja ambaye tumeshakuwa kama ndugu sasa.
Maana tokea tuko secondary mpk chuo tumekuwa wote mpk ndugu zake nao walishaniona kama ndugu yao tu...
Moja kwa moja kwenye mada...
Baada ya kukaa kwenye mahusiano kwa muda mrefu na wanawake tofauti tofauti sasa naamua kuoa nitulie zangu nikiusubiri uzee hapo baadaye, lakini inapokuja swala la...
Huwa unamchukuliaje mpenzi wako anapokuambia tutasex baada ya kufunga ndoa/kuoana? Hivi jambo hilo lina faida yoyote?
Jamaa yangu ananilalamika kila siku anadai mpenzi wake anakataa kutoa mali...
Wakuu habari,
Kwenye kukua kwangu nmekutana na baadhi ya vitu ambavyo ni 'unique' (upekee) tofauti na ilivyozoeleka. Kuna hili la baadhi ya wanaume kuvaa pete kwenye kidole gumba cha mkono (Ring...
"Huyu kaka tulifahamiana tangu nilipokuwa form three, tulikuwa na ukaribu tu wa kawaida hatukuwa na mahusiano yoyote kwa kipndi hicho, lakini siku zilivyozidi kwenda nilianza kumpenda kutokana na...
Ndugu habari
Direct kwenye mada, ndugu zangu kuna kijana naishi naye karibu sasa ni mwaka mmoja.
Ilikuwa hivi nilipohamia huku vijijini baada ya kuletwa huku kutokana na makosa ya ulevi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.