Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kwa wenye uzoefu kwenye hili mshee mawazo, inasemekana mabinti wengi wenye umri huo hawataki ku-settle kwenye ndoa au serious relationship, ilhali kwenye huo umri ndo wapo kwenye hot season/prime...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
NALIA NGWENA huwa nachoshwa sana na hii kauli ya kwenda kufikiria na unakuta kipindi anakufikiria vocha, bills za umeme na mengineyo anakupiga vizinga. Kama mna kwenda kufikiria kwa Nini mnaomba...
5 Reactions
45 Replies
2K Views
Mwanamke ni kama ua, lisipotunzwa linapoteza mvuto kabisa. Hivyo usidanganyike kuolewa na mchovu akaanza kukulaza chini kwenye mkeka, mnakaa sakafuni, mnapikia kuni au jiko la mkaa mpk kucha...
7 Reactions
73 Replies
3K Views
Hii tabia ya mume na mke kuishi chumba kimoja inachangia sana migogoro kwenye ndoa. Kujambiana 24/7/52 sio mchezo. Ndo maana michepuko mapenzi yanakuwa matamu. Kutokana na uzoefu kama Mungu...
8 Reactions
46 Replies
3K Views
Kuandika ujumbe ndefu si kawaida yangu kwa huyu mtarajiwa wangu. vijana haya mambo si ya kupuuza hata kama unaongea nae kila siku lakini jumbe kama hizi anakuwa nazo na atarudia kusoma mara kwa...
4 Reactions
26 Replies
3K Views
Mpaka sasa najiuliza hivi ni mimi kweli nimefikia hatua ya kupelekwa puta na pisi. Wakuu nipo Mwanza kuna pisi moja matata rangi nyeupe imenipiga ganzi nikienda kupata huduma kwenye moja ya...
33 Reactions
134 Replies
12K Views
Kuna Mambo mengi ambayo wanawake hufanya, kupendeza wachumba /wapenzi wao ili kupendwa zaidi. Baadhi yao hata hupotezwa na mapenzi wanapotia juhudi ili kuhakikisha kuwa amekaa. Lakini sio lazima...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Yaani kuna watu humu wanaandika mambo mpaka unajiuliza huyu naye ana demu? Aliwezaje mpata demu wake? Alitumia maneno gani kumshauri demu atoe nguo? Maana kichwani ni empty kabisa. Unawazaaaaaa...
0 Reactions
10 Replies
790 Views
Kwa uzoefu wangu mdogo tu katika mahusiano kwa umri wangu mdogo wa miaka 50+ kuna mambo ambayo nimeyagundua ambayo huwa yananifikirisha sana. Shughuli zangu za kikazi hunifanya nisafiri kuhama...
21 Reactions
136 Replies
9K Views
Heri ya sikukuu tukufu ya Eid el Fitr dugu zetu Waislamu. Salamu pia WanaJF wengine wote. Asububi hii nimeamua niamke na hivi vibinti na akina dada wa hapa Dar es Salaam. Jueni kwamba sisi...
11 Reactions
74 Replies
5K Views
Hivi na ninyi wanawake mnaweza ona mwanaume na kusema damn this man is OUT OF MY LEAGUE!? Yaani kwamba hata ufanyeje huwezi kuwa naye?
2 Reactions
14 Replies
685 Views
Ndoa Ina gharama yake kabla ya kuwa ndoa wanawake wengi hawalipi hio gharama at first baadae wanapostuka wanataka kufanya janjajanja wanaishia kupigwa tu na wengine kuishia kuwa single mother...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Nachojua tendo la ndoa siku ya kwanza lilikuwa na heshima zaidi endapo binti alikuwa ni bikra, ila kwa sasa hali imebadilika sana, ni mabinti wachache sana utabahatoka kuwakuta na bikra original...
0 Reactions
3 Replies
806 Views
Akiongea katika Kipindi kizuri na kinachoelimisha na ambacho GENTAMYCINE ni Balozi wake wa Kujiteua Kilazima kiitwacho Mazungumzo ya Familia cha Radio One Daktari Bingwa wa Saikolojia Dk. Charity...
11 Reactions
49 Replies
4K Views
Nina jirani yangu ana mke wake wana mtoto mmoja wa kiume miaka 2 hivi. Jamaa mkimya sana na mke wake ana ukimya wa kuigiza akiwa na watu wengine lakini akiwa na jamaa hasa hapo nyumbani huongea...
21 Reactions
115 Replies
7K Views
Ni mwanangu Sana, yaani mshikaji tu wa kushare nae mawazo mbili tatu, Basi akanidekeree ( kunipigia simu ) kunichana wazi kuhusu maelekezo wake ( mchumba wake ) amefuma meseji zake akimpiga...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
Assalamu alaikum wa rahmatullahi wa barakatuh. Wanawake warefu weupe kwa huku ni nilipo ni adimu sana. Unaweza kumkuta mrefu ila mweusi, mweupe ila mfupi ama lah ni mweupe na anaonekana mrefu...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Nipo hapa kwa mchepuko wangu, ameniomba angalau nije nile pilau la sikukuu hapa nyumbani kwake. Baada ya kufika hapa kwake, amenipokea kwa bashasha sana; baada ya kufika mlangoni tu...
11 Reactions
83 Replies
2K Views
Habari zenu wakubwa kwa wadogo, Nina jambo linalonisumbua kwa muda mrefu sana, kiukweli nimebaki na msimamo japo naumia moyo nishaurini jamani. Mimi nina tatizo Moja ikitokea nipo kwenye...
24 Reactions
107 Replies
6K Views
Leo nimejaribu kukagua nguo zangu zote, karibia robo tatu zimepauka na zimepoteza mng'ao wake; nikawa najiuliza, hivi ni mimi equation x ndio huwa navaa haya mavazi? Ama kweli, pisi kali...
25 Reactions
242 Replies
8K Views
Back
Top Bottom