Wanajamii tuelekezane mbinu za kivita za kumpata Mrembo, mzuri wa sura mpaka shepu unaweza fikiri amechorwa. Tunampata vipi ikiwa yeye hakutaki na hataki hata kuona meseji zako
Tufanye huna pesa
imeandikwa na Luqman Maloto
Source: Facebook page ya Luqman Maloto
KIFO cha Dk John Magufuli na kuingia madarakani kwa Rais Samia Suluhu Hassan ni Karma au Fate? Nimeanza na swali.
Karma tafsiri...
Jana usiku wa saa 4 nipo zangu mezani nakula akaja mkewangu ananiomba namba ya mpangaji wetu kijana wa makamo ambaye kiumri tunaelekea kulingana na kazi yake ni udereva wa bajaj, nikamuuliza namba...
Yaani ni hivi ngumi au kofi la mkono wangu sitaki vimguse sababu hataweza kuhimili,
Story iko hivi jana asubuhi nimefika nyumbani baada ya kutoka ofisini ninapo lalaga kwa ajili ya usalama wa...
Hapa MMU naona kuna wadau hasa wanaume wenzetu wanajifanya wajuaji sana kuhusu maisha, watoto, mapenzi na ndoa.
Wengi wameenda mbali na kusema eti bora kuwa na watoto kutoka kwa mama tofauti...
Kwenu mashemeji...
Hadi sasa hajatokea bado mtu wa kuivunja rekodi ya mashemeji kwa upambe, mashemeji ni wapambe sana yani ni wapambe nuksi. Halafu tabia zao zinavyofanana unaweza kudhani...
Mara hatuna nguvu, mara kimoja chalii, mara sitaki watoto wengi n.k
Haya sasa, huyu ndiye mwanaume wa shoka anayetakiwa kuigwa na wanaume rijali, na mimi kama equation x nitafuata nyayo zake...
Imekuwa ni fasheni kwa wadada na mabinti wengi wanazaa bila mtoto kujulikana ni wa nani hii hatua waliofikia hawa dada zetu naona tunaelekea kupoteza maadili yetu kama watanzania.
Nina dada yangu...
Wanaume wenzangu hii code nawapa utakuja kunishukuru siku nyingine. Jaribu kuishi mbali na ukweni kupunguza mambo madogo madogo yasiyokuwa ya msingi.
Sent from my SM-A025U using JamiiForums...
Mlio kwenye ndoa nadhani mnapitiaga kipindi kama hiki, unakuta upo na mkeo usiku ghafla nyege zimepanda, kirungu, kinatamani kupiga.
Ile unamshikashika mpenzi wako unajibiwa baba naniii na wewe...
Natumai mu wazima
Nimesafiri tangu saa 8 ya leo mchana namuda huu nipo Ujerumani,lengo ni kwenda kujifunza Ilmu mpya na maarifa mapya...
Tumeimizwa tusiiacha ilmu iende zake.. hivyo nipo German...
Habari
Manzi hakuna anacho offer kwenye hili penzi zaidi ya mbususu. Kiufupi hana mchango wowote, kila kitu nakamilisha mwenyewe na ninamkamilishia ya kwake.
Sasa siku za hivi karibuni kaanza...
Wengi huchukulia mafanikio ya kiuchumi kama baraka kubwa kuliko zote..
Kuna waliobarikiwa elimu lakini uchumi mbovu... Familia nzima imejaa wasomi tena wa kaliba mbalimbali lakini maisha yao...
Unapokutana na mwanaume akakutongoza/mwanamke akakukubalia kuna uwezekano mkubwa kuwa amevutiwa na wewe kweli au kakutamani tu. Kitu ambacho watu hua wanasahau ni kwamba hata mtu aliyekutamani tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.