Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Hivi nyie wanaume mliopo kwenye mahusiano kweli unashindwa kumzawadia mpenzi wako au mke wako kweli? Yaani mtu unamzagamua utakavyo unashindwa mpea hii[emoji3][emoji3] basi mpe hata sumsung nzuri...
8 Reactions
135 Replies
5K Views
Habarini, Nilikuwa na mke tuliependana sana kwa muda wa miaka 9. Mwanamke alibadilika na kuondoka, alinichenga sana alipo mpaka sasa ni miezi 6 hataki kuwasiliana, nami ameamua kudanga. Nataka...
0 Reactions
14 Replies
739 Views
Eid el Fitr njema ndugu Waislamu. Naomba niwe 'short and clear', kijana liheshimu mno jando lako. Ukiweza, oa akili na TAKO, ukishindwa basi katika michepuko yako yote hakikisha hukosi mwenye...
18 Reactions
80 Replies
6K Views
Wakubwa shikamoni na wadogo wote hamjambo.. Niseme jambo langu, nimeanza na kujieleza kuwa nimekulia familia ya ibada - Mkristo. Kitu cha kwanza nilichogundua katika maarifa na hekima niliyopata...
3 Reactions
42 Replies
3K Views
Siku ya leo nimefuatwa na rafiki yangu kipenzi kuniomba ushauri juu ya mpenzi wake. Rafiki yangu ni mwajiriwa wa kiwanda cha cement na amepanga kufunga ndoa na dada mmoja msomi wa chuo kikuu na...
16 Reactions
204 Replies
9K Views
Habarini wanajamvi. Nimegundua kuna biashara moja akitokea mwanamke au hata mwanaume akaamua kuifanya itamlipa sana. Mimi niko bize siwezi anza kukimbizana nayo ndo maana nasema mchepuko...
9 Reactions
69 Replies
5K Views
MAZUNGUMZO: Ongea kuhusu mambo tofauti tofauti yanayohusu mahusiano yenu (Mazuri na mabaya, yanayo jenga na yanayo bomoa, yatakayo imarisha afya ya mahusino yanu au yatakayo dhofisha afya ya...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Wife karudi analalamika kuwa salon aliyokuwepo kuna mwanamke kaongea shit. Na kaongea shit mbele yake pasipo kujua. Mwaka juzi mwezi May nlimwagizia wife Nissan Dualis baada ya kuwa analalamika...
5 Reactions
44 Replies
3K Views
Wanawake wanadharau sana. Eti ananiambia kisa mimi mfupi gharama yake ili angalau anifikirie fikirie nimnunulie bia 6! Dah, nilishangaa sana! Kununulia bia sio tatizo, ila hiyo sababu aliyoitaja...
12 Reactions
19 Replies
1K Views
Ni rafiki yangu anakiri laivlaiv.Kwake Anadai utamu wa papuchi hajui ni upi ndiyo maana anachelewa hata kumwaga. Anadai kuwa anaweza kwenda hata Lisaa BIla kumwaga sababu hasikii chochote zaidi...
7 Reactions
11 Replies
1K Views
1. Mwanamke mpumbavu. Huyu huwafundisha watoto wake kutomheshimu (wamdharau) baba yao. 2. Mwanamke mwenye hekima. Huyu huwafundisha watoto wake jinsi ya kumheshimu baba yao. Je wewe ni mwanamke...
10 Reactions
76 Replies
3K Views
Jioni ni njema kwangu. Natumai hata kwenu ni njema. Ila kwa mabinti wenye umri wa miaka kuanzia 25+, jioni hii si ya furaha kwenu. Najua mnayopitia wanangu! Kwa kujua huko, nimetafakari na kuamua...
18 Reactions
87 Replies
5K Views
Hali watu wazima! Mimi nimeoa huko. Na mbaya zaidi nimeoa Machame, na tunazeeka pamoja tukiwa na watoto na wajukuu kadhaa. Kifupi wanaume acheni udhaifu, mwanamke anakushindaje? Kuwa na misimamo...
12 Reactions
61 Replies
3K Views
Mwenzenu huu usinglemom ulinikuta chap Kwa haraka. Yaani bila kutarajia mtu niliyemwamini na niliyekuwa na malengo nae alinigeuka. Nikisema iliingia kwa bahati mbaya nitakuwa nadanganya tulipanga...
81 Reactions
473 Replies
18K Views
Tukiachana na mapenzi (ngono), mwanaume anaweza kuishi bila kumtegemea mwanamke. Mwanaume anaweza kuishi kwa kujitegemea kuanzia level 0 (hana ajira, hana mtaji, hategemei mtu) na akasurvive...
8 Reactions
59 Replies
3K Views
Goodmorning good people....... Hopin y'all are really fine.....am just great... Now BACK TO THE MAIN ISSUE Leo for some reasons but nimeamka nawaza hii kitu...... Dhana ya kuwa HOUSEWIFE NA...
7 Reactions
226 Replies
17K Views
Habarini wana jamvi MMU, natumai mko poa kabisa. Hivi in kauli gani chafu na kejeli unayoikumbuka kutoka kwa Ex wako kiasi kwamba ukiifikiria unajisemea mwenyewe kimoyomoyo "hii ng'ombe ikirudi...
6 Reactions
141 Replies
18K Views
Wakuu, Kichwa kinajieleza. Wamakonde wanasika kwa haya mambo, sasa namtafutia manzi wangu kungwi wa uhakika aongeze ujuzi. Mambo ya jando na unyago yapo kwenye makabila machache sana ikiwepo...
5 Reactions
45 Replies
4K Views
Back
Top Bottom