Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kiukweli kwakua Leo nilikua maeneo ya kigamboni na usafiri wangu nikaona niende KIMBIJI nilisikia beach zake kumetulia sana hakuna fujo, yes nikaenda na mwanangu mmoja hivi kiukwel Pako vzur japo...
14 Reactions
54 Replies
6K Views
Last three years bro alikuwa anaenda kutoa mahari kwa kabila moja huko Kanda ya Kaskazini. Ni bro wangu wa damu kabisa baada ya yeye ndo mimi. Hivyo tukachukuana kwenye usafiri hao mpaka huko...
103 Reactions
155 Replies
11K Views
Nina mpenzi ambaye naona kuna tatizo japo yeye hayuko wazi kunieleza ukweli. Tatizo kubwa ni mawasiliano,ni kwamba mm siku zote namtafuta yeye,mara moja moja anapokea simu,mara nyingi...
4 Reactions
107 Replies
39K Views
Habari za muda huu wakuu, Kiafya siku poa, Ila nashukur muumba kwa kunipa nafasi ya kuendelea kuwa hai😔 Kuna muda unaweza kupitia magumu+aibu Hadi kuhisi ukimya au sehemu iliyokimya ndo sehemu...
11 Reactions
65 Replies
6K Views
Habari wakuu Nina kama miezi miwili tangu nilipo rejea kutokea nchi jirani ambako nilipokuwa nikiishi, niliondoka nikiwa mtoto mdogo sana na baada ya miaka ipatayo 8 hatimaye nimerejea. Jirani...
1 Reactions
91 Replies
4K Views
Wapendwa hbr za jioni?,Poleni kwa majukumu ya siku nzima.Bila kupoteza Muda nianze kwanza kwa ku declare interest kuwa mimi ni Muumini wa dini ya Kikristo,Kanisa Katoliki.Hivyo ninapenda sana...
30 Reactions
82 Replies
5K Views
Mwanamke aliyegonga vichwa vya habari nchini Brazili baada ya 'kuolewa' na mdoli wa viraka ambaye mama yake alimtengenezea anadai kuwa mpenzi wake amemsaliti kimapenzi kwa mara nyingine...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Nauliza kwa nyie wanawake,ikiwa umegundua na kuthibitisha kuwa mumeo aliwahi kuwa au yupo katika mahusiano ya jinsia moja. Je, utamchukulia hatua gani,ikiwa anakupenda sana na kukujali na kwenye...
1 Reactions
45 Replies
2K Views
Habari za jioni wakuu! Baada ya kuondoka humu kwa muda mrefu hatimae nimeamua kurejea tena….niliwamiss. Naomba msipite bila kusema neno hapa, Kwa Wale mliochoka magumu ya ndoa au mahusiano ya...
14 Reactions
75 Replies
3K Views
Mimi kiukweli na mahusiano ya watu wawili yaani na wachumba wawili ila nilivutiwa na bwana mmoja hivi basi tukaanza text za hapa na pale . Sikujua kama ameoa . Hadi hiyo siku mke wake...
12 Reactions
76 Replies
5K Views
Salamu tumewaachia Wazanzibar wakesha vibarazani. Aisee kama una mwanamke mwembamba usije kumkorofisha, kwasababu wengi huwa na hasira sana na vinyongo vya hatari! Unaweza kuchukulia poa lakini...
6 Reactions
48 Replies
3K Views
Ukimtumia mpenzi wangu meseji nadhani alikupa namba yake ili umtumie. Ukimpigia nadhani alikupigia kwanza. Ukichill naye nadhani alikuambia utampata wapi. Ninamlaumu mpenzi wangu kwa mazungumzo na...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mwanaume au mwanamke mwenye Imani za kishirikina au mwanaume/ mwanamke mwenye kujifanya mlokole sana. Mara mia adui unaemfahamu kuliko usiyemfahamu. Sishangai takwimu za maambukizi ya VVU...
22 Reactions
140 Replies
6K Views
6 secret code Ugomvi mkubwa katika kila mahusiano ni kushindwa kushirikiana, na sababu ni umimi au ubinafsi ambao utachukua mimba na mimba ikiisha kukomaa huzaa Magonvi makubwa na mwisho...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Wakuu, Tangu wiki ilopita nmetofautiana na MKE Wangu mamaG, chanzo Ni mm mwnyw na upuuzi upuuzi wangu, kujitia ujuaji mwingi, kutokufuata ushaur wa MKE wangu mpk nmeyaharibu mambo. (Sio cheating...
13 Reactions
104 Replies
6K Views
Ilikuwa Saa 8 inaenda saa 9 usiku, weekend, nimekaa zangu Getto usingizi sipati nikasema ngoja nitoke niende town. Basi bhana nikaenda club moja hivi inaitwa The Boss ipo Mianzini Mataa (Arusha)...
12 Reactions
43 Replies
5K Views
Habari Za humu ndani wakuu? Natumaini wote ni wazima wa afya ukiachilia mbali changamoto za kijamii zinazotukabili, kama vile Mgao wa umeme na maji, binadamu tuache ukaidi wa kuharibu vyanzo vya...
38 Reactions
177 Replies
17K Views
Habari za humu wanaForum, Kwanza kabisa nitoe pole kwa watanzania wote katika msiba huu mzito wa rais wetu mstaafu Benjamin WIlliama Mkapa. Niende moja kwa moja katika suala langu labda nitapata...
2 Reactions
36 Replies
3K Views
Juzi tu nimetoka tabora Ni baada ya kitambo kirefu Nimekuta tabora imebadilika Katika sehemu zote nyingi za starehe Terrace lounge imekaa uzuri sana Pale ni pazuri na pana hadhi nzuri Kuna...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
X wangu kawa single mother na kampatia mwanae Jina langu, mwaka 2014 ni mwaka nilipata KAZI ya kuajiriwa ya Serikali, kabla ya kupata ajira nilipitia msoto wa kibabe Sana, pamoja na marehemu baba...
7 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom