Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Nawasalimia kwa pamoja ndungu zangu wana JF. Muda mrefu umepita nimekuwa nikiwaza sana kuhusu jambo hili lililonitokea tarehe 11/9/1990. Kila nikijaribu kumwambia mtu moyo unakataa nahisi kwamba...
32 Reactions
493 Replies
48K Views
Binafsi nilijitahidi sana kuwa kijana mtulivu na nisietaka makuu.. Lakini nilipofikisha umri wa miaka 18 nikasema liwalo na liwe sasa nimekuwa natakiwa nianze mahusiano ya kimapenzi. Nitafute...
2 Reactions
45 Replies
3K Views
Nauliza kwa wema tu, je kuhudumia mwanamke mkiwa kwenye mahusiano tena hujamuoa, ni lazima? mwanetu anatoa buku 2 daily ila anaonekana takataka tu
27 Reactions
201 Replies
10K Views
Kakubambikia mimba Kakubambikia mtoto Umeshindwa kuprovide child support Kakushitaki Umefungwa miaka 5 Umetoka Umekwenda partenity court Imethibitika mtoto si wako Naye anakiri anamjua baba wa...
2 Reactions
16 Replies
971 Views
Hii inawahusu wanawake wote walioolewa ambao ni wachoyo wa tendo la ndoa na waume zao. Lady mpe tu haki yake mumeo kila anapohitaji, usimnyime kabisa. Mfanye mumeo asiwe mtu wa kuchelewa...
20 Reactions
133 Replies
8K Views
Nimehamasika kuandika mada hii kutokana na mada ya jamaa anayeomba ushauri kuoa nyumba ambayo baba ni mchawi kisha ni mshirikina. Nyumba yoyote inayoabudu ushirikina na uchawi tambua hiyo ina...
38 Reactions
282 Replies
36K Views
Kwanini unakuta unamtongoza mdada na unampenda kweli, ila anakukatalia ila muda umeanzisha mahusiano mengine analeta hisia za wivu au kutaka kukuharibia wakati yeye alikuwa kataa
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Utaona mwanamke haeleweki endapo hakupendi tena. Kumbuka tena, ukiona mwanamke haeleweki kwako ujue anapoteza hisia na wewe. Leo atakuonesha furaha kesho atakununia/ anakua kama hajawahi...
9 Reactions
43 Replies
5K Views
Huwa mnafanyaje katika hali kama hii. Uwezo wa kuhudumia mke na mtoto mmoja upo lakini ukisema usubiri ujichange hadi uwe na mahari inayotakiwa ni parefu. (1,000,000) Je ni sahihi kuomba...
0 Reactions
6 Replies
858 Views
Wanawake mumemsikia Pastor? ===== Mchungaji Anthony Lusekelo almaarufu Mzee wa Upako anasema ni ngumu kukuta mwanaume hana mchepuko na kueleza kuwa kati ya wanaume 100, basi 90 wanayo...
3 Reactions
52 Replies
3K Views
Kuna watu huwa wanapendwa na mapepo (roho chafu) hadi wanafikia hatua ya kuungana kimwili na roho hizo. Hakuna kitu duniani chenye wivu mbaya zaidi ya mume au mke wa kiroho, ukifanya mapenzi...
7 Reactions
38 Replies
2K Views
Nakumbuka nikiwa mgeni ndani ya mji wa morogoro/mji kasoro bahari nilipata mchumba(mwanamke) mtaani nilipokuwa naishi, panaitwa Mafiga. Yule manzi alikuwa anakuja geto, sometimes analala lakini...
37 Reactions
108 Replies
8K Views
Kuna wale wanajionaga mafundi wa mapenzi sababu ya mionekano yao,uzuri au fedha zao wanajiamini kwamba wanajua kuacha hawajui kuacha,ila baadae hujaga kuwa wasumbufu. Nakumbuka nilikuwa na demu...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari, naleta uzi kwenu kupata mawazo ya wengi baada ya rafiki yangu kuniomba ushauri. Iko hivi, huyu jamaa alitongoza dada flan kipindi cha nyuma yule dada akamjibu kuwa ana mpenzi na...
10 Reactions
18 Replies
1K Views
Huu wimbo wa Nimekuchagua Wewe - Bob Rudala kwenye harusi yangu kanisani nitawambia wanipigie huu,hata kama wataurudia mara 1000 ni sawa tu. Huu wimbo ukipata binti ambaye mmpendana kama Romeo...
17 Reactions
68 Replies
8K Views
Habari Mkuu! Ilikuwa ndoto yangu kubwa kuwa mwekezaji mkubwa katika taifa langu. Ndoto hiyo ya muda mrefu sasa inaenda kutimia. Miaka miwili iliyopita nilikuwa kwenye Project moja ambayo...
6 Reactions
35 Replies
2K Views
Ni kastori ya kabinti kamooja..... Leo nimeamini..,. Ni ngumu saana kwa baadhi ya mabinti kuonesha hisia zao wazi kwa mwanaume wa Ndoto zake.... Nilikutana na huyu binti humu humu Jf...
6 Reactions
50 Replies
2K Views
Salaaam! Nimekaa muda mrefu nikitafakari namna ya kufanya ila kabla sijachukua maamuzi yoyote ikiwa ni pamoja na kumuweka hadharani muhusika kwa ajili ya manufaa ya wengi naomba nielezee kidogo...
5 Reactions
56 Replies
4K Views
"Unapo oa au kuolewa unaapa upendo na kutarajia maisha ya furaha kwa wakati ule na ujao, ingawaje mambo yamekuwa tofauti kwa siku za hivi karibuni". Anasema Rodney Simmons, mwandishi wa masuala ya...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom