Ushauri wadau, eti wanasema wadogo zangu wote wameoa mimi mbona sitaki?! Mpaka baba yangu naye anasema mwaka huu usiishe niwe nimeoa, vinginevyo ataona jogoo hapandi mtungi.
naombeni ushauri...
Hiko hivi kuna rafiki yangu mmoja amekuja kuomba ushauri.
Kampenda mwanamke wako kwenye mahusiano ya mda sasa, alipo fanya maamuzi ya kuoa wazazi wakamwambia "huyo binti kwao ni wachawi" kwamba...
Habari .
Wanawake wamekua na tabia ya kutulaumu sana sisi wanaume na wakati mwingine wanasema kuwa sisi ni mbwau,
Unakuta kijana wa watu yupo single anaangaza huku na huku kujitafutia mrembo wa...
Habarini wadau,
Nina rafiki yangu anahamia Dodoma sasa mke wake yupo benki hapa Dar es salaam kwahiyo anataka kumuhamishia huko Dodoma.
Tatizo nafasi kwenye hiyo benki hamna na anaogopa kuwa...
Habari za humu.
Mi navichora tu, vikifika 35+ ndo vinaanza kutia tia huruma, maana vitakuwa vinatafuta mume bila mafanikio.
Kitoto unakitongoza hakitaki, kila ukikapigia simu, kanalalamika...
Wakuu umofia; siku hizi kumezuka tabia ya baadhi ya madada kuwa makuwadi wa mademu wenzao. Yaan ishu inakua hivi mdada anaamua kumpost rafiki yake kwenye status ya watsp au instagram then watu...
Wakuu umofia kwenu...kuna mtoto mmoja nataka nimle vya kutosha maeneo ya kigamboni....sasa natafuta classic iliyojificha maeneo ya kigamboni..bdget yangu ni kuanzia 35000 hadi 50000
Habarini wadau....
Leo mchana niliimgia azania bank tawi la dodoma...aisee kuna mdada mmoja yuko hapo mweupe mzuri hv mfupi hivi bank teller..mtoto wa ukweli sana...kama kuna mtu anamjua...
Wakuu umofia kwenu?
Je, ni kweli kuwa kwenye ndoa changa kama uko mbali na mwezi wako kuna uwezekano wa kuchepuka. Nimeskia kwa washkaji kuwa asilimia kubwa ya ndoa changa ambazo mume yuko mbali...
Tafadhali acha kurudi kwa watu wale wale wanaoendelea kukuumiza. Uliwaondoa kwa sababu. Ndio, wanaweza kuendelea kugonga mlango, lakini sio lazima uendelee kuufungua.
Kila wakati unapowafungulia...
Huyu mwanamke bana nahisi hanipendi wala kunijali kabisa.
Leo mimi na watumishi wenzangu tulikua tuna safari ya kikazi kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine wenzangu njia nzima kuanzia mwanzo wa...
Watu wakiambiwa wapige kura kuchagua kati ya kuchakatana na kunywa bia. Mm nitakuwa mmoja wa watu watakao chagua kuchakatana na tutapata ushindi mkubwa sana.
Aliyesema bia tamu akafanye utafiti...
Kabisa letu niliite kabila X linadharauliwa sana na kabila Y. Sasa nilipata binti wa kabila Y akaniambia kabla ya yote niende kwao kumsalimia mama yake.
Nilienda na nikajitambulisha jina na...
Kumekuwa na wimbi la ongezeko la sehemu za siri kutoa harufu mbaya!
Unaweza kukuta mdada mzuri kupita kiasi, lakini harufu sasa. Wingi wa manukato hufanya usisikie chochote mapema, lakini...
Habari ndugu na jamaa wa JF?
Nimekua nikifatilia humu JF kwa muda kuhusu ndoa, naamini humu kuna watu wana uzoefu mkubwa sana kuhusu ndoa tunaweza kushauriana mambo kadhaa.
Mimi ni kijana amabe...
Niko na mahusiano na huyu binti kama mwezi hivi.Na hajawahi niomba hela. Leo ameniomba 25k.
Lakini hali yangu sio poa, na nimeogopa kumwambia ukweli kuwa sina.
Kwa sababu nikimwambia ukweli kuwa...
Ikumbukwe kuwa wanawake hufurahia tendo pale g sport yake inaposuguliwa na uume ipasavyo.
Wanaume waliofanyiwa tohara kwa njia ya asili wananafasi kubwa sana ya kuifikia g sport ya mwanamke kwa...
Habari..
Moja kwa moja ni yupi mwanamke bora wa kuoa kati ya hawa wanawake wa aina hii ndugu zangu;
1: Mwanamke anae kupenda kwa dhati ila hana hisia na wewe kabisa
2: Mwanamke mwenye hisia na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.