Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Wakuu, hii inaenda kunipoteza, hapa nilipo nimetoka kidogo kupiga vyombo ila kuna huyu barmaid nisipoondoka nae leo sidhan kama nitalala. Yaan hii kama ni fetish basi nimekamatwa mwenzenu...
5 Reactions
61 Replies
4K Views
Ni swalii ambalo nimekuwa najiuliza mara nyingi na limekuwa likitokea sana wale wanawake ambao unakuwa unanipa ya dhatii na mna mahusiano muda mrefu HATUWAOI na unakuwa KUOA watu tusiotarajia...
16 Reactions
126 Replies
7K Views
Kisa cha kweli nilikuwa na mpenzi ambae kwa tulipenda sana kwa jina lake letina cosmatiko mtoto huyu kaumbia pia mzuri mimi ashampoo huwa napenda mataka mtoto alikuwa nayo nilikutana posta huko...
16 Reactions
91 Replies
5K Views
Ilikuwa siku ya jumaa tatu asubui nipo mbezi stend nikiwa nimewasindikiza ndugu kusafiri baada yausiku wajana kumalizika harusi yamdogo angu' Baada yakuakikisha kuwa wamesafiri namimi nikasema...
3 Reactions
59 Replies
5K Views
Habariini za Muda Huu! ( MFANO MIMI.....) Bwana Mimii Nina Ex Zangu Watatu MMOJA TULIDUMU MIAKA MITATU MWINGINE MINNE NA MWINGINE SITA Ambao Kiukweli Niliwahi Kuwaumiza Sana! Lakini...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari zenu wadau, mambo vipi? Moja kwa moja kwenye mada. Juzi kati nikiwa katika harakati zangu za kuzunguka sana mikoani kuuza maneno (marketing) kulingana na nature ya kazi nayofanya ili mradi...
48 Reactions
76 Replies
7K Views
Habari za jioni wana jf, Kwa Takribani muda fulani sasa nimekua nikiona hii changamoto tunayoipata vijana wengi wa kitanzania. Hii changamoto ni pale tunapotafuta mtu mpya wa kuwa nae katika...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi kibongo bongo mtu asiye na degree even if ni mcute au handsome kiasi gani, huko kwenye ndoa huwa yuko romantic kweli, is he/she tasting good? Binafsi Naona kama they are not romantic na...
10 Reactions
73 Replies
4K Views
Uumpende,usijiweze juu yake uumpe raha,umsikilize yeye tu. Mali zako ni zake Akili yako ni yake Ndugu zako ni wako ila ndugu zake ni wake na wako Benki yako ni yake Pumzi yako ni yake Watoto ni...
7 Reactions
20 Replies
2K Views
Mimi bado sijaoa,lakini hupenda kuwauliza watu waliooa na kuolewa hili swali. Cha kushangaza asilimia kubwa ninao wauliza, hunijibu wasinge mchagua mume au mke walienae kwenye ndoa. Na asilimia...
4 Reactions
111 Replies
5K Views
Hata ukiwa naye kwenye mahusiano we sio namba moja kwake. Mwanamke ambaye bado anatafuta mwanaume. Mwanamke wa hivyo atakuumiza kichwa. Atakua na wewe kwa maslahi fulani tu wala si upendo...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane! Huwa ni rahisi sana kwa mwanamke anapopata mwanaume au anapotongozwa na mwanaume na kumkubalia kuomba kabla ya tendo la kujamiiana wapime kwanza hasa...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Huko Sudan kuna machafuko makubwa sana yanayosababishwa na mapigano makali baina wao kwa wao, zaidi ya wanafunzi laki vyuoni wamelazimika kurudi majumbani ama kwenda nje ya nchi, kwa hapa Tanzania...
11 Reactions
80 Replies
7K Views
Za wakati huu ndugu zangu wa Tz, ni matumaini yangu ulikuwa na week njema kabisa mpaka sasa tunafika weekend, kwa ambao hamjui leo Prince Dube kapiga hat trick huko Chamazi, 😊😊 Leo sina maneno...
9 Reactions
11 Replies
1K Views
Nilikuwa na mahusiano ya mda mrefu na binti mmoja tangu tukiwa masomoni kiasi kwamba mpaka ndugu na wazazi wa pande zote wakayafahamu mahusiano yetu. Tuliendelea kuwa pamoja hata wakati ambapo...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Habari! Mwezi wa pili alikuja mtoto wa dada yangu kutoka mkoa wa X kuja Dar kutembea. Inavyoonyesha alikuwa na lengo la kuja kukaa kwa ndugu yetu (mama mdogo) ila maza mdogo alichomoa mkeka kwa...
4 Reactions
47 Replies
3K Views
Huyo mdada mreembo kama malaika, PISI KALI 🧚🏻‍♀🧚🏻‍♀🧚🏻‍♀ kama hujui historia yake mmekutana kwenye 1.Daladala 2.Ulimpa lift na chombo chako cha usafiri 3.Amekuambia ni mwanachuo hujui chuo...
22 Reactions
79 Replies
7K Views
Nianze kwa kujitambulisha Eeeh Mimi ni kijana wa miaka 28 Nina kil0 93 Naishi dar....Nina Visa vingi katika mahusian0 yangu ya MAPENZI,vingi nishawahi p0st humuhumu... Nip0 katika nd0a mwaka sasa...
18 Reactions
111 Replies
8K Views
you can imagine [emoji116][emoji116][emoji116]. Sent using Jamii Forums mobile app
13 Reactions
43 Replies
4K Views
Back
Top Bottom