Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Nimekaa nikakumbuka wakati nikiwa chuo Kuna mdada nilitokea kumuelewa Sana. Picha linaaza hivi huyu mdada tulisoma wote advance but wakati tukiwa advance sikumconsider sana means tulikuwa...
3 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari wakuu Sina mengi ya kusema nilikuwa nahitaji marafiki wa kike wa kubadilishana nao mawazo. Umri wangu ni miaka 21 soon I'll be making 22, elimu yangu kidato cha sita, kazi nimeajiriwa...
15 Reactions
278 Replies
11K Views
Aisee, ukipata mpenzi au mke au mume ambaye anawasiliana bado na maex tambua hakuna kitu hapo. Ana namba za maex wake wote, anachat nao akikuaminisha eti hakuna kinachoendelea. I swear tegemea...
40 Reactions
338 Replies
8K Views
Mzee wangu ni moja ya wale wazee ambao ni "typical mkurya" So katika jamii yetu huku wengi unakuta kijana anaolea nyumbani then baadae ndio anatoka kwenda kujitegemea. So, kipindi hicho mimi...
19 Reactions
40 Replies
3K Views
Kwa kifupi huyu ndugu yangu (Shangazi ni mtu poa, nimemfahamu toka utotoni, na sehemu kubwa ya utoto wangu nimekulia kwake, hajawahi kunikwaza kwa chochote, ila kwa hii miaka 5 iliopita ameanza...
7 Reactions
45 Replies
3K Views
Story za hapa na pale na uzoefu wa maisha, tunashare! Katika upambanaji dhidi ya umasikini tunafanya kazi mbalimbali. Niko kwenye bus nasafiri, nikakumbuka miaka kadhaa nyuma, nilifanya kazi ya...
9 Reactions
108 Replies
10K Views
Nikiwa kidato Cha sita nilikutana na manzi mmoja mrembo kweli kweli katika story za hapa na pale mwamba nilifanikiwa kuchukua namba za simu Nilianza kuzoza zoza (kurusha mistari tongozo) lakini...
8 Reactions
32 Replies
4K Views
Mke wangu amechapwa na mzoa taka ama hakika nimeumia sana ila siwezi kumuacha huyu mke wangu kwa sababu namoenda sana ila ameniomba msamaha Amelia sana mpaka nimemuonea huruma sana mpaka na mimi...
23 Reactions
91 Replies
10K Views
Ndugu .. Bila ya kupepesa macho Taka usitake kuitwa "dady" na mwanamke wako ni ishara mbaya sana na ni dalili za wazi kuwa wewe siyo mpenzi wake au mume wake, bali wewe ni baba yake. Sasa nyie...
11 Reactions
47 Replies
4K Views
Wadau wa JF nashukuru sana JF kwa kunipatia mke mzuri na anayenipenda kwa dhati na hatimaye tumefunga ndoa takatifu. Please wadada msinitafute tena nimepata mwenzangu wa maisha.
30 Reactions
495 Replies
53K Views
Habari ya leo wakuu Leo napenda kuwapa kilichotokea kwenye ile thread kuhusu kufanya udukuzi kwenye simu ya mke wangu. Tujikumbushe kidogo kwa wale ambao hawakupata ile thread. Ni hivi mimi nipo...
87 Reactions
878 Replies
279K Views
Wanajf naomba mniombee safari yangu kwenda kisiwa cha Malta imekaribia baada ya kuhangaika hapa na pale kusaka visa nimefanikiwa ingawa ilikuwa na vikwazo vingi kutokana na Janga la corona. Siku...
4 Reactions
38 Replies
4K Views
Sijui hii hali kama kuna wengine Ishawahi wakuta, Umri wangu Niko kwenye late 20's miaka ya nyuma nilikua tongoza tongoza, aisee lakini sasa sijui nimekuaje, kama mwaka uliopita nimetongoza mdada...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Vijana wengi mnakimbilia ndoa. Ni jambo jema, ila wengi wenu mkishaingia humo mnasahau malengo yenu katika maisha (career, business/ investment) maisha si kukopa benki na kununua IST/Crown baadae...
26 Reactions
35 Replies
3K Views
Salaam wanajamvi, naombeni ushauri Mimi ni mwanaume 29, nina mchumba ambaye tumekuwa kwenye mahusiano karibia miezi 8 na wote tunafanya kazi. Licha ya kuonyesha kuwa ananipenda na kunijali...
2 Reactions
109 Replies
12K Views
1) Huwa tunakosea wapi kwenye kuwaandaa katika swala zima la kuelekea katika kufanya mapenzi? 2) Nyie mnapenda tuwe tunawaandaaje, na nini hamkipendi tukifanye tunapowaandaa? Yale maneno ya...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Unakijua kisa cha Leyla na Majnun (mapenzi bikra)? Leyla na Majnun ni kisa maarufu duniani kilichotokea kweli katika Uarabuni, na kwa kisa hiki kimepelekea kutungiwa mashairi mbali mbali duniani...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari wana MMU? I got this somewhere!!! Read this grateful story.. I met Thandiwe Zulu in 2005 during a United Church Of Zambia church conference at St Paul's church in Kabwata. She was one of...
8 Reactions
26 Replies
4K Views
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee! Sio kwamba nimerudi rasmi kwenye hii fani, hapana, i am gone for good. Hii ilikuwaga reserve, katika pita pita zangu katika story zangu nikaikuta hii imebakia...
24 Reactions
688 Replies
107K Views
Back
Top Bottom