Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Hasa kipindi cha baridi au unaposimama, uume unakua wa moto sana, kama vile sehemu ya shingo mtu akiwa na homa, ila hauumi, je hii ni kawaida?
4 Reactions
56 Replies
5K Views
Ukiona mtu yuko kwenye ndoa miaka zaidi ya mitatu basi.. Itoshe tuu kusema ndoa inahitaji uvumilivu Ndoa ikikosa uvumilivu ni kama vile mikono na miguu kwenye gari vishindwe kuelewana, mikono...
8 Reactions
10 Replies
922 Views
Nami kwa kweli kama huna gari kali hata usinisemeshe. Maana tutatoka out itafika mida ya kutaka kuondoka akili yako inahama inaanza kuwaza kugombea daladala au mwendokasi. Sitakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
14 Reactions
136 Replies
8K Views
Nimezaa na mwanamke fulani hatukubahatika kuoana akapata bwana mwingine ambae pia wamezaa kabla nilikua namuona mtoto wangu nitakavyo lakini baada ya ndoa alibadilika nkitaka kumuona mtoto anatoa...
1 Reactions
10 Replies
760 Views
wrong quote
0 Reactions
1 Replies
301 Views
Mademu wengi nakutana nao wananing'ang'aniza nimwagie ndani. Wanapenda sana. Nadhani kuna raha wanapata... Ila sasa nawaambia mapema kabisa. Habari za kusema. "nina mimba yako" nitakuambia iwache...
25 Reactions
163 Replies
16K Views
Vijana wengi kwa sasa mtizamo wao ni kwamba kuoa ni mpaka 30 yrs huko, hapa katikati ni katika kutafuta pesa za kuja kutumia na huyo mke utayemuoa at 30. Tupo sahihi kweli? Na wakati huo unayemuoa...
2 Reactions
41 Replies
1K Views
Ni Jumatatu njema! Mfungo mwema kwa ndugu Waislamu!. Vijana mimi huwa nawachora sana! Nawaangalia tokea mbali mno mnavyodanganyana kuwa ukioa muda wowote utakaotaka tendo basi ni kufunua tu sketi...
36 Reactions
145 Replies
8K Views
Wakuu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni kijana mdogo niko kwenye early 20's. Nategemea kuoa kwa mara yangu ya kwanza na nimebakiza mwezi mmoja kabla ya kufunga ndoa. Je, nini...
3 Reactions
49 Replies
3K Views
Hate That I Love You" Yeah, yeah Yeah, yeah That's how much I love you (Yeah) That's how much I need you (Yeah, yeah, yeah) And I can't stand you Must everything you do make me wanna smile Can I...
11 Reactions
63 Replies
2K Views
Nina ex wangu tuliachana miaka 8 iliyopita ila tuliachana kwa wema sababu ya umbali kijiografia, hatukugombana. Leo nimemuomba tupashe kiporo amekubali kwa moyo mmoja na tukapanga na venue kabisa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Yaani anapenda tu kumuonea pasi na sababu. Yaani akifika tu malangoni, mtaa wote unafugumiza harufu ya pombe bila kusahau maneno machafu machafu Akiingia ndani anamkunyuga mateke na makofi ya...
7 Reactions
63 Replies
3K Views
Iko hivi, nina Manzi yupo grocery, anauza vinywaji.. sasa huyu Manzi mimi kanitunuka fresh fresh, na najua manzi ananielewa sana Sasa ninefika location hapa nakutana na mwamba tumejuana juzi juzi...
7 Reactions
42 Replies
2K Views
Kwanza samahanini wakuu naombeni msaada hapa nilipo nipo nipo hospitalini baada ya jana kula kipigo cha mbwa koko baada ya jana brother mkubwa kunifuma porini nikimla mke wake wa huko mjini dar e...
7 Reactions
38 Replies
5K Views
Hawa wanawake wapenda pesa wewe achana naye tu.
10 Reactions
31 Replies
2K Views
Ungependa kuongozana na mkeo, akiwa kavaa nguo ndefu zilizomsitiri mwili wake? Au ungependa kuongozana na mkeo, akiwa kavaa nguo zimembana au zimemuacha nusu uchi, huku wanaume wenzako wakimsifia?
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Boss ashampoo niliyumba kibiashara hapo kati kati mimi miaka mingi toka 2013 nakaa posta tu kisutu. Baada ya kuyumba kidogo nikahamia uswahilini nje ya mji, pia niliwapa story ya shemeji yenu...
5 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari!? Kumekuwepo na ongezeko la wadada wengi ambao hawako kwenye ndoa ila tayari wana watoto, wengine wanaishi nao na wengine wamewapeleka vijijini kwa wazazi, unakuta anayehusika kwa malezi ya...
24 Reactions
136 Replies
7K Views
Kumuhudumia Mwanamke mmoja kwa kumpatia mahitaji yake yote sio shughuli ndogo achana na hilo muziki mwingine ni kukidhi haja zake na matamanio yake ya kimwili kuhakikisha kabisa unampandisha na...
4 Reactions
11 Replies
962 Views
Enyi wazazi na wana ndugu wenye watoto wa kike ambao mnataka mtoto wenu aje kuolewa na mwanaume mwenye kipato na kazi nzuli kuanzia leo acheni huo ubabazazi fundisheni watoto wenu kutafuta pesa na...
6 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom