Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Jaman wanaume wa nigeria hapana mfano wake hawa wanaume ni wapo tofauti sana uwanjani na hata kuhudumia wako makini sana wanaenda na muda Wanaume wa Tanzania igeni pia kwa hawa lakini nahisi...
8 Reactions
150 Replies
6K Views
Kwa wale wanaume ambao hamjaoa, bila kujali hisia zako kwa msichana, kamwe usitume emoji za matango na ndizi. Jiheshimu na umheshimu msichana wako. Kuna zaidi ya upendo na maisha kuliko hamu yako...
3 Reactions
32 Replies
2K Views
Mke wangu ni Elineema Shayo mtoto wa kibopa,msomi wa ngazi ya shahada ya uzamili na mwanamke au katika wanawake wenye akili kuwahi kuishi nae maisha yangu sijui kwanini nimechelewa kumpata ila...
7 Reactions
43 Replies
3K Views
Mpo poa! Nasema hivi hamnibandui ng'oo Kwa huyu mtoto. Sijawahi kukutana na Mwanamke mwenye mapenzi matamu kama huyu. Endeleeni kupiga kelele Watoto wa elfu mbiri. I'm out
8 Reactions
24 Replies
1K Views
Jamani kwanini wanaume hamtulii mnakosa Nini?? Lazima uwe na mweusi ,mweupe , mwarabu ,mhindi, yaaniwafrika hadi keroo . Mnachoshagaza serious , ni baada ya jirani yetu mkewe kasafiri na bado...
7 Reactions
34 Replies
2K Views
Kuna wanaume wenye tabia kama ya huyu wa kwangu? Siku nilipomfumania akipiga nyeto alijitetea kuwa alizidiwa na kujikuta akifanya hivyo. Nilimtaka aache mara moja hiyo tabia na ikiwa hawezi basi...
14 Reactions
145 Replies
6K Views
Hello members, I was gone for some time hope mko poa,,,kuna kijamaa kinanidanganya eti hakijawahi kufanya kabsa. sasa tumepanga kinaniambia it will be his first time.. My question sasa utawezaje...
9 Reactions
161 Replies
41K Views
Ukimpa upendo kirahisi hatouthamini sana. Hatojiachia vizuri kihisia kwako vile utakavyo. Hauna thamani sababu hajapata shida kuupata. Hajahangaika amepewa tu. Japo ni wapenzi lakini mahusiano...
6 Reactions
6 Replies
1K Views
Wana Jamvi, Mwenzenu leo nimekuja nnaomba ushauri, Ni zaidi ya miaka miwili sasa mambo yangu hayaendi jinsi inavyopaswa mpaka inanipelekea kuhisi kwamba inawezekana kuna kitu hakipo sawa. Mwaka...
11 Reactions
87 Replies
3K Views
Wapendwa merry Christmas, Jamani mimi naombeni ushauri maana Kuna jambo limenishinda kulifanyia maamuzi. Mimi nimeolewa na nina watoto wawili, tumeishi na mume wangu kwa miaka kadhaa, Mme wangu...
5 Reactions
75 Replies
4K Views
Nina rafiki yangu anatarajia kuoa single mother. Ila anapata shida kuhusu Familia ya Jamaa aliyezaa nae. Kule jamaa ana dada na Kaka pia, sasa ndugu zake hao watamuitaje mchumba wake. Na wazazi...
0 Reactions
13 Replies
723 Views
Tarehe 28/04/2023 hapa ofisini tutakuwa na get together sehemu za beach Kwa ajili ya kujipongeza kama staff Sasa walianzisha kamchezo Kwa Kila staff kuwa na secreto wake na siku ya tukio hilo...
4 Reactions
75 Replies
5K Views
Habari za wakati huu wana JF, poleni sana na majukumu. Wanawake wengi wamekuwa wakijivunia urembo wao kama zawadi ya uumbaji kutoka kwa Mungu na kusahau kuwa huo ni mtihani wa asili ambao...
5 Reactions
3 Replies
662 Views
Niliandika uzi fulani ndani ya huo uzi nikacomment mahala kwamba nina michepuko watatu. Baadhi ya members wameni-attack sana na wengine kuniita mkoloni, mbabe na majina mengine. Ila niwe mkweli...
3 Reactions
7 Replies
624 Views
Those little holes Define the margin of your beuty Like hotsprings pouring cheeriness They say its an angelic deformation, With little holy ditches on your cheeks Kisses deep down their...
13 Reactions
116 Replies
6K Views
Kikao cha dhalula, najua povu upande wa akina hawa au Eva, watafurusha kombola la Maangamizi, missile 05442, lada zina soma,ili kuangamiza upande wa juu, hapo ukraine, ni kwa wanaume harisi tu...
32 Reactions
182 Replies
10K Views
Kuna demu ambaye tulikuwa Tunapendana naye saana na kwa bahati nzuri na mbaya nilimpiga binti huyo baada ya mimi kumpa mimba binti huyo sikuwa na chaguo lingine zaidi ya kupanga mipango ya kumuoa...
7 Reactions
35 Replies
3K Views
Aliyesema mke wa mtu sumu hakukosea. Ni hivi, nina miezi miwili toka nioe tena ndoa ya kanisani, mke wangu tunazungumza lugha moja (lugha ya mama) nikiwa na maana sisi wote ni kabila moja. Ni...
19 Reactions
236 Replies
12K Views
Kama mdau na mchakataji kama wengine mimi staili yangu ya uchakataji ni kuwatoa out na mbinu hii imefanya nichakate sana. Watoto wazuri wanapenda out ila watu wa kuwatoa wengi wao wanawapeleka...
15 Reactions
44 Replies
3K Views
Back
Top Bottom