Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari Wanajamii aiseeh! Nimeona bora nije kupata mchanganuo humu ndani. Hivi inakuaje mtu unaachana nae then anatafuta rafiki au ndugu yako wa karibu yako anadate nae ili kukukomoa[emoji848] hii...
3 Reactions
43 Replies
4K Views
1. Kuvaa nguo za ajabu ajabu kama changudoa*** Hivi nyie wanawake nani amewaambia mkivaa mavazi hayo mnapendeza? Unakuta binti amevaa nguo fupi kama mcheza show wa Casino, akipita mbele ya watu ni...
5 Reactions
109 Replies
12K Views
Wanawake wa sasa wamekuwa na akili nyingi kichwani, usiishi na mwanamke bila kutumia akili ukadhani ni wajinga wanawake wana akili nyingi sana Na sasa kumeibuka tabia ya wanawake kupeleka mimba...
5 Reactions
96 Replies
8K Views
Nimefanya utafiti kwa muda mrefu na kwa sample kubwa nikagundua kwamba ukiwa unahutubia au uko mbele ya hadhara ya wadada watupu wewe peke yako ukawa ndio mwanaume pale halafu suruali ikatuna kwa...
8 Reactions
45 Replies
7K Views
WAJUE WANAWAKE WASIOJITAMBUA 1. Anaevaa mini-skirt halafu akikaa mahali anahangaika kujiziba magoti. 2. Anayetoa mimba kisha analala na midoli. 3. Anaye-date na mume wa mtu miaka nenda rudi, na...
9 Reactions
55 Replies
6K Views
Group yangu ya wana wote wakipigwa vizinga na wadada waliotongoza siku moja kabla wanakataa, hapa mtaani hadi madogo wa kiume wanaosoma sekondari wanajua hiyo style ya utapeli, nilishangaa sana...
3 Reactions
56 Replies
3K Views
Brother uliyeoa,nisikilize mie Didas Tumaini nikujuze: Acha nikupe dawa ya akili, labda itakujaza maarifa sahihi ya kutunza ndoa yako. => Mwanaume anayejitambua lazima anajua majukumu yake, na...
11 Reactions
16 Replies
3K Views
Kuna watu ambao hawawezi kulala bila kufanya mapenzi na huku wengine wakikosa uwezo wa kuvumilia hata kwa siku mbili au tatu. Katika hali ya kawaida kufanya mapenzi kuna faida Nyingi, lakini...
1 Reactions
5 Replies
7K Views
Nimeamua tu kuwa Playboy kutokana na hali ilivyo Nimeamua tu nipite nao tu maisha yaendelee Wakuu hakuna kitu inauma kama kuivenst nguvu na kumpenda tu halaf mwisho unagundua alikua hakupendi na...
8 Reactions
52 Replies
5K Views
Siku izi kuna tabia fulani ya wanaume some time najiuliza why imekuwa ivi Mwanaume akiachwa na mwanamke kama ana picha zake za utupu ana zipost kwenye mtandao najiuliza kwanini wanafanya ivi...
3 Reactions
13 Replies
870 Views
Nimesikia watu wakiita wengine hivi, maana yake nini? ili mtu aitwe mashindikanaa anatakiwa awe na sifa zipi?
2 Reactions
2 Replies
295 Views
NASISITIZA; BINTI USIZAE KABLA HAJAKUOA "EPUKA KUWA SINGLE MOTHER" Na, Robert Heriel Elewa kuwa jukumu la kubeba mimba Kwa mwanamke ambaye hajaolewa ni lake mwenyewe sio la mwanaume. Sisi...
17 Reactions
84 Replies
5K Views
Akina mama habari zenu? Naomba mniwie radhi kwa kuwauliza maswali fikirishi yanayohusu hali mnazoangalia ili mwanaume uweze kumsaidia kinywaji aweze kukata kiu yake. Maswali yangu hayamaanishi...
9 Reactions
299 Replies
19K Views
Baadhi yetu mtaichukulia hii posti kama ni ya ujinga flani hivi. Ila nadhani wachache watanielewa ninachomaanisha. Kila mtu anajua kuwa mke wa mtu / mume wa mtu ni sumu lakini katika mazingira...
24 Reactions
474 Replies
117K Views
Unamuuliza Mwanamke au Mpenzi wako kuwa unapoenda Kumbandua au anapokuja Kubanduliwa Kwako angependa 'Umuweke' Bao / Goli ngapi anakushangaa au anaanza kuona aibu. Wengine akina GENTAMYCINE...
9 Reactions
66 Replies
7K Views
Asalaam, Ndoa yangu ilikuwa nzuri saana kwasababu tulianza tukiwa vijana wadogo maskini, kutokana na hivyo tuli inspire vijana wengi na ndoa nyingi kusimamia. Tuka barikiwa watoto wazuri. Mungu...
155 Reactions
819 Replies
49K Views
Atakurahisishia mchakato wa mapenzi. Usifanye mambo yawe magumu ukishajua hilo. We utafanya mambo yawe magumu ukifanya makosa haya; Kuwa muoga, Kumuachia uongozi yeye, mfano kumuuliza “ivi si...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Kenge tena, Aisee Fanya ujinga wote taniana na Mwanaume mwenzio na kama unamdai ukimuona mjini mdai haswa ILA kama unataka kuona rangi yake nyingine jaribu kumuaibisha/ kumdhalilisha mbele ya...
9 Reactions
18 Replies
1K Views
Utafiti unaonyesha kuwa mitazamo ya vijana wa kizazi cha sasa cha milenia kuhusu uchumba na ngono ni tofauti na watangulizi wao. Watu waliozaliwa kati ya mwishoni mwa miaka ya 1990 na mwanzoni...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nilikutana na huyu dada 2019. Nikawa natumia. Wakati huo alitoka kufiwa na mme wake. Mme alikufa kwa ajali. Ana watoto 3 na mmoja alikuwa mdogo Sana wakati nakutana nae. Sasa kamekua kapo awali...
2 Reactions
18 Replies
798 Views
Back
Top Bottom