Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Sijui kwanini, ila katika pita pita zako unakutana na mtu ukamwelewa but ukawa huwa mawazo ya kukutana nae kimwili hivi karibuni. ila baada ya muda unaanza kuonekana hauna mapenzi ya kweli au...
10 Reactions
65 Replies
3K Views
Wakuu, Bila shaka mnamfahamu yule Mchepuko wangu fundi cherehani mwenye mtoto ambae kila Mara nmekua nikimsifia humu kwa heshima,adabu,utii na akili kubwa Sana ya maendeleo. Huyu mwanamke tangu...
16 Reactions
227 Replies
15K Views
Kuna singo mama mmoja nilikuwa nae serious kwenye mahusiano. Alisema baba wa mtoto alimtelekeza, nikatoa visent vyangu kutunza yeye na mtoto bila hiana, kiroho safi. Sasa leo nadhani alisahau...
41 Reactions
179 Replies
9K Views
Ewe mwanamke ambaye umeolewa na mume bahili wa mapenzi, mumeo hajali hisia zako, kila siku ni kutoelewana ndani ya nyumba kwa sababu ya tabia zake mbovu. Nafsi yako haina utulivu, unatumia nguvu...
2 Reactions
5 Replies
9K Views
Poleni na changamoto za kujikinga na corona,kwa kuzingatia maelekezo ya wataalamu wa afya tutashinda hili janga,na hili nalo litapita. Naomba nijielekeze kwenye mada, Nimekaa na hili moyoni kwa...
35 Reactions
257 Replies
24K Views
Habari wakuu! Mwanamke ni msaidizi wa maisha kwa mwanaume. Ukipata mwanamke bora mwenye sifa za kuwa mke Basi uwezekano wako wa kutoboa kwenye maisha ni mkubwa. Tupe experience alianza vipi...
4 Reactions
18 Replies
932 Views
Habari wadau wangu wa ukweeeeeeeeeeeeeeeeeeee Leo nimeleta kwenu MADA ambayo inahusu kujadiliana hivyo unachangia kile ukionacho wewe na sio kuponda wengine kuhusu Swali hili: JE ELIMU INA...
6 Reactions
174 Replies
13K Views
Huyu binti kalelewa na mama yake pekee yake. Baba yake yupo hajafa ila binti hajawahi kukutana ana kwa ana na baba yake wala katika upande wa baba yake hamjui ndugu yeyote. Je, kwa scenario kama...
8 Reactions
214 Replies
8K Views
A GIRL IS ONLY RELATIONSHIP MATERIAL IF SHE 1. Has never cheated before 2. Knows how to cook properly 3. Uphold traditional family Values 4. Supports your goals wholeheartedly 5. Learned to...
1 Reactions
29 Replies
1K Views
Kuna watu nawaona hawana akili au ni malimbukeni hivi unaanzaje mwanamke kumnyanyasa dada anaekuesaidia kazi hapo nyumbani kwako (housegirls) mtu ambaye anaingia nyumbani kwako kila sehemu, mtu...
9 Reactions
17 Replies
1K Views
Katika harakati za kutafuta mtu wa kuanza naye maisha naona ugumu sana nimchague nani kwan nina marafiki wa kila aina. moja, ninaye rafiki msomi sana a lawyer lakini simwelewi mwelewi kwan ni...
2 Reactions
17 Replies
902 Views
Kuna jirani yangu jana aliingia matatizoni na simu kuvunjwa vipande vipande, yaani sisi wanawake sijui tuna matatizo gani? Yaani unakuta mtu ana mimba halafu anafanya umalaya. Mumewe akiwa kazini...
10 Reactions
47 Replies
2K Views
Mimi ni kijana mdogo mwenye miaka 29, nimesoma diploma ya masuala ya afya, baada ya kuhitimu nilikaa sana kijijini bila ajira. Dada na mume wake wakaamua kuniita mjini nijaribu bahati yangu. Ila...
43 Reactions
206 Replies
8K Views
Habarini wana jamii nilikuwa nina swali hivi mnaweza je kuishi na mwanamke anaongea ovyo na kiburi
3 Reactions
53 Replies
2K Views
Hellow Africans Hivi inakuwaje mwanamke unamgeuza mwanaume kuwa kitega uchumi? Unakuta mwanamke anasema mimi mwanaume simuombi vocha wala nauli mimi namuomba hela kubwa kubwa yaani kidogo 200000...
12 Reactions
157 Replies
5K Views
Wanawake nawakaribisha mtoe neno moja kwa dume lililokutoa bikra, inawezekana bado uko naye au yuko mbali mshaachana naye. Kupitia uzi huu nimeona siyo busara kuwasahau hawa watu muhimu katika...
2 Reactions
168 Replies
15K Views
Anasema anajutia na anajilaumu kuachana na mimi ila kwasababu isha be openly to everybody let it be kwamba tusirudiane ila anaumia kuachana na mimi na anasema tusitafutane tusije tukarudiana...
10 Reactions
128 Replies
15K Views
Mambo vipi.. Ngoja niende moja kwa moja kwenye mada Katika pita pita zako unakutana na dem mkali tu kakuvutia. Unaanza kumtongoza ukiwa legend sana na kwa dem wiki tu ameshakubali. Haya Wiki...
50 Reactions
168 Replies
10K Views
Wakati nimefika ofisini nikakutana na bonge la joka limekaa mezani likanipa ishara niketi chini uku linikitizama. Nikaketi kitini nalo likatoka mezani na kuketi kwenye sofa huku linanipiga jicho...
15 Reactions
153 Replies
5K Views
Wanawake jifunzeni basi, hata kama mme wako nakushirikisha mara chache kwenye deals zangu za biashara usijiweke uhusika ambao sijakupa. Kuna mwanamke nimezaa nae na anakaa kwenye nyumba yangu huko...
42 Reactions
158 Replies
7K Views
Back
Top Bottom