Wale wazee wenzangu wanalio kwenye harakati ya Kutafuta mke sahihi njoo hapa tuongee.
Kuna kitu kimoja kupata mwanake ni rahisi sana wanawake wako wengi sana mtaani, makazini, njiani, barabarani...
Nilikua ndiyo nimeamka nikajiandaa kwenda kazini.. nimetoka upande wa nje ndiko ambako kuna mabanda na vitu mbali mbali ghafla niliona kitu kilichofanya tumbo livurugike...
Nikamuona paka, ila...
Mimi ni kijana mdogo wa miaka 19. Hivi karibuni nimekua nikipatwa na msukumo mkubwa wa kunywa pombe na kuvuta bangi. Kusema kweli najaribu sana kujizuia, lakini naona kama hizi jitihada zangu...
Mi ni mwanafunzi wa chuo, juzi tarehe 05 kulikua na birthday ya binti flani ni rafiki/mwanachuo mwenzangu aliweka kiparty flani cha magumashi, sehemu aliyopanga kulikua na chumba tupu basi kakawa...
Nafsi yangu inanituma kuoa baada ya kupitia maisha yenye karibu kila sura na nimempata binti mzuri wa sura na nafsi ambaye pamoja na ujinga na uchafu wangu amekua na mimi kwa takribani miaka...
That little space
Make your smile so golden,
Like perfect cleavage demonstrated
in shining mineral.
They its sign of fertility
Like a vale of happiness
When your face shows that flowery laughter.
Wakuu mmebarikiwa sana, ninyi ni wa juu.
Baba yangu aliwahi kuniambia mambo matatu kuhusu wanawake, na nikiwaendekeza katu sitafanikiwa na hakuna jambo taweza lifanya kama nisipokuwa makini...
Mahusiano yakifa, kila mmoja huwa anaelezea habari mbaya za aliyekuwa mpenzi wake, yale mazuri yote yalifutika mapenzi yalipoisha.
Jamaa analalamika jinsi gani ameweza kumpangishia nyumba mpenzi...
Ni kama story lakini ukweli ni kwamba nimetoka kuisamehe kuichakata Asubuhi hii hii kisa 2k (elfu mbili ya marejesho).
Ni kwamba kuna mdada mmoja hivi (anaelekea kwenye umama ila mashalah yuko...
Simulizi:UPENDO KATIKATI YA GIZA
Mtunzi:KJ07
SEHEMU YA KWANZA.
============================
Kuna wakati mwingine katika maisha ambapo upendo huzaliwa katikati ya machafuko na giza la kina. Ni...
Habari za muda huu wadau ningeomba niende moja kwa moja juu ya mada.
Jamani wadada mnapokuja asubuhi kununua vitafunwa labda maandazi, vitumbua bagia na kadhalika basi muwe mnava sidiria jamani...
Straight to the point.
Bro wangu alizinguana na mke wake, home kwake akueleweki kabisa, alafu kukununua anaogopa magonjwa, akawa anatafuta mchepuko, kahustle sana, akanishtua mdogo wake . Ni...
Kuna binamu yangu ambaye nimetokea kumpenda sana, mtoto wa shangazi yangu mama yake na baba yangu wana mama mmoja wa baba tofauti.
Uyo shangazi ana mtoto wake wakike nampenda sana mpaka inafika...
Kwenye suala la kufanya mapenzi katika ndoa au tendo la ndoa kwa mwanamke kuwa na vipaji au umri mzuri katika ndoa havina maana sana ukilinganisha na mental attitude uliyonayo kuhusiana na suala...
Ni rahisi kupata heshima kutokana na umri wako.
Lakini pale unapofungua mdomo tu utawaambia watu kila kitu kuhusu wewe. Waendelee kukuheshimu au wakushushe. Sababu unachoongea kinawakilisha...
Mwanamke aliyezalishwa huwa anachangamoto nyingi sana hasa pale bwana aliyemzalisha akiwa hai.
Tena ikitokea mtoto au watoto aliozalishwa bado wadogo hapo kazi unayo kweli kwali.
Ikitokea katoto...
Ndugu zangu wanaume, ukichelewa chelewa kumwaga mistari kwa mwanamke uliye mzimia kuna siku utaamka unakutana na status post "new mother in town."
[emoji28] Yaani anachukuliwa sentimeta chache...
Tuvijana twa siku hizi.... Tunapenda sana.
1. Kulelewa na mijimama
2. Kudanga
3. Kuwa Chawa
4. Kuwa NDO BASI TENA (MASHOGA)
Yaani hawataki kazi za wima, kazi sugu na kazi za kazi. Wanataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.