Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
I am a man. This is a story from a female friend called violette.So dont inbox me or advise me its not me Confession by violete Morning kindly keep me unknown, I want to share something that I...
5 Reactions
56 Replies
4K Views
kwanini mama anaweza kuwaeleza watoto matatizo ya baba, mfano "Baba yenu ana kimada fulani sehemu fulani," lakini kwa baba yaweza kuwa ni vigumu kuwaambia watoto kuwa chanzo cha ugomvi wetu na...
5 Reactions
13 Replies
875 Views
Ewe single lady kamwe usianguke kwa mwanaume aliyeoa. Ubembelezi wake wote huishia kukulaza kitandani na kukuingilia kimwili. Kisha anakuacha ukiwa mtupu, na kurudi kwa mkewe ambaye ndiye...
32 Reactions
211 Replies
7K Views
Kuna katabia ambacho wanaume tunacho, tukimpenda sana mwanamke hadi kujisemea akilini huyu akinikubali namwoa, tunaona noma kumwita gheto on first meeting, kwasababu tunahisi atakataa, na...
5 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu ndugu zangu, natumaini muwazima! Leo ningependa kushare na nyie hiki nilichokiona. Naimani kina ukweli ndani yake. Je unapokuwa kwenye mtoko, wewe hutoa tip kwa muhudumu kwa huduma...
5 Reactions
45 Replies
2K Views
Wakubwa zangu nawasalimu Sana, Nimepata namba za huyu Binti ambaye anafanya Moyo wangu uwake moto na kukukuruka naombeni msaada wenu nawezaje Anza mawasiliano na yeye ili na Mimi nifaidi mema ya...
12 Reactions
37 Replies
2K Views
Nilikuwa ninasoma kitabu hiki cha Mashairi ya Tupac. Nimekutana na shairi hili ambalo Tupac akimsifia mwanamke wake Jada. Hapa mwamba anasema Jada alimfanya 'avunje dafu' mara mbili, tena kwa...
1 Reactions
5 Replies
972 Views
Habari zenu bila shaka hamjambo em tupeane fikra hapa kidogo Je mwanaume kuomba samahani kwa mpenzi wako hua mwisho mara ngapi? Je suluhu pia isipofanya kazi kuachana ni uamuzi sahihi ...
2 Reactions
61 Replies
3K Views
Msaada wenu tafadhali. Amechambua jumbe zangu katika simu yangu, kila jumbe ya kike iliyokuwa tata kidogo kwake amelitafuta jina la namba hiyo na sasa amemtumia mama yake majina yote. Hili...
5 Reactions
42 Replies
3K Views
Hakika nawaambieni! Hakuna mtu awayeyote aliye wahi kufilisika Kwa kuzaa watoto wengi! Ndugu zangu nimezunguka pote Kwa matajiri na masikini nimegundua watoto hawafilisi Bali ujio Wa sayansi na...
32 Reactions
218 Replies
20K Views
Kwa aina hii ya ndoa za kisasa ambazo hazina vetting ya kutosha kupata mwenza bora ni turufu.. Yaani ni sawa na kubet kisha upatie Kwa kasi hii ya talaka.. Rejea ripoti ya RITA ni wazi ndoa hizi...
29 Reactions
139 Replies
5K Views
Natafuta mpenzi sifa yake hizi hapa Awe mkazi wa Arusha , Awe mwalimu wa mazoezi good day
6 Reactions
28 Replies
1K Views
Wanawake acheni kutuuliza wanaume kama ameoa ama bado wewe mtazame tu kwa muonekano wake utajua,wengi wana sifa hizi! 1:Wanaume walioa ndio wanaongoza kwa kuvaa nguo zilizopauka hii inatokana na...
42 Reactions
148 Replies
9K Views
Wakuu. Kwa wale ambao tumesoma hadi ngazi za vyuo (diploma, certificate, Degree n.k), kwa namna moja au nyingine, baadhi tulipata kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi. Mimi nilipoanza first...
23 Reactions
274 Replies
56K Views
Bwana leo nikasema nmkumbuke ex Wang maana toto ni nzuri a.k.a la kwenda, basi nikachati nalo uko Facebook kwasabab namba yake nimefuta (namuheshimu ninae ishi nae,sijaoa), kweli bwana nafungua tu...
9 Reactions
141 Replies
6K Views
Wanajukwaa, Njooni tusaidiane mawazo kidogo.. I feel lost…seriously. Nasumbuliwa na upweke yaani Hali ya kujisikia kuwa na mtu ambaye atakuwa ni mwelewa niwe huru kufunguka kwake na yeye awe...
1 Reactions
27 Replies
1K Views
Unakutana na mkaka handsome anavutia, anakutafuta kwa muda kisha anakutongoza . Unapomuuliza kama ameoa anakwambia bado, ukimuuliza kweli kwa umri huu huna mke , anakujibu ndoa imevunjika, au...
11 Reactions
46 Replies
2K Views
Bila kuchoshana huwa napenda, Utani, masihara na kupima uelewa wa watu kwa undani zaidi. JF Haina freedom of speech tunaongopeana tu...Maana nilipost Uzi hapa unaitwa KIVURUGE, hauna luga' isyo na...
2 Reactions
9 Replies
358 Views
Wakuu hivi hizi tabia za kiburi, jeuri kununa, ubishi wa hawa wanawake wanatoa wapi? Licha ya kuomba, hekima natumia lakini bado, saiv nishatimua kitambo lakini nimekausha namvutia subira. Au mi...
10 Reactions
59 Replies
3K Views
Moja kwa moja kwenye mada, ni jambo la kuzungumza tu pasi mihemko maana yaweza mkuta Mwamba mwenzetu yoyote siku moja kwetu sisi WANAUME. ktk eneo la makazi tunapoishi tunashuhudia...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
Back
Top Bottom