Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Nimerudi baada ya changamoto za kimalezi. Tutakuwa pamoja sasa. Wanawake wa miaka ya 70 ni tofauti na mabinti wa sasa wa 98, 99 na kuendelea. Wa miaka hiyo walikuwa waoga, unapiga kofi analia...
10 Reactions
28 Replies
2K Views
Muwe mnawataarifu wake zenu mkiwa mnarudi kutoka safari inasaidia kuokoa ndoa .
4 Reactions
31 Replies
2K Views
Huko hali ni shwari? Kwa tuliooa nimewiwa leo hii tarehe 31 ya mwezi wa 3 mwaka 2023 kuyaongea haya. Kuna wanaume wenzetu wengi ambao mimi nawaita ni wadogo zangu kabisa kama siyo wanangu. Hawa...
6 Reactions
37 Replies
2K Views
Ni sikitiko kubwa katika Jamii kuona mwanamke naye ameshupaza shingo anajidai anashindana na wanaume. Kibaya zaidi ni kwamba ushindani huu wanaupeleka Hadi kwenye mahusiano ya ndoa. Mwanamke...
9 Reactions
9 Replies
837 Views
Naenda kwenye maada,, stak kupoteza mda wakuu,, Naumia sana tena inauma Nimehudumia mimba mpaka kujifungua mbaya zaidi mtoto akafikia mwaka na miezi sita ndipo nikabaini mtoto sio wakwangu iko...
49 Reactions
349 Replies
23K Views
Kwenye jamii zetu inaaminika kuwa binadamu mwenye jinsia ya kike ni dhaifu sana. Wengi wanaamini hivi kutokana na maamuzi yao mengi wanayofanyaga, kuna muda yanaonekanika si yenye sababu hata...
1 Reactions
4 Replies
944 Views
Habari wadau, Leo nimeona nilizungumze hili , kwenu. Mimi ni baba mwemye mtoto mmoja. Japo sijaoa...kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu, kwa maana hata huyo mzazi mwenzangu tayari...
6 Reactions
53 Replies
2K Views
Mwanaume ukisha tafuta hela ukazipata fanya hivi sikupangii ila nakupa muongozo tu kama utaona unakufaa. 1. Mshukuru Mwenyezi Mungu kwa kumtolea ibada ya shukrani na kuomba ulinzi wa Mali zako na...
32 Reactions
36 Replies
2K Views
Inawezekana Nina pasaka chache na eid chache humu JF lakini kwa uchunguzi wangu mke bora hayupo JF, wanawake wengi wapo JF kwa ajili ya stress zao za mahusiano au ndoa. Embu niambie Kuna member...
32 Reactions
415 Replies
11K Views
Nina mpenzi wangu nilikua nampenda sana na kumpatia vitu vidogo vidogo pale apatapo shida. So nimekua nae kwenye Mahusiano ndani ya miezi 6 sasa, ila tatizo lake mi na yeye tunashindwana, hataki...
0 Reactions
36 Replies
10K Views
Kijuana kwangu na Halima kulikuwa kwa bahati sana. Awali sikuwa na mawazo kabisa ya kwamba nitakuja kukutana na kusuhubiana na msichana mrembo kama yeye. Siku moja ambayo ninaikumbuka hadi leo...
5 Reactions
39 Replies
11K Views
Kenya ni jamii ngumu sana kwenda nayo sawia..wana matusi, ubabe kisela mavi, kejeli na ujuaji. Soon baada ya kuingia kwenye forum yao tuliyakoga sana matusi..kama vile.. meffi wewe, chieth, ngombe...
10 Reactions
212 Replies
16K Views
... Moderator, Please Delete .... Moderator
17 Reactions
155 Replies
7K Views
Habari ndio hiyo, mwanamke ni pambo na chombo Cha starehe. Wewe mwanaume ni katapila la mwanamke. --- "Baada ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) kutoa tamko imeonekana Uislamu ni dini...
11 Reactions
64 Replies
3K Views
Wasalaam wana JF, Hakika kuchepuka ni kukosa maadili, ni kinyume na mpango wa Mungu. Mtu anapaswa kukaa njia kuu, kukaa na familia moja kama mkristu na zisizozidi nne kama Muislam. Lakini, kuna...
15 Reactions
166 Replies
6K Views
Habarini za asubuhi, poleni kwa majukumu ya siku wale tuliotoka makazini nyakati hizi, na hongereni mnaoendelea na majukumu pia Mimi si muandishi mzuri ila ngoja nilete kisa kilichonikuta siku...
6 Reactions
21 Replies
1K Views
Ni tatizo kwa mwanamke au msichana kufanya maamuzi ya kukubali kuolewa kwa shangwe lakini akiwa ndani ya ndoa yake anakuwa hayuko radhi kubeba mimba ya mwanaume. Tutajifunza kuwa muelekeo wa...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Mada hii inahusu majadiliano kuhusu mahusiano na jinsi ya kujifunza kutoka kwa wengine. Tunaweza kuzungumzia mambo kama vile jinsi ya kuwasiliana na mpenzi wako, jinsi ya kutatua migogoro na jinsi...
1 Reactions
2 Replies
770 Views
Salaam., Juzi nilikuwa kwenye kijiwe cha kahawa, na wadau kadhaa tukipeana stori mbili tatu huku mzee Toboa tobo na kijana Razack machuma wakionyeshana ubabe kwenye bao.Dakika kadhaa za mchezo...
0 Reactions
82 Replies
26K Views
Waaslam wakuu! Nguvu za kiume miongoni mwa wanaume wengi zimekuwa donda sugu na kadri siku zinavyoendelea kusonga ndivyo nguvu zenyewe zinaendelea kupungua Tena kwa Kasi ya 5G. Wanawake wengi...
3 Reactions
63 Replies
3K Views
Back
Top Bottom