Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Mwanamke mwenye sifa za kuolewa huwa ana kiasi ktk kila kitu ikiwemo kujipodoa. Wanaume wakimuona mwanamke kajipodoa sana waanakwepa kumuoa ili kuepuka mzigo wa gharama za kununua vipodozi...
20 Reactions
80 Replies
3K Views
Hellow habari, nisiwachoshe direct niendee kwenye point . Nilikuwa na my girlfriend tukawa na mahusiano tumpatie jina prisca ambayo nilidumu nae almost 3 years kwenye relationship ukweli...
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Patrick Oita Nyapara, ambaye ni police nchini Kenya alimuua mpenzi wake kwa kumtandika Risasi 7 baada ya binti huyo kumkataa, pindi alipomaliza masomo Chuo Kikuu. Kwa maelezo ya Patrick ni kwamba...
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Ndoa ikiwa hasa haina uzuri inakuwa chanzo cha umaskini tena kwa Hatua kubwa kabisa na ndio maana uzunguni mwanamme hakubali kuoa hivihivi sababu anajua ndoa ni kitu kibaya cha kuharibu maisha...
2 Reactions
4 Replies
515 Views
Tupo katika kipindi cha toba kwa dini zote, Islamic na Christian tupo katika Ramadan na Kwa Resma, ni matumaini yangu mnashirki vyema na Mungu awabariki. Kwa hakika mahusiano hayajawahi kuwa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Salaam wapendwa. Niende direct kwenye hili suala linalonitatiza, mimi nimeolewa na huyu mumewangu tukiwa hatujuani sana kiundani wa tabia, yani hatujapitia Courtship before marriage. Kwasasa...
29 Reactions
395 Replies
19K Views
Ni jambo la kumshukuru Mungu wote tupo hai mpaka sasa, ndio maana tumewasha data kusoma uzi huu. R.I.P kwa wale waliokosa haya madini. Aluta continuaa Wakuu. Binadamu tumetofautiana kwenye...
13 Reactions
36 Replies
3K Views
Habarini wakuu, Wiki hii nimeoa single mom, mtoto wake ana miaka 2 tangu azae jamaa alikimbia na hajulikani alipo hadi sasa hakutoa hata mia kwenye malezi ya mtoto, alisaidiwa kulea mtoto na mama...
27 Reactions
382 Replies
19K Views
Ili kujenga mahusiano mazuri kwanza hakikisha wewe ni mwaminifu. Ukitaka kuwa na mahusiano mazuri hakikisha uliyenaye ni mwaminifu. Kwetu wanaume kitu cha kwanza muhimu ni mwanamke mwaminifu...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari zenu? Poleni na majukumu ya kila siku, swali langu ni kwamba je ni sahihi mwanaume kutokuacha hela ya matumizi nyumbani? Binafsi nina miezi miwili toka nifungue biashara ya mgahawa hata...
9 Reactions
69 Replies
4K Views
Sio kila kitu anachokitaka au anachokuomba mwanamke ni lazima umpatie hata ķama kipo ndani ya uwezo wako sometimes mwambie sina. Lakini ikitokea kila anachokitaka mwanamke wako unampatia hata kama...
2 Reactions
11 Replies
690 Views
"Baada ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) kutoa tamko imeonekana Uislamu ni dini ambayo haiangalii maisha ya wanawake, haiwajali wanawake lakini ukweli ni kuwa Uislamu umemthamini sana...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu nimeamini tunapendwa sana na mademu sisi wahuni, wanaume ambao hatufagilii pigo za kuendeshwa na mademu tunapendwa mno. Life style yangu la kihuni limenipatia mademu kibao, Mimi uwa...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Reality: hitaji lako ni kuwa ktk ndoa/mahusiano na mtu mwenye sifa kadha wa kadha Hisia: ktk harakati za kumtafuta, hisia zinadondokea kwa asie hata na 40% za uhalisia wa hitaji lako. Reality...
0 Reactions
2 Replies
334 Views
Kwa wale mlioishi Handeni ama mmeoa wazigua naombeni sifa za hawa watu, tamduni zao, changamoto zao tafadhali.
4 Reactions
58 Replies
6K Views
Wanaume, Sikilizeni alichozungumza. Ukipata Mwanamke wa aina hii, na ukajifanya wewe ni wa pekee au mteule, ukabeba jukumu la kusema utambadilisha, basi tambua kuanzia hio siku utakuwa...
1 Reactions
3 Replies
515 Views
Habari wadau, ebana niende kwenye mada, Niliingia mahusiano na dada mmoja nikijua ana mtu wake na mahusiano yangu na yeye yalitokea tu bila kumtaka, yaani katika kuzoeana basi siku moja...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
My wangu anaitwa mama b, kwao pare nyamongo taariiime. Mara ya kwanza kumpa kibano nirimnasa makofi mawiri, ghafra akanivaa akanikaba na kuninasa mitama na mijeki nusura kumwaga meno ya sebuleni...
0 Reactions
1 Replies
331 Views
Binafsi niliona ipo shida pale mke na mme wanaoishi pamoja kutofautiana Imani za kidini lakini kadri umri unavyosonga nahisi inawezekana! Kweli MAISHA HAYANA FORMULA.
0 Reactions
2 Replies
327 Views
Jamaa yangu amenieleza jambo nimeshindwa kumjibu chochote nisije nikakosea kumshauri akanilaumu hapo baadae. Iko hivi, huyu bwana ana mahusiano na msichana wake takribani miezi sita sasa. Anasema...
5 Reactions
69 Replies
4K Views
Back
Top Bottom