Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Usione haya anayofanya huyu mama, na wewe mwanamke ukataka uyalete kwenye ndoa yako. Utaangukia pua. Ni wanaume wachache sana wanaweza kuvumilia huu upumbavu. Wanawake kuweni makini na hayo...
2 Reactions
25 Replies
851 Views
Habari za wakati huu ndugu zangu.. Hivi hawa dada zetu watuambie hapa wanapata wapi ujasiri wa kuwakataa wanaume wanao wahitaji kwa lengo la kuwaoa ili hali wanafahamu wazi kabisa waoaji ni...
2 Reactions
2 Replies
548 Views
Mnamo mwanzoni mwa miaka ya 1900 huko Urusi kulikuwapo na jamaa mmoja aliyeaminika kuwa na nguvu za miujiza katika kuponya wagonjwa. Lakini vilevile alionekana kuwa ni mtu mwenye uwezo wa...
6 Reactions
42 Replies
7K Views
Wakuu, Hapa ninavyoandika ni kuwa harusi inanguruma kanisani na ni karibu na maeneo ya shoga yangu kipenzi. Alinipigia simu nikambembeleze maana mwanaume aliyekuwa naye alimuacha kwa kuwa...
20 Reactions
200 Replies
16K Views
Unaweza kuwa kwenye mahusiano lakini si vile unavyotaka. Unaweza ukawa unanyimwa unyumba. Au mwanamke anakuendesha. Au unasalitiwa mara kwa mara. Au mwanamke king’ang’anizi wa vitu. Au mwanamke...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanawake wenye tabia hii, laana ni ya kwenu taka msitake itawatafuna.... Hakuna kitu kinamkera mwanaume akili kama anakununulia vocha na ana hakikisha bundle unalo dk zipo za kutosha tena ana...
8 Reactions
35 Replies
2K Views
Mtoto akikosea jambo ukampiga akalia sana kisha baada ya dakika chache unambembeleza anasahau maumivu ya kipigo anaanza kucheka na kukumbatia, kama ukimuita akakataa kuja ukimdanganya aje achukue...
9 Reactions
21 Replies
1K Views
Naenda Moshi kwetu kwa ajili ya kufunga ndoa baada ya karibia miezi 3 toka niachane na mke wangu ambaye tumeishi miaka kadhaa na tumebahatika kuwa na watoto pia Nilileta huu uzi humu...
15 Reactions
63 Replies
6K Views
Baada ya kuniletea zawadi ya vifaa vya michezo,jezi, training shoes nk. Kwenye maongezi akafunguka kuwa performance yangu imeshuka, eti nachoka mapema nianze mazoezi. Na kila siku atakuwa...
6 Reactions
28 Replies
2K Views
Wanabodi, Mke anauma jamani. Mwaka jana mwishoni pasipo na shaka yeyote nilijua Mke wangu anagongwa na fala flani hivi (Hapa sina hakika kama fala ni jamaa au Mimi niliyegongewa) Nilimmind sana...
103 Reactions
2K Replies
145K Views
Nazungumzia wale ambao tunapiga kabao ketu ndani ya dakika 2-3 na baada ya hapo huo usingizi unaokuja si wa nchi hii....unalala saa mbili na dakika tatu usiku (baada ya kupiga kabao kako) na, kama...
38 Reactions
623 Replies
31K Views
Habari wakuu, Kuna mlimbwende mmoja humu amenivutia sana, nataka msimu ujao wa mavuno, niweze kutangaza ndoa kabisa. Huyu mrembo ameiteka sana akili yangu, mpaka uwezo wa kufikiri umepungua...
9 Reactions
298 Replies
8K Views
Habari wadau, dear ex baada ya kuniacha kwa kelele nyingi siku za hv karibuni amerud, anahitaji turudiane sijamjibu moja mojaa nimemwambiaa asubir kwanza, ntamjibu wadau hv kumsamehee dear ex sio...
2 Reactions
9 Replies
740 Views
Habari za muda huu wakuu? Ninaimani mnaendelea poa, lakini poleni kwa wale mnaokabiliwa na changamoto kadhaa ikiwemo 'Kiafya' na nina imani mtarejea katika utimamu. Wakuu, katika kuhakikisha...
29 Reactions
77 Replies
4K Views
Hivi kuna Mwanamume mwenye akili timamu yaani kichwa cha Familia ana mke wa aina hii? Ok mtakumbuka wiki kadhaa nilieleza mambo yanayochangia ndoa nyingi kuvunjika... Mfano halisi ni aina ya...
6 Reactions
27 Replies
1K Views
Kwema wadau? Kariakoo pamefurika leo, watoto ukizingatia hawajaenda shule kutokana na mapumziko ya siku ya leo... Tunasherekea valentine tupo hapa kariakoo. Pamechafuka fujo na kelele kama zote...
2 Reactions
13 Replies
584 Views
Hivi kwa nini mwanamke wengi huwa hawawezi kuomba penzi. Yaani hawawezi kusema leo nataka unifanye?! Jambo hili liliwahi kunigharimu ndugu yenu miaka hiyo nikiwa mshamba-mshamba kwenye tasnia...
7 Reactions
7 Replies
771 Views
Nikikuona dada mrembo umevaa nguo yenye maandishi ya kunishawishi au kusisimua, nitachukulia yale maandishi ndicho wewe unacho maanisha. Kwa hiyo mimi nikitekeleza kwa kufuata yale maandishi...
0 Reactions
4 Replies
755 Views
Habari za humu! Naukubali sana utaratibu wa wenzetu wa dini tofauti. Kwao unaweza kuoa na kuingiza mke kwa 200k au hata 100k. Niliwahi kuwa mshenga, kuna dogo alitoa 50k akachukua mke mapema...
13 Reactions
184 Replies
8K Views
Back
Top Bottom