Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
NILIMSABABISHIA MATESO MKE WANGU Mkurugenzi mkuu wa "Merumba Group"alikuwa ofisini kwake akimsimulia binamu yake Richard mkasa uliomkuta miaka miwili iliyopita. "Kuna mdada mrembo sana alikuja...
14 Reactions
340 Replies
187K Views
Mpenzi wangu ni mwalimu wa shule ya msingi, alikuwa kabla hajarudi nyumbani anapitia lodge na mwalimu mwenzie ndipo anarudi nyumbani. Sasa kuna siku nilipewa taarifa na mwalimu mwenzake kuwa...
5 Reactions
349 Replies
67K Views
Jamani kwema? Nilitoka kidogo nikaacha hela mezani,nikamsisitiza aongezee kiasi fulani kutoka kwenye vikoba vyao ili tupate mchele robo tule wali na chai asubuhi hii. Akaitikia sawa, narudi...
2 Reactions
16 Replies
900 Views
By Dr Levy Kitaa ndoa nyingi zina migogoro kwa ‘ishu’ za kukurupuka. Kufanya papara bila kufahamiana vizuri. Kuna vitu vya msingi watu tunapaswa kufanya lakini tunavipuuza. Ujuaji mwingi na...
1 Reactions
7 Replies
702 Views
Maisha yanaenda kasi saana Kuna dada fulani mtaani kwetu bado ni mgeni. Huyo dada na muonanaga anapita maeneo ya home kila siku asubuhi na jioni. Anatusalimia na kupita zake Jana akapita baada...
6 Reactions
25 Replies
1K Views
Waliona walivyokuwa wakipendana Wakawakubalia kuwa pamoja mwishoni Wakafunga ndoa kubwa Ilikuwa nderemo na vifijo, vibwebwe na vigoma Wakapata watoto Na wakaishi kwa furaha maisha yao yote...
17 Reactions
66 Replies
8K Views
Habari za wakati huu ndugu zangu Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30+ , sijaoa na wala sina mpenzi wakudumu yaani mwanamke wakuoa bado sijapata.. Nimekua nikikutana na hali ya huzuni sana na...
6 Reactions
37 Replies
3K Views
Hatari sana wakuu, Ni hivi nilikuwa nina mpango wa kupata pesa fulani na wife alikuwa anajua hilo. Nilipata ile pesa ila kwa kuhafilika sikupata nafasi mzuri ya kumuambia wife. Basi tangia jana...
24 Reactions
102 Replies
5K Views
Habari! Ni matumaini yangu mu wazima wa afya, kama kuna wagonjwa poleni sana; nawaombea mpate afya haraka kwa uwezo wa Mola! Sasa, leo naomba tuzungumze kidogo kuhusu tabia za baadhi ya wanaume...
5 Reactions
52 Replies
2K Views
Wakuu nadhani mko poa Katika maisha ya mahusiano, kuna wakati mnatofautiana au zinatokea changamoto mpk kupelekea kuachana au kutengana. Kumrudia mpenzi wangu wa zamani(my ex) Huu haukuwa mpango...
3 Reactions
151 Replies
11K Views
Habari zenu Wana Jf Tumekuwa tuna ugomvi Mara kadhaa na wife me sio muongeaji Sana..nikionaga ugomvi ni mkubwa nakaa kimya au naondoka lkn Kama mmegombana usiku ujue uwezi kulala ataongea na...
8 Reactions
58 Replies
2K Views
Hawa wadudu wanatuendesha kila kukicha. Umewahi kukutana na kauli za kukera, kuvunja moyo ama kuujaza moyo hasira, kukatisha tamaa kutoka kwa mwanamke? Baadhi ya kauli ambazo zinanikera ni ile...
6 Reactions
38 Replies
2K Views
Habari? Kama uzi unavyo jieleza hapo juu uliwezaje kukwepa fedhaha ya kumtongoza ndugu wa mkeo bila kujua? Leo mimi yamenikuta mwenzenu, nimemtongoza ndugu wa mke wangu bila kujua. Leo niko zangu...
9 Reactions
46 Replies
8K Views
Iko hivi wanawake ambao wapo single age 30 and above na waogopa sana, maana Kuna muda Kuna muda najiuliza itakuaje pisi Kali kama hii afu ipo single. Sasa unapokuja kuanzisha nae mahusiano ndo...
1 Reactions
3 Replies
618 Views
Habari za J Pili hii, kama nilivyotamka kwenye uzi wangu hapo awali, ya kuwa hawa wanaume wenzetu wanaojifanya wao ndiyo wao, hawashauriki wala hawasikii ya kuambiwa, hasa wakishauriwa kuenenda...
15 Reactions
90 Replies
4K Views
Kamanda Kikosi cha Usalama Barabarani cha Shirikisho (FRSC), huko Cross River, Maikano Hassan, amesema mwanamke huyo wa makamo alipata ajali hiyo na kupoteza maisha huko Calabar siku ya Jumapili...
2 Reactions
35 Replies
4K Views
Kutokana na kampeni hasi dhidi ya taasisi ya familia, kuna umuhimu wa wenye experience chanya wajitokeze kuitetea taasisi hii muhimu. Naomba wenge uzoefu watusaidie kutufundisha ili tuiokoe...
1 Reactions
16 Replies
789 Views
0 Reactions
1 Replies
380 Views
1Kuna siku nilikwenda club na washkaji zangu nikakutana na ex wa brother wangu. Nikamsalimia akaniomba nimnunulie bia nikamletea huyo nikaondoka nikajichanganya zangu bado kama nusu Saa club...
8 Reactions
46 Replies
16K Views
Kila nikiangalia video youtube nakutana na wanaume wafupi tu, instagram kila mwanaume anae post picha ni mfupi. Hivi tanzania hakuna wanaume warefu? Kwani mnakula nini mpaka hamrefuki? Raha ya...
14 Reactions
181 Replies
23K Views
Back
Top Bottom