Waliosema mwalimu wao wanawake ni kipofu Hakukosea kabisa.
Ni ajabu mtu(mwanamke) kumkuta Instagram yupo LIVE yupo kama alivyozaliwa anajishika shika na watu ( Wanaume ) wapo busy wanamwangalia na...
Wakuu kwa kweli imefika mahali sasa nashawishika kujibu hovyo...
Kwa jina anitwa X, ni kabila la watu wa pwani, na kama mnavyojua kwenye mapenzi kwa hawa watu unaweza kuhonga hata nyumba. Mimi...
Habari zenu wanajamvi wenzangu.
Kwa mara ya kwanza naleta kisa hiki cha rafiki yangu wa karibu. Kwanza mtanisamehe kwa uandishi wangu, mimi sio mzuri wa kuandika kwa mpangilio!
Shoga yangu huyu...
Mwanaume mmoja aitwae Katayo Bote Mkazi wa Kijiji cha Kibwera Wilayani Geita Mkoani Geita, amechapwa viboko hadharani pamoja na kulipishwa faini ya shilingi laki mbili baada ya kufumaniwa na Mke...
Wakuu habarini za time hii?
I hope mko gud.
Hivi wanawake wenye ndevu wako romantic kweli kwenye relationship. Emu wenye experience na pisi zenye mindevu waseme.
Mimi binafsi sina experience...
Jaribu kua na ela alafu usiwe na amani na ukose ule upendo WA dhati ndo itakua hata ukiwa na pesa kias Cha kua afford hizi basic needs za kibinadam zote na luxury pia..Bado Kuna namna ya kukosa...
Short and clear, najihisi na shida wakuu. Kila binti ninaemu-approach anakata, anasema aniona mimi kama kaka pia kama mtu hatari sasa sijui shida ni ipi?
Pia nakumbuka kipindi nipo advance ( form...
Naishi naye huu mwaka wa 3 bila ya ndoa.
Hadithi yake ya nyuma ipo hivi
" Alioelewa akiwa na miaka 17 baada ya kupewa ujauzito na uyo jamaa na wakaishi wote miaka 8 kwenye ndoa na kuzaa watoto...
Amani ya Moyo Wa Mwanamke ni Kitu cha Thamani Mno Katika Maisha ya Mwili wake na Akili yake na Pia, ni Kitu Pekee na Zawadi ya Hali ya Juu inayompa Faraja na Kumdhihirishia Ishara Ya Upendo...
Habari za wanga! Muda ni 1:00 usiku wa manane, mbalamwezi na nyota zinaonekana vizuri kabisa. Nimeamua kuzima kabisa main switch, ili kuwe na giza totoro.
Nimechukua mahitaji yangu ambayo...
Wimbo Ulio Bora 1:2
Kubusu na anibusu kwa kinywa chake,
Maana pambaja zako zapita divai.
[emoji117]1.Busu Denda pande za lips :
Polepole lakini kwa upole tembeza ncha ya ulimi wako kwenye midomo...
I hope hamjambo ndugu zangu wote wana JF.
Naomba kutanguliza samahani kwa yoyote nitakae mkwanza juu ya hili naomba ushauri wenu nifanye nn? Mnivumilie sio mwandishi mzuri sana. Katika mishe...
Nasema na wanaume kwa sababu nimesikitika kuona wanaume wakiwa wanarudia makosa yaleyale mara pale mahusiano au ndoa zao zinapovunjika na kujikuta wanapoteza muelekeo wa Maisha yao. Listen;
1...
Habarini za Weekend wana-jumuiya.
Wanaume tunapitia mengi sana.
Mwaka 2017 nilipatwa na tukio ambalo sitokuja kulisahau ingawa nilishasamehe na maisha yakaendelea. Nakumbuka juzi nilileta uzi...
Siwezi kukubali bora nimuharibie asiolewe tukose wote!
Ipo hivi wakuu, hapa nipo na machungu sana moyoni, kuna binti kipindi nipo chuo mwaka wa kwanza 2015 nilimpenda tukawa kwenye mahusiano, of...
Miaka kadhaa nyuma when i introduced my wife to my father, I desperately hoped he’d get on. Mshua akanitoa pembeni akaniuliza are you sure she’s faithful to you?
My father simply couldn’t accept...
Hakuna kitu nafurahia kama kupishana na mwanamke akiwa na mtoto wake wote wakiwa nadhifu na wamependeza unaona kuna combination na bond nzuri kati ya mama na mtoto.
Kazi ipo hapa unakutana na...
Nikiwaambiaga watu ya kwamba Afrika tamaduni zetu na dini zetu za asili ni bora kuliko hizi dini zilizoletwa kwa ajili ya biashara ambazo ni ukristu na uislamu huwa wanabisha.
Hebu tazama maasai...
Ramadhan Kareem!
Dada zangu, wadogo zangu wakike, pamoja na kina Mama, elimu hii ni muhimu Sana.
Dunia ya sasa imefikia pagumu Sana, hasa kwenye kipengele cha ndoa.
Kuweni karibu na binti zenu...
Ndoa ni kiungo muhimu zaidi chenye raha na starehe kubwa wahusika wanapochunga mipaka na kutunzana vilivyo. Kwa upande mwingine, huweza kuwa chanzo na masikitiko makubwa maishani iwapo hutatumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.