Dah wakuu hizi papuchi zinatesa sana.
Niliwahi kutana na demu wa Singida aisee ,mtoto mkali anavutia sana kwa nje lakini kufika kunako 6×6 kila nikiweka sikojoi. Mara saa moja inakatika bado...
Habari za wakati huu ni nzuri..
Habari njema ni kwamba Arusha tunakopesha mvua kwa riba nafuu
Turejee kwenye mada..wakati wakumla mwanamke au demu tumekua tukiwaweka style mbali mbali ili...
Habari za muda huuu,
Naonbeni msaada na ushauri ,
Nawapenda sana watoto na natamani niwenae lakini sina kizazi cha kebebea mimba so please nisaidieni niko tayari kuadopt, kuolewa na single...
Hivi unaona ugumu kuhonga pesa uweke heshima na kutimiza wajibu wakimaandiko, na instead you become a stinginess like other bullies?
Unaficha pesa zako for the benefits of whom? You get sexy...
Nawasalimia hamjambo?
Nina zaidi ya 30 yrs ila baadhi ya viaibu vya ujanani bado nipo navyo. Nina mpenzi wa muda mrefu ila naona aibu sana akifua nguo zangu za ndani yaani boxers na vests...
Nilikutana na rafiki yangu Frank jijini Dar baada ya kua tumepoteana tangia tulipomaliza sekondari O Level na kila mmoja wetu akapangiwa mkoa tofauti kwa masomo ya A Level. Sasa hivi yeye ni...
Yaani leo hii ni kawaida mno kukuta kijana kaifadhi nyimbo za kudhalilisha utu wa mwanamke kwenye memory card yake.
Jamani mbona wanawake hawatudhalilishi sisi? Ni wanaume ndiyo hufanya violence...
Mambo vipi wana MMU
Niende moja kwa moja kwenye mada, binafsi nimefunga ndoa ya kikristo na enzi kabla sijaoa sikuwahi kuwa Playboy kivile so nika date na huyu bidada ambaye tabia zake...
Rasmi wanajamvi nimekabidhiana Talaka na Mke wangu Hahahaha na furaha ya ajabu Vijana Msioe Ndoa ni us***ge.
Atakayetaka kujumuika nami kwenye furaha yangu Karinyos Kinondoni tule Gambe
Habari Za Saa wanajukwaa.
Poleni na Majukumu ya kila siku katika Ujenzi wa Taifa na Ustawi wa Maisha.
Ninashukuru kwa Michango na Mawazo mbali mbali ambayo tumekua tukipeana na Kushrikishana...
Habari zenu wakuu
Vijana wengi na wazee tumekumbwa na hali ya kujchua iwe kwa mwanamke au mwanaume,kila mtu ana mkasa wake ilkuaje akaanza kujchua
Huu mkasa wangu.
Mwaka 2022 Januari ktk...
Heloo!
Wapendwa leo naomba niongelee usafi wa towel hasa za wanaume maana nina imani kuwa wanaume wote wanatumia towel baada ya kuoga na wanawake wengi ingawa si wote tunatumia kanga/kitenge...
Wana jamii salaam:
Nianze kusema kuwa alichounganisha mungu hakuna wa kukitenganisha.
lakini pia kama ndoa ipo, ipo tu hata kama kutatokea vikwazo gani itafungwa tu.
Leo nimeona niwahusishe...
Leo nimeamua kujiripua aseee!Ni hivi sijawahi kuona bikira wala kusikia maumivu yake.
Tiririka nami.
Mimi ni msichana mzuri tu niliyelelewa kwenye maadili, sio maadili tu nadhani pia ni aina ya...
Habari ya wakati huu wapenndwa natumaini mko poa sana na mnaendele vyema na majukumu yenu ya kila siku.
Nimekuwa mraibu wa madada wanaojiuza kwa takribani miaka 7 ila namshukuru Mungu kwa sasa...
Habari.
Samanini kwa kuwasumbu tena, ndoa yagu inamigogolo kwa wiki mbili sasa mke wagu mdogo amekuwa akinipa tendo la Ndoa kwa masimango.
Nawomba niseme ukweli tu kwani naamini kuna wakubwa...
Ukiwa na elimu na pesa, mwanaume atakushinda nini?
Tabia ya utegemezi imetufanya tuwe watumwa, tudhalilishwe na kudharauliwa.
Ukiwa na elimu yako na pesa zako unatanua wigo wa uhuru wako...
Watumai hamjambo wanajamvi
Wakuu mara moja moja hua napania game hasa za away hivo hujikuta nafanya maandalizi ya show ya kibabe kwa kufanya yafuatayo:
1. Natafuna karanga robo/mbegu za maboga...
Mara nyingi siku za weekend nilikiwa napenda kushinda home tu hadi mara nyingine nikawa nazodolewa na wazazi pia mashkaji kuwa nichangamke nakumbuka siku moja ilikuwa ijumaa nilikuwa na girlfriend...
Huyu binti niliwahi kuanzisha nae mahusiano dakika za mwisho mwisho wakati nakaribia kufanya mtihani wa kumaliza mwaka wa tatu chuoni (UE)
Wakati naingia nae kwenye mahusiano yeye alikua anasoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.