Acha kuhamasisha mila za Kizungu za Uzinifu/ mahusiano ( girlfriend na boyfriend) kwa kuwa zinamdhalilisha mwanamke. Na kupitia huo Uzinifu ndipo Wazungu wakaja na mawazo ya kuwa mwanamke...
Za asubuhi ndugu!
Vijana wa kiume, aged 18-45, tafadhali naomba msikie maneno haya. Nimekuwa interested kuandika kwa kuona kwa macho manyanyaso mengi wanayopitia wadogo zetu na ma broo mtaani, na...
Imepita miaka mingi kidogo, kipindi hicho nikiwa bado kijana machachari wa totoz; ila kwa uzee wangu huu wa miaka 77 inabaki kuwa tu stori.
Nilikuwa nasafiri kutoka Arusha kwenda Mwanza kwa basi...
Kuna Jirani yangu ana mtoto wa miaka mitano ni wa kike.
Ni mtoto muongeaji afu ni mchangamfu Sana, tumezoeana Sana nikirudi kwenye mishe mishe au nikienda dukani lazima nibebe zawadi kwa ajili...
Assalam aleykum
Kama mnavyosoma hapo inaaminika wanawake zaidi ya asilimia 80 wanatumia tumbaku ili kujiongezea hamu ya mapenzi. Sasa ninachojiuliza ni kwamba mbona vitu vya kuongeza ashki ni...
Pasi na kupoteza muda, wanawake wamekuwa viumbe wa hovyo kabisa, viumbe wasio na shukrani Wala huruma, viumbe wa binafsi wenye roho ya uuaji.
Viumbe hawa wanasababisha misongo ya Mawazo na...
Ifikie wakati wanaume tujitambue tusiendeshwe na mihemko ya wanawake . Mwanamke anataka ushinde juu ya kifua chake zaidi ya masaa matano kwani sisi ni PUNDA nauliza??
Kila mbuzi ale Kwa urefu wa...
Huu ni ukweli ambao hata wao wanawake hawaupendi, in fact masuala kama haya huwa naandika kwenye magroup yangu yenye wanaume wenzangu tu.
Hii kitu naandika hapa, ni kwa mwanamke yoyote yule hapa...
Hellow
Wanawake wengi sana walio olewa na walio na wachumba zao mawazo yao siku zote ni kuwa mwanaume ndio atatangulia kufa then yeye abaki na watoto na yeye ndio atarithi vitu vyote. Why, hayo...
Mwanaume anasemwa kutokana na mafanikio yake.
Sio lazima kuwa Bakhresa.
Ila ni ile thamani anayoongeza kwenye jamii inayomzunguka. Mtu anayechota maji mtaani anathaminiwa kuliko mtu anayekesha...
Wanawake hasa hawa weusi hawajiamini wanatumia filter ili kuibia watu na kuwaachia majuto makubwa.
Hii imetokea jana, rafiki yangu kayakanyaga baada ya kumkimbia Mwanamke wake wa mtandaoni...
Habari wana JF.
Mimi ni mwanamke niliye kwenye ndoa ya mwaka mmoja na miezi7, kabla ya kuolewa na huyu mume wangu nilikuwa na mahusiano na kijana mmoja ambae tulipendana na kushibana sana ila...
Ndugu, juzi nilienda "Kimboka by Night" bar maarufu buguruni shell nikachukua Dada poa wa kulala nae tukaenda gest moja ivi inaitwa sewa gest house ipo buguruni sokoni. Ajabu ni kuwa yule binti...
Wasalaaam, habarini za mchana wakuu?
Bila kupoteza muda nimeona niwashirikishe hili kwani kipindi cha mwanzo mliweza kunishauri vizuri sana, ukweli nilipenda sana ushauri wa kila mmoja wenu...
Wasalaam JF,
kila shetani na mbuyu wake, mahaba matamu na mapenzi matamu yapo. kipekee raha na utamu uliohuishwa na Barcelona ya Africa (Simba SC ya Tanzania) club ya kibabe kampa kampa tena...
Hapa sitotoa salamu kdg nataka nitumie dakika hizi chache kuandaa jamvi hili liwe kama Kengele ya kuwaamsha hawa viumbe.
Wanawake wa sasa Tofauti na wale wa zamani ndio maana Migogoro haiishi...
Habari za jumapili ndugu zangu...
Ewe mwanaume kataa ndoa na mwanamke anae weka marangi rangi kwenye nywele au blich,, kataa kabisa kutembea au kuoa mwanamke anae vaa vikuku miguuni huyo ni pasua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.